< Luka 11 >

1 Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akiomba. Alipomaliza kuomba, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, tufundishe kuomba, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.”
Yapatike wakati yesu pabile kaloba sehemu fulani yuma wabanafunzi bake atikuwabakia “Ngwana utupundishe twenga loba kati yehona cha bafumbike anafunzi bake”.
2 Akawaambia, “Mnapoomba, semeni: “‘Baba yetu (uliye mbinguni), jina lako litukuzwe, ufalme wako uje. (Mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.)
Yesu atikuwabakiya, pampalasali, mubaye, tate, lina lyako lifukuzwe, ufalme wako uiche.
3 Utupatie kila siku riziki yetu.
Utapei mkate witu wakila lichobo.
4 Utusamehe dhambi zetu, kwa kuwa na sisi huwasamehe wote wanaotukosea. Wala usitutie majaribuni (bali utuokoe kutoka kwa yule mwovu).’”
Utasamii makasagitu, kati twenga chatu wasania bahatukosea boti, kana utujeilii mmajalibu.
5 Kisha akawaambia, “Ni nani miongoni mwenu mwenye rafiki yake, naye akamwendea usiku wa manane na kumwambia, ‘Rafiki, nikopeshe mikate mitatu.
Yesu atikuwabakiya “Nyai kwinu ya abile na timbwiga yapalakunyendelia kilo na nakumakia mbwigai yango uniachime mikate itatu.
6 Kwa sababu rafiki yangu amekuja kutoka safarini, nami sina kitu cha kumpa.’
Kwa sababu mbwigali yango haichile na mbeambeno boka safari nanenga ndopo chakumwandaliya.
7 “Kisha yule aliyeko ndani amjibu, ‘Usinisumbue. Mlango umefungwa, nami na watoto wangu tumelala. Siwezi kuamka nikupe chochote.’
Nayolo yabile mkati atiyangwa, kanauniangishe mumnyongo tayari ujigalilwe na bana banga pamope nanenga tugonjike pakindanda. Ngwechalii ya yumuka na kukupewa wenga mikate.
8 Nawaambia, ingawa huyo mtu hataamka na kumpa hiyo mikate kwa sababu ni rafiki yake, lakini kwa sababu ya kuendelea kwake kuomba, ataamka na kumpa kiasi anachohitaji.
Nindakuwabakia kikowe ayumukali na kukupea mikate kati wenga wambwigati yake kwasababu yendeliya kukomboliya oli bila oni, apalayumukali na kukupie ipande yanambone ya mikate lingana na mahitaji yake.
9 “Kwa hiyo nawaambia: Ombeni nanyi mtapewa; tafuteni nanyi mtapata; bisheni nanyi mtafunguliwa mlango.
Manenga mndakuwabakia mulobange na mwenga mpalapata mupalange na mwenga mpalatatu mukombwange oli na mwenga mpalayongolekwa.
10 Kwa kuwa kila aombaye hupewa; naye kila atafutaye hupata; na kila abishaye hufunguliwa mlango.
Kwa kuwa kila mundu yaloba apalapokiya na kila mundu yapala apapata na kila mundu yakombwa odi, mnyango apayogolekwa.
11 “Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba samaki, atampa nyoka badala yake?
Tate ywakwo kati yinu, mwana wake mana alobite omba, ampeya mngambo badala yake?
12 Au mtoto akimwomba yai atampa nge?
Au kunnoba lipinga kampeya kipelele badala yake?
13 Basi ikiwa ninyi mlio waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa Roho Mtakatifu wale wamwombao!”
Kwa nyo, mwenga mwabile alau mutangite kuwapea bana binu kuwapea zawadi yaibile inanoga, muno kwaa Tate binu wa kumaunde apala kuwapea Roho Mpeletau balo babamnoba?”
14 Basi Yesu alikuwa anamtoa pepo mchafu kutoka kwa mtu aliyekuwa bubu. Yule pepo mchafu alipomtoka yule mtu aliyekuwa bubu, akaanza kuongea, nao umati wa watu ukashangaa.
Baadaye Yesu abile kaakemiya nchela, ni mundu ywabile ni nchela abile ni bubu. Pabile nchela gam'boi, mundu yolo awechite longela. Bandu banyansima batishangala muno.
15 Lakini wengine wakasema, “Anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, yule mkuu wa pepo wachafu wote.”
Lakini bandu benge batibaya, “hayo aboya nchela kwa Beelzebul, nkolo wa nchela.
16 Wengine ili kumjaribu wakataka awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
Benge batiyangwa ni kumpala abalage ishara boka kumaunde.
17 Yesu akajua mawazo yao, naye akawaambia, “Kila ufalme ukigawanyika dhidi yake wenyewe huangamia. Nayo nyumba iliyogawanyika dhidi yake yenyewe itaanguka.
Lakini Yesu atiyatambua mawaso gabe ni kuwabakiya, “kila ufalme waubaganika ya panga ukeba, ni nyumba yaibaganike yalwatomboka.
18 Kama Shetani amegawanyika mwenyewe, ufalme wake utasimamaje? Nawaambia haya kwa sababu ninyi mnadai ya kuwa mimi ninatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli.
Kati nchela atibaganika, ufalme wake upala yama kitiwi? Kwa sababu mubaya apiya moka kwa Belzebuli
19 Kama mimi natoa pepo wachafu kwa nguvu za Beelzebuli, wafuasi wenu nao je, wao hutoa pepo wachafu kwa uwezo wa nani? Hivyo basi, wao ndio watakaowahukumu.
Kati nee nipiya mokoka kwa Belzebuli, Je ainu baboya moka kwa ndela gani, Kwasababu yeno, babo bapala kuwa ukumu mwenga.
20 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa kidole cha Mungu, basi Ufalme wa Mungu umewajia.
Lakini, kati meite niboya moka kwa lakonji lwa Nnongo uwichile.
21 “Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha anapoilinda nyumba yake, mali yake iko salama.
Mundu ywabile ni ngupu yabile ni silaha kalendela nyumba yake, ilebe yake ipalal tama salama.
22 Lakini mtu mwenye nguvu zaidi kumliko akimshambulia na kumshinda, yeye humnyangʼanya silaha zake zote alizozitegemea, na kuchukua nyara.
Lakini kumvamia ni mundu ywabile ni ngupu zaidi, yolo mundu mwene ngupu nakumpokonywa silaha yake, natola mali yake yoti.
23 “Mtu asiyekuwa pamoja nami yu kinyume nami, na mtu ambaye hakusanyi pamoja nami, hutawanya.
Ywembe ywabile pamope ni nee abile kinyume ni nee, ni ywembe yayangabana kwaa pamope ni nee utawanyisha.
24 “Pepo mchafu amtokapo mtu, hutangatanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati. Ndipo husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu nilikotoka.’
Ncheka nchapu pammoka mundu, ayenda ni pala sehemu pagamile ntopo mache lenga apomoli.
25 Naye arudipo na kuikuta ile nyumba imefagiliwa na kupangwa vizuri,
Papanga akosite, ubaya, nipala buya kwa mboi. Papala buya nabona nyumba ipambilwe ni itama vizuri.
26 ndipo huenda na kuchukua pepo wachafu wengine saba wabaya kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo. Nayo hali ya mwisho ya yule mtu huwa ni mbaya kuliko ile ya kwanza.”
Nga nyo paba buyangine nakoliya nyumba itipyailwa ni itami vizuri. Huyenda pala moka genge saba balio baovu zaidi kuliko ywembe mwene ni kubaleta baichange tama sehemu yelo. Ni hali ya mundu ywoo upanga m'baya kuliko ywabile mara ya kwanza.
27 Ikawa Yesu alipokuwa akisema hayo, mwanamke mmoja katikati ya ule umati wa watu akapaza sauti akasema, “Limebarikiwa tumbo lililokuzaa na matiti uliyonyonya!”
Yapitike kwamba pabaite maneno goo, nnwawa pulani akombwililobe lyake zaidi ya boti pamkutano wa bandu ni baya, “litibarikiwa ndumbo lalikupapite ni mabele yauyongite.”
28 Yesu akajibu, “Wamebarikiwa zaidi wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
Lakini ywembe atibaya, mutibarikiwa mwamupekaniya neno lya Nnongo ni kulitunza.
29 Umati wa watu ulipokuwa unazidi kuongezeka, Yesu akaendelea kusema, “Hiki ni kizazi kiovu. Kinatafuta ishara, lakini hakitapewa ishara yoyote isipokuwa ile ya Yona.
wakati bandu banyansima batikusanyika ni yongeyeka, Yesu atumbwile baya, “Kizazi cheno ni kizazi cha maovu. Upala ishara ni ntopo ishara yabapeilwa zaidi ya yelo ishara ya Yona.
30 Kwa maana kama vile Yona alivyokuwa ishara kwa watu wa Ninawi, ndivyo Mwana wa Adamu atakavyokuwa ishara kwa kizazi hiki.
Maana kati Yona abile ni ishara kwa bandu ba Ninawi, nga nyo ni mwana wa Adamu apala baa ishara kwa kizazi cheno.
31 Malkia wa Kusini atasimama wakati wa hukumu na kuwahukumu watu wa kizazi hiki. Kwa kuwa yeye alikuja kutoka miisho ya dunia ili kuisikiliza hekima ya Solomoni. Na hapa yupo aliye mkuu kuliko Solomoni.
Malkia wa kusini ayimaa lichuba lya hukumu ni bandu ba lubeleko linu ni kubahukumu bembe kwani ywembe apitike mwisho wa kilambo linga aiche apikani hekima ya Solomoni, ni hapo abile nkolo kuliko Solomoni.
32 Siku ya hukumu, watu wa Ninawi watasimama pamoja na kizazi hiki na kukihukumu; kwa maana wao walitubu waliposikia mahubiri ya Yona. Na tazama, hapa yupo yeye aliye mkuu kuliko Yona.
Bandu ba Ninawi bayimaa katika hukumu pamope ni bandu ba lubeleko luu lichoba lya hukumu bakikuhukumu, kwani bembe batitubu kwa mahubiri ga Yona, ni linga, hapa abii nkolo kuliko Yona.
33 “Hakuna mtu yeyote awashaye taa na kuiweka mahali palipofichika au kuifunikia chini ya bakuli. Badala yake huiweka juu ya kinara chake, ili watu wote wanaoingia waone nuru.
Ntopo mundu yoyoti, ywa washa taa ni kuibuka sehemu pae yene libindu yangali bonekana au pae ya kitondo, ila washa ni kuibika panani ya kilee lnga kila mundu ywa jingya aweche bona bwea.
34 Jicho lako ni taa ya mwili wako. Kama jicho lako ni zima, mwili wako wote pia umejaa nuru. Lakini kama jicho ni bovu, mwili wako wote pia umejaa giza.
Lio lyako ni taa ya yiga, lio lyake mana lizuri basi yiga yake yoti yabaa mumbwea. Lakini lio lyako mana libile libaya basi yiga yako yoti waba mulubindu.
35 Kwa hiyo, hakikisha kwamba nuru iliyoko ndani yako isiwe giza.
Kwa nyo, muhiadhili linga bwea wa ibile nkati yinu kana ujihilwa libindu.
36 Basi ikiwa mwili wako wote umejaa nuru, bila sehemu yake yoyote kuwa gizani, basi utakuwa na nuru kama vile taa ikuangazavyo kwa nuru yake.”
Kwa nyo, kati yiga yoti ibile mubwega, ni ntopo sehemu yaibile mulubindo, basi yiga yako wabaa sawa ni taa yaiyaka ni piya bwega kwinu.”
37 Yesu alipomaliza kuzungumza, Farisayo mmoja alimwalika nyumbani mwake kwa chakula. Yesu akaingia na kuketi katika sehemu yake mezani.
Paywomwile longela, Farisayo atikunkoka akalye chakulya kachake, naye Yesu ajingii nkati ni ba pamope nabo.
38 Yule Farisayo akashangaa kwamba Yesu hakunawa kwanza kabla ya kula.
Ni mafarisayo batichangala kwa kuwa haulugwi kwa kwanza kabla ya chakulya cha kitamuyo.
39 Ndipo Bwana akamwambia, “Sasa, enyi Mafarisayo, mnasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa unyangʼanyi na uovu.
Lakini Ngwana awabakiye, “mwenga Mafarisayo mughulwa ikombo panja ni makaburi, lakini nkati yinu mutwi kwaa tamaa ni ulau.
40 Enyi wapumbavu! Hamjui kuwa yeye aliyetengeneza nje ndiye alitengeneza na ndani pia?
Mwenga mwa bandu mwangali lunda buli ywembe ywaubile panja aumbite kwaa ni ngati kae?
41 Basi toeni sadaka ya vile mlivyo navyo, na tazama, vitu vyote vitakuwa safi kwenu.
mwapei masikini gagabile nkati, ni ikoe yoti yapanga safi kwinu.
42 “Lakini ole wenu, Mafarisayo, kwa maana mnampa Mungu zaka za mnanaa, mchicha na kila aina ya mboga, lakini mnapuuza haki na upendo wa Mungu. Iliwapasa kufanya haya ya pili bila kupuuza hayo ya kwanza.
Lakini ole winu Mafarisayo, kwani mpiya zako ya mnanaa ni ndebele ni kila aina ya mboga ya bustani. Lakini mlekite makoe ga haki ni kumpenda Nnongo, bila leka panga ginge kae.
43 “Ole wenu Mafarisayo, kwa sababu ninyi mnapenda kukalia viti vya mbele katika masinagogi, na kusalimiwa kwa heshima masokoni.
Ole winu Mafarisayo, kwa kuwa mpendi tama katika itego ya nnongi mu sinagogi na lamukilwa salamu ya heshima mmusoko.
44 “Ole wenu, kwa sababu ninyi ni kama makaburi yasiyokuwa na alama, ambayo watu huyakanyaga pasipo kujua.”
Ole winu, mulandana ni makaburi gangali ni alama ambago bandu utyanga panani yake bila tanga.”
45 Mtaalamu mmoja wa sheria akamjibu, akasema, “Mwalimu, unaposema mambo haya, unatutukana na sisi pia.”
Mwalimu yumo ywa saliya ya Kiyahudi anyangusi ni kumakiya, Mwalimu chaukibaya chenda kutuuzi kayetwenga.”
46 Yesu akamjibu, “Nanyi wataalamu wa sheria, ole wenu, kwa sababu mnawatwika watu mizigo mizito ambayo hawawezi kubeba, wala ninyi wenyewe hamwinui hata kidole kimoja kuwasaidia.
Yesu abayite, “Ole winu, baalimu ba shaliya! kwani muapea bandu michigo mikulu yangali kuiwecha kuiputwa, lakini mwenga mkunywa kwaa michigo yoo hata kwa lukonji lumo.
47 “Ole wenu, kwa sababu ninyi mnajenga makaburi ya manabii waliouawa na baba zenu.
Ole winu, kwasababu mchenga ni bika kumbukumbu mu makaburi ga manabii amababo mjenga kumbukumbu katika makabuli ga manabii ambabo bababulige ni bukubinu.
48 Hivyo ninyi mwashuhudia na mnathibitisha kile baba zenu walichofanya. Wao waliwaua manabii, nanyi mnawajengea makaburi.
Nga nyo mwenga muchimulya yitityana na kachi yabapangite babubinu kwa sababu kweli bawile manabii ambabo mjenga kumbukumbu katika makaburi gabe.
49 Kwa sababu ya jambo hili, Mungu katika hekima yake alisema, ‘Tazama, nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua baadhi yao na wengine watawatesa.’
Kwasababu ya kae hekima ya Nnongo ibaya, “Mbakuatuma manabii ni mitume nabo bapakuatesa ni kuabulaga baadhi yabe.
50 Kwa hiyo kizazi hiki kitawajibika kwa ajili ya damu ya manabii iliyomwagwa tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu,
Lubeleko lu lwa wajibika kwa damu ya manabii babawile tangu tumbwa kwa kilambo.
51 tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zekaria, aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Naam, nawaambia, kizazi hiki kitawajibika kwa haya yote.
Buka damu ya Abeli hadi damu ya Zakaria, ywa wile katikati ya madhabahu ni patakatifu. Ndiyo niwabakiya mwenga, lubeleko lu chawajibika.
52 “Ole wenu ninyi wataalamu wa sheria, kwa sababu mmeuondoa ufunguo wa maarifa. Ninyi wenyewe hamkuingia, na wale waliokuwa wanaingia mkawazuia.”
Ole winu balimu ba saliya ya Kiyahudi, kwa sababu mtweti funguo ya lunda; mwenga mwabene mujingya kwaa, ni balo babapala jingya mwanda kuwa chibya.”
53 Yesu alipoondoka huko, walimu wa sheria na Mafarisayo wakaanza kumpinga vikali na kumsonga kwa maswali,
Baada ya Yesu buka palo baandishi ni Mafarisayo batikumpinga ni ntau nakwe husu makowe maingi.
54 wakivizia kumkamata kwa kitu atakachosema ili wamshtaki.
kubapaya akole kwa maneno gake.

< Luka 11 >