< Salmos 46 >

1 Al Músico principal: de los hijos de Coré: Salmo sobre Alamoth. DIOS es nuestro amparo y fortaleza, nuestro pronto auxilio en las tribulaciones.
Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
2 Por tanto no temeremos aunque la tierra sea removida; aunque se traspasen los montes al corazón de la mar.
Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
3 Bramarán, turbaránse sus aguas; temblarán los montes á causa de su braveza. (Selah)
hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
4 Del río sus conductos alegrarán la ciudad de Dios, el santuario de las tiendas del Altísimo.
Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
5 Dios está en medio de ella; no será conmovida: Dios la ayudará al clarear la mañana.
Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
6 Bramaron las gentes, titubearon los reinos; dió él su voz, derritióse la tierra.
Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
7 Jehová de los ejércitos es con nosotros; nuestro refugio es el Dios de Jacob. (Selah)
Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
8 Venid, ved las obras de Jehová, que ha puesto asolamientos en la tierra.
Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
9 Que hace cesar las guerras hasta los fines de la tierra: que quiebra el arco, corta la lanza, y quema los carros en el fuego.
Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
10 Estad quietos, y conoced que yo soy Dios: ensalzado he de ser entre las gentes, ensalzado seré en la tierra.
Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
11 Jehová de los ejércitos es con nosotros; nuestro refugio es el Dios de Jacob. (Selah)
Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah

< Salmos 46 >