< Mwanzo 10 >

1 Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
Oto dzieje rodu synów Noego: Sema, Chama i Jafeta, którym po potopie urodzili się synowie.
2 Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
Synowie Jafeta: Gomer, Magog, Madaj, Jawan, Tubal, Meszek i Tiras.
3 Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
Synowie Gomera: Aszkenaz, Rifat i Togarma.
4 Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Synowie Jawana: Elisza, Tarszisz, Kittim i Dodanim.
5 (Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
Od nich rozdzielone zostały wyspy narodów po swych ziemiach; każdy według swojego języka i według swoich rodów, w swoich narodach.
6 Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
A synowie Chama: Kusz, Misraim, Put i Kanaan.
7 Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
Synowie zaś Kusza: Seba, Chawila, Sabta, Rama i Sabteka. Synowie Ramy: Szeba i Dedan.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
Kusz spłodził Nimroda, który zaczął być mocarzem na ziemi.
9 Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
Ten był mocarnym myśliwym przed PANEM. Dlatego mówi się: Tak jak Nimrod, mocarny myśliwy przed PANEM.
10 Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
Początkiem jego królestwa były Babel, Erek, Akkad i Kalne w ziemi Szinear.
11 Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
Z tej ziemi wyszedł Assur i zbudował Niniwę i miasto Rechobot, i Kalach.
12 na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
Także wielkie miasto Resan pomiędzy Niniwą i Kalach.
13 Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Misraim zaś spłodził Ludima, Ananima, Lahabima i Naftuchima;
14 Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
Oraz Patrusyma, Kasluchima (z których pochodzą Filistyni) i Kaftoryma.
15 Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
Kanaan zaś spłodził Sydona, swego pierworodnego, i Cheta;
16 Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
I Jebusytów, Amorytów, i Girgaszytów;
17 Wahivi, Waariki, Wasini,
I Chiwwitów, Arkitów, i Sinitów;
18 Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
I Arwadytów, Semarytów, i Chamatytów. A potem rozproszyły się rody Kananejczyków.
19 na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
A granica Kananejczyków biegła od Sydonu w kierunku Gerary aż do Gazy, w kierunku Sodomy i Gomory, Adamy i Seboima aż do Leszy.
20 Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
To [są] synowie Chama według ich rodów i języków, w ich ziemiach i narodach.
21 Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
A Semowi, ojcu wszystkich synów Ebera, bratu Jafeta, który był starszy, urodzili się synowie.
22 Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
[Synowie] Sema: Elam, Assur, Arpachszad, Lud i Aram.
23 Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
Synowie Arama: Us, Chul, Geter i Masz.
24 Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
Arpachszad zaś spłodził Szelacha, a Szelach spłodził Ebera.
25 Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Eberowi urodzili się dwaj synowie: imię jednego – Peleg, gdyż za jego dni ziemia została rozdzielona; a imię jego brata – Joktan.
26 Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joktan spłodził Almodada, Szelefa, Chasarmaweta i Jeracha;
27 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadorama, Uzala i Diklę;
28 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obala, Abimaela i Szeba;
29 Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Ofira, Chawilę i Jobaba; ci wszyscy [byli] synami Joktana.
30 Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
A obszar ich zamieszkania ciągnął się od Meszy w kierunku Sefar, wschodniej góry.
31 Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
To [są] synowie Sema według ich rodów i języków, w ich ziemiach i narodach.
32 Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.
To [są] rody synów Noego według ich pokoleń i w ich narodach. Od nich [wywodzą się] narody, które rozprzestrzeniły się na ziemi po potopie.

< Mwanzo 10 >