< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
Éstos son los hijos de Israel: Rubén, Simeón, Leví, Judá, Isacar, Zabulón,
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
Dan, José, Benjamín, Neftalí, Gad y Aser.
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
Hijos de Judá: Er, Onán y Sela. Estos tres le nacieron de la hija de Súa, cananea. Pero Er, primogénito de Judá, fue perverso ante Yavé, Quien lo mató.
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
Tamar su nuera le dio a luz a Fares y a Zera. Todos los hijos de Judá fueron cinco.
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
Hijos de Fares: Hezrón y Hamul.
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
Hijos de Zera: Zimri, Etán, Hemán, Calcol y Dara. Todos los hijos de Judá fueron cinco.
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
Hijo de Carmi fue Acán, perturbador de Israel, porque transgredió en cuanto a lo maldito.
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
Hijo de Etán: Azarías.
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
Los hijos que le nacieron a Hezrón: Jerameel, Ram y Quelubai.
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
Ram engendró a Aminadab, y Aminadab engendró a Naasón, jefe de los hijos de Judá.
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
Naasón engendró a Salmón, y Salmón engendró a Booz.
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
Booz engendró a Obed, y Obed engendró a Isaí.
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
Isaí engendró a Eliab su primogénito, el segundo Abinadab, el tercero Simea,
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
el cuarto Natanael, el quinto Radai,
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
el sexto Ozem, el séptimo David,
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
de los cuales Sarvia y Abigail fueron hermanas. Los hijos de Sarvia fueron tres: Abisai, Joab y Asael.
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
Abigail dio a luz a Amasa, cuyo padre fue Jeter ismaelita.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
Caleb, hijo de Hezrón, engendró a Jeriot de su esposa Azuba. Los hijos de ella fueron Jeser, Sobab y Ardón.
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
Al morir Azuba, Caleb tomó como esposa a Efrata, la cual dio a luz a Hur.
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
Hur engendró a Uri, y Uri a Bezaleel.
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
Después Hezrón se unió a la hija de Maquir, padre de Galaad, a la cual tomó cuando él tenía 60 años, y ella dio a luz a Segub.
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
Segub engendró a Jaír, quien poseyó 23 ciudades en la tierra de Galaad.
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
Pero Gesur y Aram tomaron las aldeas de Jaír, y Kenat y sus aldeas: 60 pueblos. Todas éstas las tomaron los hijos de Maquir, padre de Galaad.
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
Después que Hezrón murió en Caleb-efrata, Abías, esposa de Hezrón, dio a luz a Asur, padre de Tecoa.
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
Los hijos de Jerameel, primogénito de Hezrón, fueron: Ram, su primogénito, Buna, Orén, Ozem y Ahías.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
Jerameel tuvo otra mujer llamada Atara, que fue madre de Onam.
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
Hijos de Ram, primogénito de Jerameel: Maaz, Jamín y Equer.
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
Hijos de Onam: Samai y Jada. Hijos de Samai: Nadab y Abisur.
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
El nombre de la esposa de Abisur fue Abihail, la cual dio a luz a Ahbán y a Molid.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
Hijos de Nadab: Seled y Apaim. Seled murió sin hijos.
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
Isi fue hijo de Apaim, y Sesán, hijo de Isi, e hijo de Sesán, Ahlai.
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
Hijos de Jada, hermano de Samai: Jeter y Jonatán. Jeter murió sin hijos.
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
Hijos de Jonatán: Pelet y Zaza. Tales fueron los descendientes de Jerameel.
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
Sesán no tuvo hijos, sino hijas. Pero Sesán tenía un esclavo egipcio llamado Jarha.
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
A éste, Sesán dio su hija como esposa, y ella dio a luz a Atai.
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
Atai engendró a Natán, Natán a Zabad,
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
Zabad a Eflal, Eflal a Obed,
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
Obed a Jehú, Jehú a Azarías,
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
Azarías a Heles, Heles a Elasa,
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
Elasa a Sismai, Sismai a Salum,
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
Salum a Jecamías, y Jecamías a Elisama.
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
Hijos de Caleb, hermano de Jerameel: Mesa su primogénito, que fue el padre de Zif, y los hijos de Maresa, padre de Hebrón.
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
Hijos de Hebrón: Coré, Tapúa, Requem y Sema.
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
Sema engendró a Raham, padre de Jorcoam, y Requem engendró a Samai.
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
Maón fue hijo de Samai, y Maón padre de Bet-sur.
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
Efa, concubina de Caleb, dio a luz a Harán, Mosa y Gazez. Harán engendró a Gazez.
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
Hijos de Jahdai: Regem, Jotam, Gesam, Pelet, Efa y Saaf.
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
Maaca, concubina de Caleb, dio a luz a Seber y Tirhana.
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
También dio a luz a Saaf, padre de Madmana, y a Seva, padre de Macbena, y padre de Gibea; y Acsa fue hija de Caleb.
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
Éstos fueron los hijos de Caleb: hijos de Hur, primogénito de Efrata: Sobal, padre de Quiriat-jearim,
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
Salma, padre de Belén, y Haref, padre de Bet-gader.
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
Hijos de Sobal, padre de Quiriat-jearim: Haroe, la mitad de los manahetitas.
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
Familias de Quiriat-jearim: los itritas, los futitas, los sumatitas y los misraítas, de los cuales salieron los zoratitas y los estaolitas.
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
Hijos de Salma: Belén, y los netofatitas, Atrot-beth-joab, y Hazi-hammanahti, zoraíta.
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.
Las familias de los escribas que habitaban en Jabes: los tirateos, los simeateos y los sucateos, los cuales son los ceneos, que proceden de Hamat, padre de la casa de Recab.

< 1 Nyakati 2 >