< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
And Benjamin begot Bela his first-born, Ashbel the second, and Aharah the third;
2 Noha, na Rafa.
Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
And Bela had sons, Addar, and Gera, and Abihud;
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
and Abishua, and Naaman, and Ahoah;
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
and Gera, and Shephuphan, and Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
And these are the sons of Ehud — these are the heads of fathers' houses of the inhabitants of Geba, and they were carried captive to Manahath;
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
and Naaman, and Ahijah, and Gera, were they that carried them captive — and he begot Uzza, and Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
And Shaharaim begot children in the field of Moab, after he had sent them away, to wit, Hushim and Baara his wives;
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
he begot of Hodesh his wife, Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcam;
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
and Jeuz, and Sachiah, and Mirmah. These were his sons, heads of fathers' houses.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
and of Hushim he begot Abitub, and Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
And the sons of Elpaal: Eber, and Misham, and Shemed, who built Ono, and Lod, with the towns thereof;
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
and Beriah, and Shema, who were heads of fathers' houses of the inhabitants of Aijalon, who put to flight the inhabitants of Gath.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
And Ahio, Shashak, and Jeremoth;
15 Zebadia, Aradi, Eda,
and Zebadiah, and Arad, and Eder;
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
and Michael, and Ishpah, and Joha, were the sons of Beriah.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
And Zebadiah, and Meshullam, and Hizki, and Heber;
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
and Ishmerai, and Izliah, and Jobab, were the sons of Elpaal.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
And Jakim, and Zichri, and Zabdi;
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
and Elienai, and Zillethai, and Eliel;
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
and Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, were the sons of Shimei.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
And Ishpan, and Ebed, and Eliel;
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
and Abdon, and Zichri, and Hanan;
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
and Hananiah, and Elam, and Anthothiah;
25 Ifdeia, na Penueli.
and Iphdeiah, and Penuel, were the sons of Shashak.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
And Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah;
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
and Jaareshiah, and Elijah, and Zichri, were the sons of Jeroham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
These were heads of fathers' houses throughout their generations, chief men; these dwelt in Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
And in Gibeon there dwelt the father of Gibeon, Jeiel, whose wife's name was Maacah;
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
and his first-born son Abdon, and Zur, and Kish, and Baal, and Nadab;
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
and Gedor, and Ahio, and Zecher.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
And Mikloth begot Shimeah. And they also dwelt with their brethren in Jerusalem, over against their brethren.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
And Ner begot Kish; and Kish begot Saul; and Saul begot Jonathan, and Malchi-shua, and Abinadab, and Eshbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
And the son of Jonathan was Merib-baal; and Merib-baal begot Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
And the sons of Micah; Pithon, and Melech, and Taarea, and Ahaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
And Ahaz begot Jehoaddah; and Jehoaddah begot Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri begot Moza;
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
and Moza begot Binea; Raphah was his son, Eleasah his son, Azel his son.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
And Azel had six sons, whose names are these: Azrikam, Bocru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan. All these were the sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
And the sons of Eshek his brother: Ulam his firstborn, Jeush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
And the sons of Ulam were mighty men of valour, archers; and had many sons, and sons' sons, a hundred and fifty. All these were of the sons of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >