< 1 Nyakati 5 >

1 Wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli - sasa Rubeni alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli, lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli kwa sababu Rubeni alinajisi kochi la baba yake. Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza.
И синовете на първородния на Израиля, Рувим, (защото той бе първородният; но, понеже оскверни леглото на баща си, неговото първородство се даде на синовете на Израилевия син Иосифа, а родословието не се смята според първородството;
2 Yuda alikuwa mwenye nguvu kuliko kaka zake, na kiongozi ata toka kwake. Lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu -
защото Юда превъзмогна над братята си, и от него се определи да произлезе вождът; първородството, обаче, беше на Иосифа, )
3 wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.
синовете на първородния на Израиля, Рувим, бяха Енох, Фалу, Есрон и Хармий.
4 Uzao wa Yoeli ulikuwa huu: Mwana wa Yoeli alikuwa Shemaia. Mwana wa Shemaia alikuwa Gogi. Mwana wa Gogi alikuwa Shimei.
Синове на Иоила: негов син, Семаия; негов син, Гог; негов син, Семей;
5 Mwana wa Shimei alikuwa Mika. Mwana wa Mika alikuwa Reaia. Mwana wa Reaia alikuwa Baali.
негов син, Михей; негов син Реаия; негов син, Ваал;
6 Mwana wa Baali alikuwa Bera, ambaye Tiligathi Pileseri alimpeleka matekani kule Assiria. Bera alikuwa kiongozi katika kabila la Rubeni.
негов син, Веера, когото асирийския цар Теглат-Фелнасар заведе в плен; той бе първенец на рувимците.
7 Ndugu wa Bera kwa makabila yao ni hawa wafuatao, wameorodheshwa katika nakala za uzao wao: Yeieli wa kwanza, Zekaria, na
А началник на братята му, според семействата им, когато родословието на поколенията им се изброи, бяха Еиил, Захария
8 Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli. Waliishi Aroeri, kwa umbali wa Nebo na Baali Meoni,
и Вела, син на Азаса, син на Сема, син на Иоила; той се засели в Ароир и до Нево и Ваалмеон;
9 na mwanzo wa mashariki mwa jangwa lenye umbali wa hadi Mto Efarati. Hii ni kwa sababu walikuwa na mifugo mingi katika nchi ya Gileadi.
и към изток се засели дори до входа на пустинята от река Евфрат, защото добитъкът им беше се умножил в галаадската земя.
10 Katika siku za Sauli, kabila la Rubeni lilishambulia Wahagiri na kuwa shinda. Wakaishi ndani ya hema za Wahagiri katika nchi yote mashariki mwa Gileadi.
А в дните на Саула воюваха против агаряните, които паднаха от ръката им; и те се заселиха в шатрите им по цялата източна страна на Галаад.
11 Kabila la Gadi liliishi karibu nao, katika nchi ya Bashani umbali wa Saleka.
И Гадовите потомци се заселиха срещу тях във васанската земя до Салха,
12 Viongozi wao walikuwa Yoeli, aliyekuwa kichwa wa ukoo, na Shafamu alikuwa kichwa wa ukoo mwingine, na Yanai na Shafati walikuwa wa Bashani.
от които Иоил беше началникът, а Сафам вторият, и Янай, и Сафат във Васан.
13 Ndugu zao, kwa familia za baba yao, walikuwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, na Eberi - jumla saba wote.
И братята им, от бащините им домове, бяха: Михаил, Месулам, Сева, Иорай, Яхан, Зия и Евер, седмина.
14 Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana w a Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
Тия бяха синовете на Авихаила, син на Урия, син на Яроя, син на Галаада, син на Михаила, син на Есисая, сина на Ядо, син на Вуза.
15 Ahi mwana wa Abidieli mwana wa Guni, alikuwa kichwa cha familia ya baba yake.
Ахия, син на Авдиила Гуниевият син, беше началник на бащиния им дом.
16 Waliishi Gileadi, Bashani, katika miji, na katika nchi zote za malisho ya Sharoni kwa umbali wa mipaka yake.
Те се заселиха в Галаад, във Васан, в селата му, и във всичките околности на Сарон до пределите им.
17 Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao katika siku za Yothamu mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
Всички тия се изброиха според родословията си в дните на Юдовия цар Иотам и в дните на Израилевия цар Еровоам.
18 Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase walikuwa na wana jeshi elfu arobaini na nne walio fuzu kwa vita, walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale.
От Рувимовите потомци, гадците и половината от Манасиевото племе, юначните мъже, които носеха щит и нож, стреляха с лъкове и бяха обучени на бой, възлизаха на четиридесет и четири хиляди седемстотин и шестдесет души, които можеха да излизат на война.
19 Waliwashambulia Wahagri, Yeturi, Nafishi, na Nodabu.
И те воюваха против агаряните, етуряните, нафисците и нодавците.
20 Walipokea msaada wa Kimungu dhidi yao. Katika hili Wahagri na wote walio kuwa nao walishindwa. Hii ni kwa sababu Waisraeli walipaza sauti katika vita, na yeye akawajibu, kwa sababu waliweka tumaini lao kwake.
И те бидоха подпомогнати против тях, тъй че агаряните и всички, които бяха с тях, се предадоха в ръцете им; защото в битката те извикаха към Бога, и Той ги послуша, понеже уповаваха на Него.
21 Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
И плениха добитъка им: петдесет хиляди от камилите им, двеста и петдесет хиляди от овците им, и две хиляди от ослите им, също и сто хиляди души човеци;
22 Kwa sababu Mungu aliwapigania, waliua maadui wengi. Waliishi katika nchi yao mpaka mateka.
защото мнозина паднаха убити, понеже изходът на боя беше от Бога. И заселиха се на мястото им, и там живяха до пленението.
23 Baadhi ya watu wa kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni).
А потомците на половината Манасиево племе се заселиха в оная земя; те нараснаха от Васан до Ваал-ермон и Санир и планината Ермон.
24 Hawa walikuwa viongozi wa familia zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa wenye nguvu na wanaume wa jasiri, wanaume maharufu, viongozi wa familia zao.
И ето началниците на бащините им домове: Ефер, Есий, Елиил, Азрил, Еремия, Одуия и Адиил, мъже силни и храбри, мъже именити, началници на бащините си домове.
25 Lakini walikuwa sio wa aminifu kwa Mungu wa babu zao. Badala yake, waliabudu miungu ya watu waio nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao.
Но понеже те престъпваха против Бога на бащите си, като блудствуваха след боговете на народите на оная земя, които Бог беше погубил пред тях,
26 Mungu wa Israeli alimchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwa peleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo adi leo.
затова, Израилевия Бог подбуди духа на асирийския цар Фул, и духа на асирийския цар Теглат-Фелнасар, та плени рувимците и гадците и половината от Манасиевото племе, и заведе ги в Ала, в Авор, в Ара и до реката Гозан, гдето са и до днес.

< 1 Nyakati 5 >