< 1 Nyakati 3 >

1 Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
Éstos son los hijos de David que le nacieron en Hebrón: Amnón, el primogénito, de Ahinoam jezreelita; el segundo, Daniel, de Abigail la de Carmel;
2 watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
el tercero, Absalón, hijo de Maaca, hija de Talmai, rey de Gesur; el cuarto, Adonías, hijo de Haguit;
3 watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
el quinto, Sefatías, de Abital; el sexto, Itream, de su esposa Egla.
4 Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
Estos seis le nacieron en Hebrón, donde reinó siete años y seis meses. Luego reinó en Jerusalén 33 años.
5 Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
Estos cuatro le nacieron en Jerusalén, de Betsabé, hija de Amiel: Simea, Sobab, Natán y Salomón.
6 Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
Y otros nueve: Ibhar, Elisama, Elifelet,
7 Noga, Nefegi, Yafia,
Noga, Nefeg, Jafía,
8 Elishama, na Elifeleti.
Elisama, Eliada y Elifelet.
9 Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
Todos éstos fueron los hijos de David, sin contar los hijos de las concubinas. Tamar fue sobrina de ellos.
10 Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
Roboam fue hijo de Salomón, cuyo hijo fue Abías, e hijo de éste Asa, cuyo hijo fue Josafat,
11 Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
de quien fue hijo Joram, cuyo hijo fue Ocozías, e hijo de éste Joás,
12 Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
del cual fue hijo Amasías, e hijo de éste Azarías, cuyo hijo fue Jotam.
13 Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
Hijo de éste fue Acaz, del cual fue hijo Ezequías, cuyo hijo fue Manasés,
14 Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
del cual fue hijo Amón, cuyo hijo fue Josías.
15 Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
Hijos de Josías: Johanán, su primogénito, el segundo Joacim, el tercero Sedequías, el cuarto Salum.
16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
Hijos de Joacim: Jeconías, cuyo hijo fue Sedequías.
17 Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
Hijos de Jeconías el cautivo: Salatiel,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
Malquiram, Pedaías, Senazar, Jecamías, Hosama y Nedabías.
19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
Hijos de Pedaías: Zorobabel y Simei. E hijos de Zorobabel: Mesulam, Hananías y Selomit, su hermana.
20 Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
También estos cinco: Hasuba, Ohel, Berequías, Hasadías y Jusab-hesed.
21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
E hijos de Hananías: Pelatías y Jesaías; su hijo, Refaías; su hijo, Arnán; su hijo, Abdías; su hijo, Secanías.
22 Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
Hijo de Secanías fue Semaías; e hijos de Semaías: Hatús, Igal, Barías, Nearías y Safat: seis.
23 Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
Hijos de Nearías fueron estos tres: Elioenai, Ezequías y Azricam.
24 Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.
Hijos de Elioenai fueron estos siete: Hodavías, Eliasib, Pelaías, Acub, Johanán, Dalaías y Anani.

< 1 Nyakati 3 >