< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Левиеви синове бяха Гирсон, Каат и Мерарий.
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
А Каатови синове: Амрам, Исаар, Хеврон и Озиил;
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
а Амрамови чада: Аарон, Моисей и Мариам; а Ааронови синове: Надав, Авиуд, Елеазар и Итамар.
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
Елеазар роди Финееса; Финеес роди Ависуя;
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
Ависуй роди Вукия; Вукия роди Озия;
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
Озий роди Зараия; Зараия роди Мераиота;
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Мераиот роди Амария; Амария роди Ахитова;
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
Ахитов роди Садока; Садок роди Ахимааса;
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
Ахимаас роди Азария; Азария роди Ионатана;
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
Ионатан роди Азария (той е оня, който Соломон построи в Ерусалим);
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
а Азария роди Амария: Амария роди Ахитова;
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
Ахитов роди Садока; Садок роди Селума;
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
Селум роди Хелкия; Хелкия роди Азария;
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
Азария роди Сараия; а Сараия роди Иоседека.
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
А Иоседек отиде в плен, когато Господ закара в плен Юда и Ерусалим чрез ръката на Навуходоносора.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Левиеви синове: Гирсом, Каат и Мерарий.
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
А ето имената на Гирсомовите синове: Ливний и Семей.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
А Каатови синове бяха: Амрам, Исаар, Хеврон и Озиил.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
Мерариеви синове бяха: Маалий и Мусий. И ето семействата на лавитите, според бащините им домове:
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
на Гирсона: негов син, Ливний: негов син, Яат; негов син, Зима;
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
негов син, Иоах
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
Синовете на Каата: син му Аминадав
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
негов син, Елкана; негов син, Авиасаф; негов син, Асир;
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
негов син, Тахат; негов син, Уриил; негов син, Озия; и негов син, Саул.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
А Елканови синове: Амасай и Ахимот.
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
А относно Елкана: синовете на Елкана: негов син, Суфай; негов син, Нахат
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
негов син, Елиав; негов син Ероам; негов син, Елкана.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
А Самуилови синове: първородният Иоил, а вторият Авия.
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Мерариеви синове: Маалий; негов син, Ливний; негов син, Семей; негов син, Оза;
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
негов син, Сама; негов син, Агия; негов син, Асаия.
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
И ето ония, които постави Давид над пеенето в службата в Господния дом, когато се намери трайно място за ковчега,
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
които слугуваха с пеене пред скинията, шатъра за срещане, докле Соломон построи Господния дом в Ерусалим, и стоеха на службата си според чина си;
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
ето ония, които стоеха с чадата си: от Каатови потомци - певецът Еман, син на Иоила, син на Самуила,
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
син на Елкана, син на Ероама, син на Елиила, сина на Тоя,
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
син на Суфа
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
син на Елкана, син на Иоила, син на Азария, син, на Софония,
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
син на Тахата, син на Асира, син на Авиасафа, син на Корея,
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
син на Исаара, син на Каата, син на Левия, син на Израиля.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
И брат му Асаф, който стоеше отдясно нему: Асаф, син на Варахия, син на Сама,
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
син на Михаила, син на Ваасия, син на Малхия,
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
син на Етния, син на Зара син на Адаия,
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
син на Етана, син на Зима, син на Семея,
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
син на Яата, син на Гирсома, син на Левия.
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
И братята им Мерариеви потомци, които бяха от ляво: Етан син на Кисия, син на Авдия, син на Малуха,
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
син на Асавия, син на Амасия, син на Хелкия,
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
син на Амсия, син на Вания, син на Самира,
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
син на Маалия, син на Мусия, син на Мерария, син на Левия;
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
и братята на левитите, които бяха определени за цялата служба в скинията на Божия дом.
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
А Аарон и потомците му принасяха принос върху олтара за всеизгарянето и върху кадилния олтар, като определени за цялата служба на пресветото място, и да правят умилостивение за Израиля, точно както заповяда Божият слуга Моисей.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
И ето Аароновите потомци: негов син, Елеазар; негов син, Финеес; негов син, Ависуй;
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
негов син, Вукий; негов син, Озий; негов син, Зараия;
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
негов син, Мараиот; негов син, Амария; негов син, Ахитов;
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
негов син, Садок; и негов син, Ахимаас.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
И ето жилищата им според заселванията им в пределите им: на Аароновите потомци от семейството на каатците (защото на тях падна първото жребие),
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
на тях дадоха Хеврон в Юдовата земя, с пасбищата около него.
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Обаче, нивите, на града и селата му дадоха на Халева Ефониевия син.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
А на Аароновите потомци дадоха тия Юдови градове: Хеврон прибежищния град, Ливна с пасбищата му,
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
Илен с пасбищата му, Девир с пасбищата му,
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
Асан с пасбищата му, и Витсемес с пасбищата му,
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
а от Вениаминовото племе, Гава с пасбищата му, Алемет с пасбищата му, и Анатот с пасбищата му; всичките им градове, според семействата им, бяха тринадесет града.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
И на Каатовите потомци, останали от семейството на племето, дадоха се с жребие десет града от половината Манасиево племе.
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
А на Гирсоновите потомци, според семействата им, от Исахаровото племе, от Асировото племе, от Нефталимовото племе и от Манасиевото племе във Васан се дадоха тринадесет града.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
На Мерариевите потомци, според семействата им, дадоха се с жребие от Рувимовото племе, от Гадовото племе и от Завулоновото племе дванадесет града.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
Израилтяните дадоха на левитите тия градове и пасбищата им.
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
Дадоха с жребие тия градове, споменати по име, от племето на Юдовите потомци, и от племето на Симеоновите потомци, и от племето на Симеоновите потомци, и от племето на Симеоновите потомци, и от племето на Вениаминовите потомци.
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
А някои от семействата на Каатовите потомци получиха градове за притежанията си от Ефремовото племе.
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
Дадоха им прибежищните градове: Сихем с пасбищата му, в Ефремовата хълмиста земя; Гезер с пасбищата му,
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
Иокмеам с пасбищата му, Веторон с пасбищата му,
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
Еалон с пасбищата му, Гетримон с пасбищата му,
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
а, от половината на Манасиевото племе, Анир с пасбищата му, и Вилеам с пасбищата му; тях дадох на семействата на останалите Каатови потомци
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
На Гирсоновите потомци дадоха, от семействата на половината Манасиево племе, Голан във Васан с пасбищата му, и Астарот с пасбищата му;
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
от Исахаровото племе Кедес с пасбищата му, Даврат с пасбищата му,
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
Рамот с пасбищата му и Аним с пасбищата му;
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
от Асировото племе, Масал с пасбищата му, Авдон с пасбищата му.
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
Хукок с пасбищата му, и Роов с пасбищата му;
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
а, от Нефталимовото племе, Кедес в Галилея с пасбищата му, Амон с пасбищата ме, и Кириатаим с пасбищата му.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
А на останалите Мерариеви потомци дадоха, от Завулоновото племе, Римон с пасбищата му и Тавор с пасбищата му;
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
а оттатък Иордан при Ерихон, на изток от Иордан, дадоха, от Рувимовото племе, Восор в пустинята с пасбищата му, Яса с пасбищата му,
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
Кедимот с пасбищата му, и Мефаат с пасбищата му;
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
а, от Гадовото племе, Рамот в Галаад с пасбищата му, Маханаим с пасбищата му,
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
Есевон с пасбищата му и Язир с пасбищата му.

< 1 Nyakati 6 >