< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Set, Enós,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Cainán, Mahalaleel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoc, Matusalén, Lamec,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
[Hijos de] Noé: Sem, Cam y Jafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Hijos de Jafet: Gomer, Magog, Madai, Javán, Tubal, Mesec y Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Hijos de Gomer: Askenaz, Rifat y Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Hijos de Javán: Elisa, Tarsis, Quitim y Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Hijos de Cam: Cus, Mizraim, Fut y Canaán.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Hijos de Cus: Seba, Havila, Sabta, Raama y Sabteca. Hijos de Raama: Seba y Dedán.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Cus engendró a Nimrod, quien fue poderoso en la tierra.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim engendró a Ludim, Anamim, Lehabim, Naftuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Patrusim, los Casluhim, de quienes proceden los filisteos, y los caftoreos.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Canaán engendró a Sidón, su primogénito, y a Het,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
y al jebuseo, al amorreo, al gergeseo,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
al heveo, al araceo, al sineo,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
al arvadeo, al Zemareo y al hamateo.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Los hijos de Sem: Elam, Asur, Arfaxad, Lud, Aram, Uz, Hul, Geter y Mesec.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arfaxad engendró a Sela, y Sela engendró a Heber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
A Heber le nacieron dos hijos: el nombre del uno fue Peleg, porque en sus días fue dividida la tierra. El nombre de su hermano fue Joctán.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joctán engendró a Almodad, Selef, Hazar-mavet, y Jera,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Adonirán, Uzal, Dicla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Seba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ofir, a Havila y Jobab. Todos hijos de Joctán.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
De Sem: Arfaxad, Sela,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Heber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nacor, Taré
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
y Abram, el cual es Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Hijos de Abraham: Isaac e Ismael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Éstas son sus generaciones: el primogénito de Ismael fue Nebaiot, luego Cedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma, Duma, Massa, Hadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Nafis y Cedema. Tales fueron los hijos de Ismael.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Los hijos que Cetura, concubina de Abraham, dio a luz fueron: Zimram, Jocsán, Medán, Madián, Isbac y Súa. Los hijos de Jocsán: Seba y Dedán.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Hijos de Madián: Efa, Efer, Hanoc, Abida y Elda. Todos éstos fueron hijos de Cetura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham engendró a Isaac. Hijos de Isaac: Esaú e Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Hijos de Esaú: Elifaz, Reuel, Jeús, Jaalam y Coré.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Hijos de Elifaz: Temán, Omar, Zefo, Gatam, Cenaz, Timna y Amalec.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Hijos de Reuel: Nahat, Zera, Sama y Miza.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Hijos de Seir: Lotán, Sobal, Zibeón, Aná, Disón, Ezer y Disán.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Hijos de Lotán: Hori y Homam. Timna fue hermana de Lotán.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Hijos de Sobal: Alván, Manahat, Ebal, Sefo y Onam. Hijos de Zibeón: Aja y Aná.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Disón fue hijo de Aná. Los hijos de Disón: Amram, Esbán, Itrán y Querán.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Hijos de Ezer: Bilhán, Zaaván y Jaacán. Hijos de Disán: Uz y Arán.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Éstos son los reyes que reinaron en la tierra de Edom antes de haber rey de los hijos de Israel: Bela, hijo de Beor, y el nombre de su ciudad era Dinaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Al morir Bela, reinó en su lugar Jobab, hijo de Zera de Bosra.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Al morir Jobab, reinó en su lugar Husam, de la tierra de los temanitas.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Al morir Husam, reinó en su lugar Hadad, hijo de Bedad, el que derrotó a Madián en el campo de Moab. El nombre de su ciudad fue Avit.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Al morir Hadad, reinó en su lugar Samla, de Masreca.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Al morir Samla, reinó en su lugar Saúl, de Rehobot, que está junto al Éufrates.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Al morir Saúl, reinó en su lugar Baal-hanán, hijo de Acbor.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Al morir Baal-hanán, reinó en su lugar Hadad. El nombre de su ciudad fue Pai. El nombre de su esposa, Mehetabel, hija de Matred, hija de Mezaab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Al morir Hadad, sucedieron en Edom los jeques Timna, Alva, Jetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Aholibama, Ela, Pinón,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Cenaz, Temán, Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Magdiel e Iram. Tales fueron los jeques de Edom.

< 1 Nyakati 1 >