< Hesabu 36 >

1 Viongozi wa jamaa ya ukoo wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase, waliokuwa wametoka katika koo za wazao wa Yosefu, walikuja na kuzungumza mbele ya Mose na viongozi, wakuu wa jamaa ya Waisraeli.
Wtedy przystąpili naczelnicy spośród ojców synów Gileada, syna Makira, syna Manassesa, z domów Józefa, i mówili przed Mojżeszem i przed książętami, naczelnikami ojców synów Izraela:
2 Wakasema, “Bwana alipomwamuru bwana wangu kuwapa Waisraeli nchi kama urithi kwa kura, alikuamuru kutoa urithi wa ndugu yetu Selofehadi kwa binti zake.
PAN nakazał memu panu rozdzielić ziemię w dziedzictwo synom Izraela przez losowanie; mojemu panu rozkazano też przez PANA dać dziedzictwo naszego brata Selofchada jego córkom.
3 Sasa ikiwa wataolewa na watu wa makabila mengine ya Kiisraeli, itakuwa kwamba urithi wao utaondolewa kutoka urithi wa mababu zetu na kuongezwa katika urithi wa kabila ambalo dada hao wameolewa. Kwa hiyo sehemu ya urithi tuliyogawiwa itachukuliwa kutoka kwetu.
Jeśli więc któryś z synów [innego] pokolenia synów Izraela pojmie je [za żony], to ich dziedzictwo zostanie odjęte od dziedzictwa naszych ojców i przyłączone do dziedzictwa pokolenia, do którego będą należeć; w ten sposób nasze dziedzictwo się zmniejszy.
4 Wakati mwaka wa Yubile kwa Waisraeli utafika, urithi wao utaongezwa kwa lile kabila ambalo wameolewa, na mali yao itaondolewa kutoka urithi wa kabila la mababu zetu.”
A gdy nadejdzie rok jubileuszowy dla synów Izraela, wtedy ich dziedzictwo zostanie przyłączone do dziedzictwa pokolenia, do którego będą należeć; i tak ich dziedzictwo zostanie odjęte od dziedzictwa pokolenia naszych ojców.
5 Ndipo kwa agizo la Bwana Mose akatoa amri ifuatayo kwa Waisraeli: “Kile wazao wa kabila la Yosefu wanachosema ni kweli.
Wtedy Mojżesz rozkazał synom Izraela zgodnie ze słowem PANA: Słusznie mówi pokolenie synów Józefa.
6 Hivi ndivyo Bwana anavyoamuru kwa binti za Selofehadi: Wanaweza kuolewa na mtu yeyote wampendaye, mradi tu waolewe miongoni mwa koo za kabila za baba yao.
Oto co PAN rozkazał w sprawie córek Selofchada: Niech wychodzą za mąż, za kogo chcą, ale mogą wyjść tylko za kogoś z domu pokolenia swoich ojców;
7 Hakuna urithi katika Israeli utakaohamishwa kutoka kabila moja kwenda kabila jingine, kwa kuwa kila Mwisraeli atatunza ardhi ya kabila lake aliyoirithi kutoka kwa baba zake.
Aby dziedzictwo synów Izraela nie było przenoszone z [jednego] pokolenia na [drugie] pokolenie. Każdy bowiem z synów Izraela ma pozostać przy dziedzictwie pokolenia swoich ojców.
8 Kila binti atakayerithi ardhi katika kabila lolote la Israeli ni lazima aolewe na mtu kutoka kabila na ukoo wa baba yake, ili kila Mwisraeli amiliki urithi wa baba zake.
I każda córka, która posiada dziedzictwo w jakimś pokoleniu synów Izraela, wyjdzie za mąż za kogoś z domu pokolenia swego ojca, aby synowie Izraela dziedziczyli, każdy dziedzictwo swoich ojców.
9 Hakuna urithi uwezao kuhamishwa kutoka kabila moja kwenda kabila jingine, kwa kuwa kila kabila la Israeli litatunza nchi linayorithi.”
Dziedzictwo bowiem nie będzie przenoszone z [jednego] pokolenia na drugie pokolenie, lecz każde z pokoleń synów Izraela ma pozostać przy swoim dziedzictwie.
10 Kwa hiyo binti za Selofehadi wakafanya kama Bwana alivyomwamuru Mose.
Jak PAN rozkazał Mojżeszowi, tak uczyniły córki Selofchada.
11 Binti za Selofehadi, ambao ni Mahla, Tirsa, Hogla, Milka na Noa, wakaolewa na waume, wana wa ndugu za baba yao.
Bo Machla, Tirsa, Chogla, Milka i Noa, córki Selofchada, wyszły za mąż za synów swoich stryjów.
12 Waliolewa ndani ya koo za wazao wa Manase mwana wa Yosefu, na urithi wao ukabaki katika ukoo na kabila la baba yao.
Wyszły za mąż w rodzinach synów Manassesa, syna Józefa; w ten sposób ich dziedzictwo pozostało przy pokoleniu domu ich ojca.
13 Haya ndiyo maagizo na masharti ambayo Bwana aliwapa Waisraeli kupitia Mose katika tambarare za Moabu, karibu na Yordani ngʼambo ya Yeriko.
To są przykazania i prawa, które PAN nakazał synom Izraela przez Mojżesza na równinach Moabu, nad Jordanem, [naprzeciw] Jerycha.

< Hesabu 36 >