< 2 Nyakati 1 >

1 Selemani mwana wa Daudi, aliimariswa katika utawala wake, na Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye na alimpa nguvu nyingi sana.
و سلیمان پسر داود در سلطنت خود قوی شد و یهوه خدایش با وی می‌بود و او راعظمت بسیار بخشید.۱
2 Sulemani akasema kwa Israleli wote, na maakida wa maelfu na wa mamia, na kwa waamuzi, na kwa kila mfalme kiongozi katika Israeli yote, wakuu wa kaya.
و سلیمان تمامی اسرائیل و سرداران هزاره وصده و داوران و هر رئیسی را که در تمامی اسرائیل بود از روسای خاندانهای آبا خواند.۲
3 Hivyo Sulemani na kusanyiko lote wakaenda pamoja naye sehemu ya juu iliyokuwa Gibeoni, maana ndipo palikuwepo hema ya kukutania ya Mungu, ambayo Musa mtumishi wa Yahwe, alikuwa ameitengeneza jangwani.
وسلیمان با تمامی جماعت به مکان بلندی که درجبعون بود رفتند زیرا خیمه اجتماع خدا که موسی بنده خداوند آن را در بیابان ساخته بود درآنجا بود.۳
4 Lakini Daudi alikuwa ameleta pale sanduku la Mungu kutoka Kiriath yeriam hadi sehemu ambayo alikuwa ametayarisha, maana alikuwa ameliandalia hema huko katika Yerusalemu.
لیکن داود تابوت خدا را از قریه یعاریم به‌جایی که داود برایش مهیا کرده بود بالاآورد و خیمه‌ای برایش در اورشلیم برپا نمود.۴
5 Zaidi ya hayo, madhabahu ya shaba iliyotengenezwa na Bezaleli mwana wa uri mwana wa Huri ilikuwepo huko kabla ya mbele ya madhabahu ya Yahwe; Sulemani na kusanyiko wakaenda ilikokuwa. (Maandiko ya zamani yanasema
ومذبح برنجینی که بصلئیل بن اوری ابن حورساخته بود، در آنجا پیش مسکن خداوند ماند وسلیمان و جماعت نزد آن مسالت نمودند.۵
6 Selemani akaenda huko kwenye kwenye madhabahu ya shaba mbele za Yahwe, ambayo ilikuwepo mahali pa hema ya kukutamia, na akatoa sadaka elfu za kuteketezwa juu yake.
پس سلیمان به آنجا نزد مذبح برنجینی که در خیمه اجتماع بود به حضور خداوند برآمده، هزارقربانی سوختنی بر آن گذرانید.۶
7 Mungu akamtokea Selemani usiku huo na akasema kwake, “Omba! Nikupe nini?”
در همان شب خدا به سلیمان ظاهر شد و اورا گفت: «آنچه را که به تو بدهم طلب نما.»۷
8 Selemani akasema kwa Mungu, “Umeonesha agano la uaminifu mkuu kwa Daudi baba yangu, na umenifanya mfalme katika nafasi yaye.
سلیمان به خدا گفت: «تو به پدرم داود احسان عظیم نمودی و مرا به‌جای او پادشاه ساختی.۸
9 Sasa, Yahwe Mungu, ahadi yako kwa Daudi baba yangu itimie, maana umenifanya mfalme juu ya watu wengi kama mavumbi ya dunia.
حال‌ای یهوه خدا به وعده خود که به پدرم داوددادی وفا نما زیرا که تو مرا بر قومی که مثل غبار زمین کثیرند پادشاه ساختی.۹
10 Sasa nipe hekima na maarifa, ili niweze kuwaongoza watu hawa, maana ni nani anayeweza kuwaamua watu wako, ambao ni wengi sana kwa idadi?”
الان حکمت ومعرفت را به من عطا فرما تا به حضور این قوم خروج و دخول نمایم زیرا کیست که این قوم عظیم تو را داوری تواند نمود؟»۱۰
11 Mungu akasema kwa Selemani, “Kwa kuwa hili lilikuwa kwenye moyo wako, na kwa kuwa hujaomba mali, utajiri, au heshima, wala maisha ya wale wanaokuchukia, wala maish marefu kwa jili yako binafsi, lakini umeomba hekima na maarifa kwa ajili yako, ili uwatawale watu wangu, ambao juu yao nimekufanya mfame, na hivi ndivyo nitafanya.
خدا به سلیمان گفت: «چونکه این در خاطرتو بود و دولت و توانگری و حشمت و جان دشمنانت را نطلبیدی و نیز طول ایام را نخواستی بلکه به جهت خود حکمت و معرفت رادرخواست کردی تا بر قوم من که تو را بر سلطنت ایشان نصب نموده‌ام داوری نمایی.۱۱
12 Sasa nitakupa hekima na maarifa, pia nitakupa mali na utajiri, na heshima, kuliko wafalme wote waliokuwepo kabla yako walivyokuwa, na baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”
لهذاحکمت و معرفت به تو بخشیده شد و دولت وتوانگری و حشمت را نیز به تو خواهم داد که پادشاهانی که قبل از تو بودند مثل آن را نداشتند وبعد از تو نیز مثل آن را نخواهند داشت.»۱۲
13 Kwa hiyo Selemani akaenda Yerusalemu kutoka sehemu ya juu iliyokuwepo Gibeoni, kutoka mbele ya hema ya kukutania; akatawala juu ya Israeli.
پس سلیمان از مکان بلندی که در جبعون بود ازحضور خیمه اجتماع به اورشلیم مراجعت کرد وبر اسرائیل سلطنت نمود.۱۳
14 Selemani akakusanya magari na wanaume waendesha farasi, naye alikuwa na magari 1, 400 na waendesha farasi kumi na mbili elfu ambao aliwaweka katika miji ya magari, pamoja naye, mfalme katika Yerusalemu.
و سلیمان ارابه‌ها و سواران جمع کرده، هزار و چهارصد ارابه و دوازده هزار سوار داشت، و آنها را در شهرهای ارابه‌ها و نزد پادشاه دراورشلیم گذاشت.۱۴
15 Mfalme akatengeneza fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe katika Yerusalemu, na mbao za mierezi kuwa kama miti ya mikuyu iliyomo katika nyanda za chini.
و پادشاه نقره و طلا را دراورشلیم مثل سنگها و چوب سرو آزاد را مثل چوب افراغ که در همواری است فراوان ساخت.۱۵
16 Selemani katika uagizaji wa farasi kutoka Misiri, wafanya biashara wake walinunua farasi kutoka Misiri kwa bei stahiki.
و اسبهای سلیمان از مصر آورده می‌شد، و تاجران پادشاه دسته های آنها را می‌خریدند هردسته را به قیمت معین.۱۶
17 Waliagiza gari kutoka Misiri kwa shekeli mia sita za fedha, na farasi mmoja kwa shekeli 150. Pia walinunua kutoka kwa wafalme wa Wahiti na wafalme wa Washamu.
و یک ارابه را به قیمت ششصد مثقال نقره از مصر بیرون می‌آوردند ومی رسانیدند و یک اسب را به قیمت صد و پنجاه، و همچنین برای جمیع پادشاهان حتیان وپادشاهان ارام به توسط آنها بیرون می‌آوردند.۱۷

< 2 Nyakati 1 >