< 1 Nyakati 24 >

1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
亞倫子孫的班次記在下面:亞倫的兒子是拿答、亞比戶、以利亞撒、以他瑪。
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
拿答、亞比戶死在他們父親之先,沒有留下兒子;故此,以利亞撒、以他瑪供祭司的職分。
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
以利亞撒的子孫撒督和以他瑪的子孫亞希米勒,同着大衛將他們的族弟兄分成班次。
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
以利亞撒子孫中為首的比以他瑪子孫中為首的更多,分班如下:以利亞撒的子孫中有十六個族長,以他瑪的子孫中有八個族長;
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
都掣籤分立,彼此一樣。在聖所和上帝面前作首領的有以利亞撒的子孫,也有以他瑪的子孫。
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
作書記的利未人拿坦業的兒子示瑪雅在王和首領,與祭司撒督、亞比亞他的兒子亞希米勒,並祭司利未人的族長面前記錄他們的名字。在以利亞撒的子孫中取一族,在以他瑪的子孫中取一族。
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
掣籤的時候,第一掣出來的是耶何雅立,第二是耶大雅,
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
第三是哈琳,第四是梭琳,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
第五是瑪基雅,第六是米雅民,
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
第七是哈歌斯,第八是亞比雅,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
第九是耶書亞,第十是示迦尼,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
第十一是以利亞實,第十二是雅金,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
第十三是胡巴,第十四是耶是比押,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
第十五是璧迦,第十六是音麥,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
第十七是希悉,第十八是哈闢悉,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
第十九是毗他希雅,第二十是以西結,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
第二十一是雅斤,第二十二是迦末,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
第二十三是第來雅,第二十四是瑪西亞。
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
這就是他們的班次,要照耶和華-以色列的上帝藉他們祖宗亞倫所吩咐的條例進入耶和華的殿辦理事務。
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
利未其餘的子孫如下:暗蘭的子孫裏有書巴業;書巴業的子孫裏有耶希底亞。
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
利哈比雅的子孫裏有長子伊示雅。
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
以斯哈的子孫裏有示羅摩;示羅摩的子孫裏有雅哈。
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
希伯倫 的子孫裏有長子耶利雅,次子亞瑪利亞,三子雅哈悉,四子耶加面。
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
烏薛的子孫裏有米迦;米迦的子孫裏有沙密。
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
米迦的兄弟是伊示雅;伊示雅的子孫裏有撒迦利雅。
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
米拉利的兒子是抹利、母示、 雅西雅;雅西雅的兒子有比挪;
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
米拉利的子孫裏有雅西雅的兒子比挪、朔含、撒刻、伊比利。
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
抹利的兒子是以利亞撒;以利亞撒沒有兒子。
29 Wana wa Kishi: Yerameli
基士的子孫裏有耶拉篾。
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
母示的兒子是末力、以得、耶利摩。按着宗族這都是利未的子孫。
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
他們在大衛王和撒督,並亞希米勒與祭司利未人的族長面前掣籤,正如他們弟兄亞倫的子孫一般。各族的長者與兄弟沒有分別。

< 1 Nyakati 24 >