< 1 Nyakati 23 >

1 Daudi alipo kuwa mzee na kukaribia mwisho wa maisha yake, alimfanya Sulemani mwanae mfalme juu ya Israeli.
Cuando David era anciano y lleno de días, proclamó a su hijo Salomón como rey sobre Israel.
2 Aliwakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, na makuhani na Walawi.
Reunió a todos los jefes de Israel, con los sacerdotes y levitas.
3 Walawi walio kuwa miaka thelathini na zaidi walihesabiwa. Idadi ya elfu thelathini na nane.
Fueron contados los levitas de 30 años arriba. El número de ellos, contados uno por uno, fue 38.000.
4 Kwa hawa, elfu ishirini na nne walikuwa kusimamia kazi ya nyumba ya Yahweh, na elfu sita walikuwa maaskari na waamuzi.
De éstos, 24.000 debían supervisar la obra de la Casa de Yavé, y 6.000 debían ser funcionarios y jueces.
5 Elfu nne walikuwa walinzi wa lango, na elfu nne walikuwa wamsifu Yahweh na vyombo nilivyo vitengeneza vya kusifu.” Daudi akasema.
4.000 eran porteros y 4.000 alababan a Yavé con los instrumentos que yo hice para tributar alabanzas, dijo David.
6 Akawatenganisha kwenye vikundi kulingana na wana wa Levi: Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Los repartió David en grupos según los hijos de Leví: Gersón, Coat y Merari.
7 Kwa koo za uzao wa Gerishoni, kulilkuwa na Ladani na Shimei.
Los hijos de Gersón: Laadán y Simei.
8 Palikuwa na watatu wa wana wa Ladani: Yehieli kiongozi, Zethami, na Yoeli.
Los hijos de Laadán, tres: Jehiel el primero, después Zetam y Joel.
9 Palikuwa na watatu wa wana wa Shimei: Shelomothi, Hazieli, na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa koo ya Ladani.
Los hijos de Simei, tres: Selomit, Haziel y Harán. Éstos fueron los jefes de las casas paternas de Laadán.
10 Palikuwa na wanne wa wana wa Shimei: Yahathi, Ziza, Yeushi, na Beria.
Los hijos de Simei: Jahat, Zina, Jeús y Bería. Estos cuatro fueron los hijos de Simei.
11 Yahathi alikuwa mkubwa, Ziza wapili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi, hivyo walihesabiwa kama ukoo mmoja na kupangiwa kazi sawa.
Jahat era el primero, y Zina el segundo. Pero Jeús y Bería no tuvieron muchos hijos, por lo cual fueron contados como una sola familia.
12 Palikuwa na wanne wa wana wa Kohathi: Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Los hijos de Coat: Amram, Izhar, Hebrón y Uziel, ellos cuatro.
13 Hawa walikuwa wana wa Amramu: Aruni na Musa. Aruni alichaguliwa kuandaa vitu vitakatifu, yeye na uzao wake watatoa uvumba kwa Yahweh, kumtumikia na kumpa baraka kwa jina lake.
Los hijos de Amram: Aarón y Moisés. Aarón fue apartado para que se dedicara con sus hijos a las cosas más sagradas, quemaran incienso delante de Yavé, ministraran y bendijeran en su Nombre para siempre.
14 Lakini kwa Musa mtu wa Mungu, wana wake walihesabiwa kuwa Walawi.
Los hijos de Moisés, varón de ʼElohim, fueron contados en la tribu de Leví.
15 Wana wa Musa walikuwa Gerishomu na Eliezeri.
Los hijos de Moisés: Gersón y Eliezer.
16 Uzao wa Gerishomu ulikuwa Shebueli mkubwa.
Sebuel, hijo de Gersón, fue el jefe.
17 Uzao wa Eliezeri alikuwa Rehabia. Eliezeri hakuwa na wana wengine, lakini Rehabia alikuwa na uzao mkubwa.
Rehabías, hijo de Eliezer, fue el jefe. Eliezer no tuvo otros hijos, pero los hijos de Rehabías se multiplicaron grandemente.
18 Mwana wa Izihari alikuwa Shelomithi kiongonzi.
El hijo de Izhar fue Selomit, el jefe.
19 Uzao wa Hebroni ulikuwa Yeria, mkubwa, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Los hijos de Hebrón: Jerías el primero, Amarías el segundo, Jahaziel el tercero, y Jecamán el cuarto.
20 Wana wa Uzieli walikuwa Mika mkubwa, na Ishia wapili.
Los hijos de Uziel: Micaía el primero, e Isías el segundo.
21 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Wana wa Mahili walikuwa Eleazari na Kishi.
Los hijos de Merari: Mahli y Musi. Hijos de Mahli: Eleazar y Cis.
22 Eleazari alikufa bila mtoto wa kiume. Alikuwa na mabinti tu. Wana wa Kishi waliwaoa.
Eleazar murió y no tuvo hijos, sino solo hijas, de modo que sus parientes, los hijos de Cis, las tomaron como esposas.
23 Wana wa Mushi watatu walikuwa Mahili, Ederi, na Yeremothi.
Los hijos de Musi fueron tres: Mahli, Edar y Jeremot.
24 Hawa walikuwa uzao wa Lawi kuligana na koo zao. Walikuwa viongozi, wamehesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, kuanzia koo zilizo fanya kazi katika nyumba ya Yahweh, kutoka miaka ishirini na zaidi.
Éstos fueron los hijos de Leví según sus casas paternas, jefes de casas paternas según el censo de ellos, contados por sus nombres, individualmente, de 20 años arriba, los cuales trabajaban en el ministerio de la Casa de Yavé.
25 Kwa kuwa Daudi alisema, “Yahweh, Mungu wa Israeli, amewapa pumziko watu wake. Anafanya makao yake Yerusalemu milele.
Porque David dijo: Yavé ʼElohim de Israel dio paz a su pueblo Israel. Él morará en Jerusalén para siempre.
26 Walawi hawataitaji kubeba hema la kuabuadia na vifaa vyake vinavyo tumika kwenye utumishi wake.”
Además los levitas ya no tendrán que cargar el Tabernáculo y todos los utensilios para su ministerio.
27 Kwa maneno ya Daudi ya mwisho Walawi walihesabiwa, miaka ishirini na kuendelea.
Así que, conforme a las últimas palabras de David, los hijos de Leví fueron contados de 20 años arriba.
28 Wajibu wao ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh. Walikuwa washughulikie nyuani, vyumbani, utakasaji wa vitu vyote vya Yahweh, na kazi zingine katika utumishi wa nyumba ya Mungu.
Estaban bajo las órdenes de los hijos de Aarón a fin de que ministraran en la Casa de Yavé en los patios y las cámaras: para la purificación de toda cosa consagrada, la obra del ministerio de la Casa de ʼElohim
29 Pia walishughulikia mkate wa uwepo, unga safi wa mbegu za sadaka, maandazi ya siotiwa chachu, sadaka za ngano, sadaka ziliochanganywa na mafuta, na vipimo vyote vya idadi n a ukubwa wa vitu.
y los Panes de la Presencia, mantener la flor de harina destinada al sacrificio, a las hojuelas sin levadura, a lo preparado en sartén, a lo tostado y a toda medida y cuenta,
30 Pia walisimama kila asubui kumshukuru na kumsifu Yahweh. Pia walifanya hivi jioni
asistir cada mañana todos los días a dar gracias y tributar alabanzas a Yavé, y asimismo al llegar la noche,
31 na kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilipo tolewa kwa Yahweh, siku ya Sabato na sherehe za mwezi mpya na siku za maakuli. Idadi iliyo pangwa, iliyo tolewa kwa amri, ilipaswa kuwa mbele ya Yahweh.
ofrecer todos los holocaustos a Yavé todos los sábados, las lunas nuevas y las solemnidades señaladas continuamente delante de Yavé, según el número fijado por la ordenanza que los prescribe,
32 Walikuwa viongozi wa hema la kukutania, patakatifu, na kuwasaidia ndugu zao wa uzao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh.
y para que tuvieran la custodia del Tabernáculo de Reunión y del Santuario, bajo las órdenes de sus hermanos hijos de Aarón en el ministerio de la Casa de Yavé.

< 1 Nyakati 23 >