< Yeremia 35 >

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana, wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:
Słowo, które doszło do Jeremiasza od PANA za dni Joakima, syna Jozjasza, króla Judy, mówiące:
2 “Nenda kwa jamaa ya Warekabi, uwaalike waje kwenye moja ya vyumba vya pembeni vya nyumba ya Bwana, na uwape divai wanywe.”
Idź do domu Rekabitów, porozmawiaj z nimi i wprowadź ich do domu PANA, do jednej z komnat, i daj im wino do picia.
3 Basi nikaenda kumwita Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake na wanawe wote, yaani jamaa nzima ya Warekabi.
Zabrałem więc ze sobą Jaazaniasza, syna Jeremiasza, syna Chabasiniasza, jego braci, wszystkich jego synów i cały dom Rekabitów;
4 Nikawaleta katika nyumba ya Bwana, ndani ya chumba cha wana wa Hanani mwana wa Igdalia mtu wa Mungu. Kilikuwa karibu na chumba cha maafisa, ambacho kilikuwa juu ya kile cha Maaseya mwana wa Shalumu, aliyekuwa bawabu.
I wprowadziłem ich do domu PANA, do komnaty synów Chanana, syna Jigdaliasza, męża Bożego, która [była] obok komnaty książęcej nad komnatą Maasejasza, syna Szalluma, stróża progu.
5 Kisha nikaweka mabakuli yaliyojaa divai na baadhi ya vikombe mbele ya watu wa jamaa ya Warekabi na kuwaambia, “Kunyweni divai.”
Potem postawiłem przed synami domu Rekabitów czasze pełne wina i kubki i powiedziałem do nich: Pijcie wino.
6 Lakini wao wakajibu, “Sisi hatunywi divai, kwa sababu baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu, alitupa agizo hili: ‘Ninyi wala wazao wenu kamwe msinywe divai.
Lecz oni odpowiedzieli: Nie pijemy wina, bo Jonadab, syn Rekaba, nasz ojciec, nakazał nam, mówiąc: Nie pijcie wina, ani wy, ani wasi synowie, aż na wieki.
7 Pia msijenge nyumba kamwe, wala kuotesha mbegu au kupanda mashamba ya mizabibu. Kamwe msiwe na kitu chochote katika hivi, lakini siku zote lazima muishi kwenye mahema. Ndipo mtakapoishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo ninyi ni wahamiaji.’
Nie budujcie też domów ani nie obsiewajcie nasieniem, nie sadźcie winnic ani nie posiadajcie [żadnej], ale mieszkajcie w namiotach przez wszystkie wasze dni, abyście żyli przez wiele dni na powierzchni ziemi, w której jesteście przybyszami.
8 Tumetii kila kitu ambacho baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu alituamuru. Sisi wenyewe wala wake zetu wala wana wetu na binti zetu kamwe hatujanywa divai
Byliśmy więc posłuszni głosowi Jonadaba, syna Rekaba, naszego ojca, we wszystkim, co nam nakazał: nie piliśmy wina przez wszystkie nasze dni, my, nasze żony, nasi synowie i nasze córki;
9 wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao.
I nie budowaliśmy sobie domów do zamieszkania ani nie mieliśmy winnicy ani pola, ani siewu.
10 Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.
Ale mieszkamy w namiotach; byliśmy posłuszni i postępujemy zgodnie ze wszystkim, co nam nakazał Jonadab, nasz ojciec.
11 Lakini wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli alipoivamia nchi hii, tulisema, ‘Njooni, lazima twende Yerusalemu ili kukimbia majeshi ya Wakaldayo na ya Washamu.’ Kwa hiyo tumeishi Yerusalemu.”
A gdy Nabuchodonozor, król Babilonu, nadciągnął do [naszej] ziemi, powiedzieliśmy: Chodźcie, wejdźmy do Jerozolimy przed wojskiem Chaldejczyków i przed wojskiem Syryjczyków. Zostaliśmy więc w Jerozolimie.
12 Ndipo neno la Bwana likamjia Yeremia kusema:
Wówczas doszło słowo PANA do Jeremiasza mówiące:
13 “Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli, asemalo: Nenda ukawaambie watu wa Yuda na watu wa Yerusalemu, ‘Je, hamwezi kujifunza kutoka kwa wana wa Rekabu, na kuyatii maneno yangu?’ asema Bwana.
Tak mówi PAN zastępów, Bóg Izraela: Idź i powiedz Judejczykom i mieszkańcom Jerozolimy: Czy nie przyjmiecie pouczenia, by słuchać moich słów? – mówi PAN.
14 ‘Yonadabu mwana wa Rekabu aliwaagiza wanawe wasinywe divai, na agizo hilo wamelishika mpaka leo hawanywi divai, kwa sababu wanatii amri ya baba yao. Lakini nimenena nanyi tena na tena, lakini hamkunitii mimi.
Wypełniane są słowa Jonadaba, syna Rekaba, które przykazał swoim synom, aby nie pili wina. Nie piją go bowiem aż do dziś, bo są posłuszni przykazaniu swego ojca. Ja jednak mówiłem do was, z wczesnym wstawaniem i mówieniem, lecz nie słuchaliście mnie.
15 Tena na tena nimewatuma watumishi wangu wote manabii kwenu. Wakasema, “Kila mmoja wenu ni lazima ageuke na kuacha njia zake mbaya, na kuyatengeneza matendo yake. Msifuate miungu mingine ili kuitumikia. Ndipo mtakapoishi katika nchi niliyowapa ninyi na baba zenu.” Lakini hamkujali wala kunisikiliza.
Posłałem też do was wszystkie swe sługi, proroków, z wczesnym wstawaniem i przesłaniem, mówiąc: Niech każdy zawróci już ze swej złej drogi i poprawi swoje uczynki, nie chodźcie za innymi bogami ani im nie służcie, a będziecie mieszkać w tej ziemi, którą dałem wam i waszym ojcom. Ale nie nakłoniliście swego ucha ani mnie nie usłuchaliście.
16 Wazao wa Yonadabu mwana wa Rekabu walitimiza amri ambayo baba yao aliwapa, lakini watu hawa hawakunitii mimi.’
I chociaż synowie Jonadaba, syna Rekaba, wypełnili nakaz swego ojca, który im przekazał, to jednak ten lud nie był mi posłuszny.
17 “Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya Yuda na juu ya kila mmoja aishiye Yerusalemu kila aina ya maafa niliyotamka dhidi yao. Nilinena nao, lakini hawakusikiliza. Niliwaita, lakini hawakujibu.’”
Dlatego tak mówi PAN, Bóg zastępów, Bóg Izraela: Oto sprowadzę na Judę i na wszystkich mieszkańców Jerozolimy całe nieszczęście, które wypowiedziałem przeciwko nim, gdyż mówiłem do nich, a nie słuchali, wołałem ich, a nie odpowiedzieli.
18 Kisha Yeremia akaiambia jamaa ya Warekabi, “Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Mmetii amri ya baba yenu Yonadabu, na mmefuata mafundisho yake yote na mmefanya kila kitu alichowaamuru.’
Domowi Rekabitów Jeremiasz zaś powiedział: Tak mówi PAN zastępów, Bóg Izraela: Ponieważ byliście posłuszni nakazowi Jonadaba, waszego ojca, i przestrzegaliście wszystkich jego przykazań, i postępowaliście zgodnie ze wszystkim, co wam nakazał;
19 Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Yonadabu mwana wa Rekabu hatakosa kamwe kuwa na mtu wa kunitumikia mimi.’”
Dlatego tak mówi PAN zastępów, Bóg Izraela: Nie zabraknie Jonadabowi, synowi Rekaba, potomka, który by stał przede mną po wszystkie dni.

< Yeremia 35 >