< 1 Nyakati 4 >

1 Uzao wa Yuda ulikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri, na Shobali.
بني يهودا: فارَص و حَصرُون و کَرمي و حور و شوبال.۱
2 Shobali alikuwa baba wa Reaya. Reaya alikuwa baba wa Yahathi. Yahathi alikuwa baba wa Ahumai na Lahadi. Hawa walikuwa mababu wa koo za Wasorathi.
و رَآيا ابن شوبال يحَت را آورد و يحَت اَخُوماي و لاهَد را آورد. اينانند قبايل صَرعاتيان.۲
3 Hawa walikuwa mababu wa ukoo katika mji wa Etamu: Yezreeli, Ishma, na Idbashi. Babu yao alikuwa Haselelponi.
و اينان پسران پدر عيطام اند: يزرَعيل و يشما و يدباش و اسم خواهر ايشان هَصلَلفُوني بود.۳
4 Penueli alikuwa babu wa koo katika mji wa Gedori. Ezeri alikuwa muanzilishi wa koo katika Husha. Hawa walikuwa uzao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi na muanzilishi wa Bethelehemu.
فَنُوئيل پدر جَدُور و عازَر پدر خُوشَه اينها پسران حور نخست زاده اَفراته پدر بيت لحم بودند.۴
5 Ashuri baba wa Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
و اَشحُور پدر تَقّوع دو زن داشت: حَلا و نَعرَه.۵
6 Naara alimzalia Ahuzamu, Heferi, Temeni na Ahashtari. Hawa walikua wana wa Naara.
و نَعرَه، اَخُزّام و حافَر و تَيماني و اَخَشطاري را براي او زاييد؛ اينان پسران نَعرَه اند.۶
7 Wana wa Hela walikua Serethi, Ishari, Ethnani,
و پسران حَلا: صَرَت و صُوحَر و اَتنان.۷
8 na Kozi, alikua baba wa Anubu na Sobeba, na koo zilizotoka kwa Aharheli mwana wa Harumu.
و قُوس عانوب و صُوبِيبَه و قبايل اَخَرحيل بن هارُم را آورد.۸
9 Yabesi aliheshimika zaidi ya kaka zake. Mama yake alimuita Yabesi. Alisema, “Kwasababu nimemzaa katika huzuni.”
و يعبِيص از برادران خود شريف تر بود و مادرش او را يعبِيص نام نهاد و گفت: « از اين جهت که او را با حُزن زاييدم.»۹
10 Yabesi akamuita Mungu wa Israeli na kusema, “Kama tu utanibariki mimi, ongeza mipaka yangu, na mkono wako ukuwa juu yangu. Ukifanya hivi utaninusuru na mabaya, ili kwamba niwe huru na huzuni!” Kwa hivyo Mungu akamjalia maombi yake.
و يبِيص از خداي اسرائيل استدعا نموده گفت: « کاش که مرا برکت مي دادي و حدود مرا وسيع ميگردانيدي و دست تو با من مي بود و مرا از بلا نگاه مي داشتي تا محزون نشوم.» و خدا آنچه را که خواست به او بخشيد.۱۰
11 Kelubu kaka wa Shuha akawa baba wa Mehiri, aliyekuwa baba wa Eshtoni.
وکَلوب برادر شُوحَه مَحِير را که پدر اَشتون باشد آورد.۱۱
12 Eshtoni akawa baba wa Beth-Rafa, Pasea, na Tehina, ambaye alianzisha mji wa Nahashi. Hawa ni wanaume walioishi Reka.
و اَشتون بيت رافا و فاسيح تَحِنّه پدر عِير ناحاش را آورد. اينان اهل ريقَه مي باشد.۱۲
13 Wana wa Kenazi walikua Othinieli na Seraia. Wana wa Othinieli walikuwa Hathathi na Meonothai.
و پسران قَناز و عُتنِيئِيل و سَرايا بودند؛ و پسر عُتنيئيل حَتَات.۱۳
14 Meonothai akawa baba wa Ofara, na Seraia akawa baba wa Yohabu, mwanzilishi wa Ge Harashimu, ambao watu wake walikua wahunzi.
و مَعُونُوتاي عُفرَه را آورد و سَرايا، يوآب پدرجيحَراشيم را آورد، زيرا که صنعتگر بودند.۱۴
15 Wana wa Kalebu mwana wa Yefune walikua Iru, Ele na Namu. Wana wa Ela alikua Kenazi.
و پسران کاليب بن يفُنَّه، عيرُو و اِيلَه و ناعَم بودند؛ و پسر اِيلَه قَناز بود.۱۵
16 Wana wa Yehaleli walikua Zifi, Zifa, Tiriya, na Azareli.
و پسران يهلَلئيل، زيف و زيفَه و تِيريا و اَسَرئيل.۱۶
17 Wana wa Ezra walikua Yetheri, Meredi, Eferi, na Yaloni.
و پسران عَزرَه يتَر و مَرَد و عافَر و يالون(و زنِ مَرَد) مريم و شَماي و يشبَح پدر اَشتَمُوع را زاييد.۱۷
18 Mke wake Meredi wa Kimisri alimzalia Miriamu, Shamai, na Ishibahi, aliyekua baba wa Eshitemoa. Hawa walikua wana wa Bithia, binti wa Farao, ambaye Meredi alimuoa. Mke wa Kiyahudi wa Meredi alimzalia Yeredi, ambaye alikua baba wa Gedore; Heberi, aliyekua baba wa Soko; na Yekuthieli aliyekua baba wa Zanoa.
و زن يهوديه او يارَد، پدر جَدُور، و جابَر پدر سُوکُو و يقوتيئيل پدر زانوح را زاييد. اما آنان پسران بِتيه دختر فرعون که مَرَد او را به زني گرفته بود مي باشند.۱۸
19 Kati ya watoto wawili wa mke wa Hodia, dada wa Nahamu, mmoja wao kawa baba wa Keila Mgarimite. Mwingine alikua Eshitemoa Mmakathite.
و پسران زن يهوديه او که خواهر نَحَم بود پدر قَعيلَه جَرمي و اَشتَمُوع مَعکاتي بودند.۱۹
20 Wana wa Shimoni walikua Amnoni, Rina, Beni Hanani, na Tilon. Wana wa Ishi walikua Zohethi na Beni Zoheti.
وپسران شيمون: اَمنون وَرِنَّه و بِنحانان وتيلون و پسران يشعِي زُنزُوحيت.۲۰
21 Uzao wa Shela mwana wa Yuda, Ulikua ni Eri baba wa Leka, Laada baba wa Maresha na koo za wafanyakazi wa kushona kule Beth Ashbea,
و بني شيلَه بن يهودا، عير پدر ليکَه، و لَعدَه پدر مَريشَه و قبايل خاندان عاملان کتان نازک از خانواده اَشبيع بودند.۲۱
22 Yoakimu, Wanaume wa Kozeba, na Yoashi na Sarafi, waliokua na mali huko Moabu, lakini walirudi Bethlehemu. ( Maelezo haya yametoka kwenye nakala za zamani.)
و يوقيم و اهل کُوزِيبا و يوآش و ساراف که در موآب مِلک داشتند، و يشُوبي لَحمَ؛ و اين وقايع قديم است.۲۲
23 Baadhi ya watu hawa walikuwa ni wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera na wakawa wafanyakazi wa Mfalme.
و اينان کوزه گر بودند با ساکنان نتاعيم و جَديره که در آنجاها نزد پادشاه به جهت کار او سکونت داشتند.۲۳
24 Uzao wa Simeoni ulikua Jamini, Jaribu, Zera, na Shauli.
پسران شَمعون: نمُوئيل و يامين و ياريب و زارَح و شاؤل.۲۴
25 Shalumu alikua mwana wa Shauli, Mibisamu mwana wa Shalumu, na Mishima mwana wa Mibisamu.
و پسرش شَلّوُم و پسرش مِبسام و پسرش مِشماع.۲۵
26 Ukoo wa Mishima ulikua Hamueli mwana wake, Zakuri mjukuu wake, na Shimei kitukuu chake.
و بني مِشماع پسرش حموُئيل و پسرش زَکُّور و پسران شِمعي.۲۶
27 Shimei alikua na wana kumi na sita na mabinti sita. Kaka yake hakua na watoto wengi, Hivyo koo zao hazikuongezeka kwa idadi kubwa kama wato wa Yuda walivyoongezeka.
و شِمعي را شانزده پسر و شش دختر بود ولکن برادرانش را پسران بسيار نبود و همه قبايل ايشان مثل بني يهودا زياد نشدند.۲۷
28 Waliishi Beasheba, Molada, na Hazari Shuali.
و ايشان در بئرشَبَع و مُولادَه و حَصَر شُوآل،۲۸
29 Pia waliishi Bilha, Ezemu, Toladi,
و در بِلهَه و عاصَم و تولاد،۲۹
30 Bethueli, Horma, Zikilagi,
و در بَتوئيل و حَرمُه و صِقلَغ۳۰
31 Bethi Markabothi, Hazari Susimi, Bethi Biri, na Shaaraimu. Hii ilikua miji yao mpaka utawala wa Daudi.
و دربيت مرکَبوت و حَصرسُوسيم و بيت بِرئِي و شَعَرايم ساکن بودند. اينها شهرهاي ايشان تا زمان سلطنت داود بود.۳۱
32 Vijiji vyao vitano vilikua Etamu, Aini, Tocheni, na Ashani,
و قريه هاي ايشان عيطام عين و رِمُّون و تُوکَن و عاشان، يعني پنج قريه بود،۳۲
33 pamoja na mipaka ya vijiji kwa umbali wa Baali. Haya yalikua makazi yao, na walitunza kumbukumbu za uzao wao.
و جميع قريه هاي ايشان که در پيرامون آن شهرها تابَعل بود. پس مسکنهاي ايشان اين است و نسب نامه هاي خود را داشتند.۳۳
34 Viongozi wa ukoo walikua Meshobabu, Yamileki, Yoshahi mwana wa Amazia,
و مَشوبات و يمليک و يوشَه بن اَمصيا،۳۴
35 Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia mwana wa Seraia mwana wa Asieli,
يوئيل و ييهُو ابن يوشِبيا ابن سَرايا ابن عَسِيئيل،۳۵
36 Elioenai, Yaakoba, Yeshohaia, Asaia, Adieli, Yesimieli, Benaia,
و اَليوعيناي و يعکوبَه و يشوحايا وعَسايا و عِديئيل و يسيميئيل و بنايا،۳۶
37 na Ziza mwana wa Shifi mwana wa Aloni mwana wa Yedaia mwana wa Shimiri mwana wa Shemaia.
و زيزا ابن شِفعِي ابن اِلّوُن بن يدايا ابن شِمري ابن شَمَعيا،۳۷
38 Hawa walio orodheshwa kwa majina walikua viongozi wa koo zao, na koo zao ziliongezeka sana.
ايناني که اسم ايشان مذکور شد، در قبايل خود رؤسا بودند و خانه هاي آباي ايشان بسيار زياد شد.۳۸
39 Walienda karibu na Gedori, mashariki mwa bonde, kutafuta malisho ya mifugo yao.
و به مدخل جَدُورتا طرف شرقي وادي رفتند تا براي گله هاي خويش چراگاه بجويند.۳۹
40 Walipata malisho mengi na mazuri. Nchi ilikua tambarare, tulivu na ya amani. Wahamu waliishi hapo awali.
پس برومند نيکو يافتند و آن زمين وسيع و آرام و امين بود، زيرا که آلِ حام در زمان قديم در آنجا ساکن بودند.۴۰
41 Hao walio orodheshwa hapo kwa majina walikuja katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda, na wakashambulia makazi ya Wahamu na Wameuni, ambao pia walikua hapo. Waliwaangamiza kabisa na kuishi hapo sababu walipata malisho kwa ajili ya mifugo yao.
و ايناني که اسم ايشان مذکور شد، در ايام حِزقيا پادشاه يهودا آمدند و خيمه هاي ايشان و معونيان را که در آنجا يافت شدند، شکست دادند و ايشان را تا به امروز تباه ساخته، در جاي ايشان ساکن شده اند زيرا که مرتع براي گله هاي ايشان در انجا بود.۴۱
42 Wanaume mia tano wa kabila la Simeoni walienda katika mlima Seiri, na viongozi wao Pelatia, Nearia, Refaia, na Uzieli, wana wa Ishi.
و بعضي از ايشان، يعني پانصد نفر از بني شَمعُون به کوه سَعير رفتند؛ و فَلطِيا و نَعرِيا و رَفايا و عُرِّيئيل پسران يشيع رؤساي ايشان بودند.۴۲
43 Waliwashinda wakimbizi wa Waamaleki waliobakia, na wakaishi hapo hadi siku hii.
و بقيه عَمالَقَه را که فرار کرده بودند، شکست داده، تا امروز در آنجا ساکن شده اند.۴۳

< 1 Nyakati 4 >