< 1 Nyakati 7 >

1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
And of the sons of Issachar: Tola, and Puah, Jashub, and Shimron, four.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
And the sons of Tola: Uzzi and Rephaiah, and Jeriel, and Jahmai, and Ibsam, and Shemuel, heads of their fathers' houses, mighty men of valour according to their generations, even of Tola; their number in the days of David was two and twenty thousand and six hundred.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
And the sons of Uzzi: Izrahiah; and the sons of Izrahiah: Michael, and Obadiah, and Joel, Isshiah, five; all of them chief men.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
And with them, by their generations, after their fathers' houses, were bands of the host for war, six and thirty thousand; for they had many wives and sons.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
And their brethren among all the families of Issachar, mighty men of valour, reckoned in all by genealogy, were fourscore and seven thousand.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
The sons of Benjamin: Bela, and Becher, and Jediael, three.
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
And the sons of Bela: Ezbon, and Uzzi, and Uzziel, and Jerimoth, and Iri, five; heads of fathers' houses, mighty men of valour; and they were reckoned by genealogy twenty and two thousand and thirty and four.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
And the sons of Becher: Zemirah, and Joash, and Eliezer, and Elioenai, and Omri, and Jeremoth, and Abijah, and Anathoth, and Alemeth. All these were the sons of Becher.
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
And they were reckoned by genealogy, after their generations, heads of their fathers' houses, mighty men of valour, twenty thousand and two hundred.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
And the sons of Jediael: Bilhan; and the sons of Bilhan: Jeush, and Benjamin, and Ehud, and Chenaanah, and Zethan, and Tarshish, and Ahishahar.
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
All these were sons of Jediael, even heads of their fathers' houses, mighty men of valour, seventeen thousand and two hundred, that were able to go forth in the host for war.
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
Shuppim also, and Huppim, the sons of Ir, Hushim, the son of another.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
The sons of Naphtali: Jahziel, and Guni, and Jezer, and Shallum, the sons of Bilhah.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
The sons of Manasseh: Asriel, whom his wife bore — his concubine the Aramitess bore Machir the father of Gilead;
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
and Machir took a wife of Huppim and Shuppim, whose sister's name was Maacah — and the name of the second was Zelophehad; and Zelophehad had daughters.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
And Maacah the wife of Machir bore a son, and she called his name Peresh; and the name of his brother was Sheresh; and his sons were Ulam and Rekem.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
And the sons of Ulam: Bedan. These were the sons of Gilead the son of Machir, the son of Manasseh.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
And his sister Hammolecheth bore Ish-hod, and Abiezer, and Mahlah.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
And the sons of Shemida were Ahian, and Shechem, and Likhi, and Aniam.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
And the sons of Ephraim: Shuthelah — and Bered was his son, and Tahath his son, and Eleadah his son, and Tahath his son,
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
and Zabad his son, and Shuthelah his son — and Ezer, and Elead, whom the men of Gath that were born in the land slew, because they came down to take away their cattle.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
And Ephraim their father mourned many days, and his brethren came to comfort him.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
And he went in to his wife, and she conceived, and bore a son, and he called his name Beriah, because it went evil with his house.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
And his daughter was Sheerah, who built Beth-horon the nether and the upper, and Uzzen-sheerah.
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
And Rephah was his son, and Resheph, and Telah his son, and Tahan his son;
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
Ladan his son, Ammihud his son, Elishama his son;
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
Nun his son, Joshua his son.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
And their possessions and habitations were Beth-el and the towns thereof, and eastward Naaran, and westward Gezer, with the towns thereof; Shechem also and the towns thereof, unto Aiah and the towns thereof;
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
and by the borders of the children of Manasseh, Beth-shean and the towns thereof, Taanach and the towns thereof, Megiddo and the towns thereof, Dor and the towns thereof. In these dwelt the children of Joseph the son of Israel.
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
The sons of Asher: Imnah, and Ishvah, and Ishvi, and Beriah, and Serah their sister.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
And the sons of Beriah: Heber, and Malchiel, who was the father of Birzaith.
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
And Heber begot Japhlet, and Shomer, and Hotham, and Shua their sister.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
And the sons of Japhlet: Pasach, and Bimhal, and Asvath. These are the children of Japhlet.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
And the sons of Shemer: Ahi, and Rohgah, and Hubbah, and Aram.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
And the sons of Helem his brother: Zophah, and Imna, and Shelesh, and Amal.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
The sons of Zophah: Suah, and Harnepher, and Shaul, and Beri, and Imrah;
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
Bezer, and Hod, and Shamma, and Shilsha, and Ithran, and Beera.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
And the sons of Jether: Jephunneh, and Pispa, and Ara.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
And the sons of Ulla: Arah, and Hanniel, and Rizia.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
All these were the children of Asher, heads of the fathers' houses, choice and mighty men of valour, chief of the princes. And the number of them reckoned by genealogy for service in war was twenty and six thousand men.

< 1 Nyakati 7 >