< Kutoka 36 >

1 Kwa hiyo Bezaleli, Oholiabu na kila mtu Bwana aliyempa ustadi na uwezo wa kujua jinsi ya kufanya kazi zote za kujenga mahali patakatifu wataifanya hiyo kazi kama vile Bwana alivyoagiza.”
Tak więc wykonali Besalel i Oholiab, i wszyscy uzdolnieni mężczyźni, którym Bóg dał mądrość i rozum, aby umieli wykonać każdą pracę do służby w świątyni, według wszystkiego, co PAN rozkazał.
2 Ndipo Mose akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Bwana alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.
I Mojżesz wezwał Besalela i Oholiaba, i każdego uzdolnionego mężczyznę, któremu PAN włożył w serce mądrość, którego serce pobudziło, aby przystąpić do wykonywania tej pracy.
3 Wakapokea kutoka kwa Mose sadaka zote ambazo Waisraeli walikuwa wameleta ili kuifanya kazi ya ujenzi wa Mahali Patakatifu. Nao watu wakaendelea kuleta sadaka za hiari kila asubuhi.
I wzięli od Mojżesza wszystkie dary, które synowie Izraela przynieśli na dzieło służby w świątyni, aby ją wykonać. Oni zaś nadal przynosili mu dobrowolne dary każdego poranka.
4 Ikafika wakati mafundi wote wenye ujuzi waliokuwa wakiifanya kazi yote ya mahali patakatifu wakasimamisha kazi zao,
Przyszli więc wszyscy uzdolnieni, którzy wykonywali wszelką pracę przy świątyni, każdy od swojej pracy, którą wykonywał;
5 wakaja na kumwambia Mose, “Watu wanaleta vitu vingi kuliko tunavyohitaji kwa ajili ya kazi hii ambayo Bwana ameagiza ifanyike.”
I powiedzieli do Mojżesza: Lud przynosi dużo więcej niż potrzeba do wykonania tej służby, którą PAN rozkazał uczynić.
6 Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka neno hili katika kambi yote: “Mtu yeyote mwanaume au mwanamke asilete tena kitu chochote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.” Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi,
Mojżesz rozkazał więc, aby ogłoszono w obozie: Niech już [ani] mężczyzna, ani kobieta nie przynosi więcej ofiar na budowę świątyni. I powstrzymano lud od ich przynoszenia.
7 kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.
Bo to, co mieli, wystarczyło do wykonania wszelkiej pracy, a nawet zbywało.
8 Watu wote wenye ustadi miongoni mwa wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye mapazia hayo.
I wszyscy uzdolnieni rzemieślnicy wykonali pracę przybytku: dziesięć zasłon ze skręconego bisioru, błękitnej [tkaniny], purpury i karmazynu. Zrobili je z haftowanymi cherubinami.
9 Mapazia yote yalitoshana kwa ukubwa: kila moja lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane, na upana wa dhiraa nne
Długość jednej zasłony [była] na dwadzieścia osiem łokci, a jej szerokość – na cztery łokcie. Wszystkie zasłony miały jednakowe wymiary.
10 Wakayaunganisha mapazia matano pamoja, pia wakafanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.
I spięli pięć zasłon jedną z drugą, także drugie pięć zasłon spięli jedną z drugą.
11 Kisha wakatengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, pia wakafanya vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho.
Porobili też pętle z błękitnej [tkaniny] na brzegu jednej zasłony, na końcu, gdzie mają się spinać. Zrobili je także na brzegu drugiej zasłony, na końcu, gdzie mają się spinać.
12 Wakatengeneza pia vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vikaelekeana.
Pięćdziesiąt pętli zrobili na jednej zasłonie i pięćdziesiąt pętli zrobili na brzegu zasłony, w miejscu, gdzie ma być spięta z drugą. Pętle były jedna naprzeciw drugiej.
13 Kisha wakatengeneza vifungo hamsini vya dhahabu, na wakavitumia kufunga na kuunganisha zile fungu mbili za mapazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.
Zrobili też pięćdziesiąt złotych haczyków i spięli jedną zasłonę z drugą [tymi] haczykami. I [tak] przybytek stanowił jedną całość.
14 Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.
Wykonali też zasłony z koziej sierści na namiot [do przykrycia] przybytku z wierzchu, zrobili jedenaście zasłon.
15 Mapazia hayo kumi na moja yalikuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini, na upana wa dhiraa nne.
Długość jednej zasłony [była] na trzydzieści łokci, a jej szerokość – na cztery łokcie. Jedenaście zasłon miało jednakowe wymiary.
16 Wakaunganisha mapazia matano kuwa fungu moja, na hayo mengine sita kuwa fungu lingine.
I spięli pięć zasłon osobno, a sześć zasłon osobno.
17 Kisha wakatengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine.
Zrobili też pięćdziesiąt pętli na brzegu [jednej] zasłony, na końcu, gdzie ma być spięta, i pięćdziesiąt pętli zrobili na brzegu drugiej zasłony do spięcia.
18 Wakatengeneza vifungo hamsini vya shaba ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja.
Zrobili też pięćdziesiąt miedzianych haczyków do spięcia namiotu, aby stanowił jedną całość.
19 Kisha wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.
Zrobili ponadto przykrycie na namiot ze skór baranich czerwono farbowanych i przykrycie ze skór borsuczych na wierzch.
20 Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani.
Zrobili też prosto stojące deski do przybytku z drewna akacjowego.
21 Kila mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi, na upana wa dhiraa moja na nusu,
Długość jednej deski wynosiła dziesięć łokci, a jej szerokość – półtora łokcia.
22 zikiwa na ndimi mbili zilizokuwa sambamba kila mmoja na mwingine. Wakatengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii.
Jedna deska [miała] dwa czopy ułożone jeden naprzeciw drugiego. Tak zrobili przy wszystkich deskach przybytku.
23 Wakatengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani,
Zrobili też deski do przybytku, dwadzieścia desek na stronę południową, ku południowemu wiatrowi.
24 na wakatengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi.
I zrobili ze srebra czterdzieści podstawek pod dwadzieścia desek: dwie podstawki pod jedną deskę do dwóch jej czopów, także dwie podstawki pod drugą deskę do dwóch jej czopów.
25 Kwa upande wa kaskazini wa maskani wakatengeneza mihimili ishirini
Także na drugim boku przybytku od strony północnej zrobili dwadzieścia desek;
26 na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.
I do nich czterdzieści srebrnych podstawek: dwie podstawki pod jedną deskę i dwie podstawki pod drugą deskę.
27 Wakatengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani,
Ale po zachodniej stronie przybytku zrobili sześć desek.
28 na mihimili miwili ikatengenezwa kwa ajili ya pembe za maskani za upande uliokuwa mbali.
Dwie deski zrobili na narożniki przybytku po obydwu stronach;
29 Katika pembe hizi mbili mihimili yake ilikuwa miwili kuanzia chini mpaka juu, na ikaingizwa kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili ilifanana.
A były złączone od spodu, były też złączone u góry do jednego pierścienia. Tak zrobili po obu stronach na dwóch narożnikach.
30 Kwa hiyo kulikuwa na mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.
Było więc osiem desek i do nich szesnaście srebrnych podstawek, po dwie podstawki pod każdą deską.
31 Wakatengeneza pia mataruma kwa mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani,
Zrobili też drążki z drewna akacjowego; pięć do desek jednej strony przybytku;
32 matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani.
A także pięć drążków do desek drugiej strony przybytku, również pięć drążków do desek zachodniej strony przybytku.
33 Wakatengeneza taruma la katikati, likapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine.
I zrobili też środkowy drążek, aby przechodził przez środek desek od końca do końca.
34 Wakaifunika hiyo mihimili kwa dhahabu, na wakatengeneza pete za dhahabu za kushikilia hayo mataruma. Pia wakayafunika hayo mataruma kwa dhahabu.
A deski pokryli złotem i zrobili do nich pierścienie ze złota jako uchwyty dla drążków, i drążki pokryli złotem.
35 Wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye hilo pazia.
Zrobili też zasłonę z błękitnej [tkaniny], purpury, karmazynu i skręconego bisioru. Zrobili ją z misternie wyhaftowanymi cherubinami.
36 Wakatengeneza nguzo nne za mti wa mshita kwa ajili yake na kuzifunika kwa dhahabu. Wakatengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya nguzo hizo, na kusubu vitako vinne vya fedha.
A do niej zrobili cztery słupy [z drewna] akacjowego i pokryli je złotem, haki do nich też były ze złota, i odlali do nich cztery srebrne podstawki.
37 Kwa ajili ya ingilio la hema wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi.
Zrobili też zasłonę do wejścia do namiotu z błękitnej [tkaniny], purpury, karmazynu i skręconego bisioru, haftowaną;
38 Pia wakatengeneza nguzo tano zenye kulabu. Wakafunika ncha za juu za hizo nguzo pamoja na tepe zake kwa dhahabu, na pia wakatengeneza vitako vyake vitano vya shaba.
A do niej pięć słupów z haczykami i pokryli złotem ich głowice i klamry, a pięć podstawek do nich [było] z miedzi.

< Kutoka 36 >