< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Sheth, Enosh,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalaleel, Jered,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Henoch, Methuselah, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Shem, Ham, and Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Sons of Japheth: Gomer and Magog, and Madai, and Javan, and Tubal, and Meshech, and Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
And sons of Gomer: Ashchenaz, and Riphath, and Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
And sons of Javan: Elisha, and Tarshishah, Kittim, and Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Sons of Ham: Cush, and Mizraim, Put, and Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
And sons of Cush: Seba and Havilah, and Sabta, and Raamah, and Sabtecka. And sons of Raamah: Sheba and Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
And Cush begat Nimrod: he began to be a mighty one in the land.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
And Mizraim begat the Ludim, and the Anamim, and the Lehabim, and the Naphtuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
and the Pathrusim, and the Casluhim (from whom came out the Philistim), and the Caphtorim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
And Canaan begat Zidon his first born, and Heth,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
and the Jebusite, and the Amorite, and the Girgashite,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
and the Hivite, and the Arkite, and the Sinite,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
and the Arvadite, and the Zemarite, and the Hamathite.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Sons of Shem: Elam and Asshur, and Arphaxad, and Lud, and Aram, and Uz, and Hul, and Gether, and Meshech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
And Arphaxad begat Shelah, and Shelah begat Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
And to Eber have been born two sons, the name of the one [is] Peleg, for in his days hath the land been divided, and the name of his brother is Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
And Joktan begat Almodad, and Sheleph, and Hazarmaveth, and Jerah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
and Hadoram, and Uzal, and Diklah,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
and Ebal, and Abimael, and Sheba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
and Ophir, and Havilah, and Jobab; all these [are] sons of Joktan.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Shem, Arphaxad, Shelah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Terah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram — he [is] Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Sons of Abraham: Isaac and Ishmael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
These [are] their generations: first-born of Ishmael, Nebaioth, and Kedar, and Adheel, and Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, and Dumah, Massa, Hadad, and Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Naphish, and Kedema. These are sons of Ishmael.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
And sons of Keturah, Abraham's concubine: she bare Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah. And sons of Jokshan: Sheba and Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
And sons of Midian: Ephah and Epher, and Henoch, and Abida, and Eldaah; all these [are] sons of Keturah.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
And Abraham begetteth Isaac. Sons of Isaac: Esau and Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Sons of Esau: Eliphaz, Reuel, and Jeush, and Jaalam, and Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Sons of Eliphaz: Teman, and Omar, Zephi, and Gatam, Kenaz, and Timna, and Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
And sons of Seir: Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, and Dishon, and Ezar, and Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
And sons of Lotan: Hori and Homam, and sister of Lotan [is] Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Sons of Shobal: Alian, and Manahath, and Ebal, Shephi, and Onam. And sons of Zideon: Aiah and Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
The sons of Anah: Dishon. and sons of Dishon: Amram, and Eshban, and Ithran, and Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Sons of Ezer: Bilhan, and Zavan, Jakan. Sons of Dishan: Uz and Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
And these [are] the kings who reigned in the land of Edom before the reigning of a king of the sons of Israel: Bela son of Beor, and the name of his city [is] Dinhabah.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
And Bela dieth, and reign in his stead doth Jobab son of Zerah from Bozrali;
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
and Jobab dieth, and reign in his stead doth Husham from the land of the Temanite;
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
and Husham dieth, and reign in his stead doth Hadad, son of Bedad (who smiteth Midian in the field of Moab) and the name of his city [is] Avith;
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
and Hadad dieth, and reign in his stead doth Samlah from Masrekah;
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
and Samlah dieth, and reign in his stead doth Shaul from Rehoboth of the River;
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
and Shaul dieth, and reign in his stead doth Baal-Hanan son of Achbor;
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
and Baal-Hanan dieth, and reign in his stead doth Hadad, and the name of his city [is] Pai, and the name of his wife [is] Mehetabel daughter of Matred, daughter of Me-Zahab; Hadad also dieth.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
And chiefs of Edom are: chief Timnah, chief Aliah, chief Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
chief Aholibamah, chief Elah, chief Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
chief Kenaz, chief Teman, chief Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
chief Magdiel, chief Iram. These [are] chiefs of Edom.

< 1 Nyakati 1 >