< Proverbios 25 >

1 TAMBIÉN estos son proverbios de Salomón, los cuales copiaron los varones de Ezechîas, rey de Judá.
Hizi tena ni mithali za Sulemani, zilinakiliwa na watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda.
2 Gloria de Dios es encubrir la palabra; mas honra del rey es escudriñar la palabra.
Ni utukufu wa Mungu kuficha jambo, bali utukufu wa wafalme kutafiti juu ya jambo.
3 Para la altura de los cielos, y para la profundidad de la tierra, y para el corazón de los reyes, no hay investigación.
Kama mbingu ni kwa kimo na dunia ni kwa kina, ndivyo hivyo moyo wa wafalme hauchunguziki.
4 Quita las escorias de la plata, y saldrá vaso al fundidor.
Ondoa takataka kutoka kwenye fedha na mfua vyuma anaweza kutumia fedha katika ufundi wake.
5 Aparta al impío de la presencia del rey, y su trono se afirmará en justicia.
Pamoja na hayo, waondoe watu waovu mbele ya mfalme na kiti chake cha enzi kitaimarishwa kwa kutenda haki.
6 No te alabes delante del rey, ni estés en el lugar de los grandes:
Usijitukuze mwenyewe mbele ya mfalme na usisimame katika sehemu iliyoteuliwa kwa watu wakuu.
7 Porque mejor es que se te diga, Sube acá, que no que seas humillado delante del príncipe que miraron tus ojos.
Ni bora yeye akuambie, “Njoo hapa” kuliko wewe kujiaibisha mbele ya mkuu.
8 No salgas á pleito presto, no sea que no sepas qué hacer al fin, después que tu prójimo te haya dejado confuso.
Usiharakishe kufanya kuhukumu, kwa kile ulichokishuhudia. Maana utafanya nini mwishoni, wakati jirani yako atakapokuaibisha?
9 Trata tu causa con tu compañero y no descubras el secreto á otro.
Jitetee kesi yako kati ya jirani yako na wewe na usifunue siri ya mtu mwingine,
10 No sea que te deshonre el que lo oyere, y tu infamia no pueda repararse.
au vinginevyo anayekusikia ataleta aibu juu yako na taarifa mbaya juu yako haiwezi kunyamazishwa.
11 Manzana de oro con figuras de plata es la palabra dicha como conviene.
Kunena maneno yenye kuchaguliwa vizuri, ni kama nakshi za dhahabu iliyoungwa kwenye fedha.
12 [Como] zarcillo de oro y joyel de oro fino, es el que reprende al sabio que tiene oído dócil.
Kama pete ya dhahabu au kito kilichotengenezwa kwa dhahabu safi ndivyo lilivyo karipio la busara kwenye sikio linalosikia.
13 Como frío de nieve en tiempo de la siega, [así es] el mensajero fiel á los que lo envían: pues al alma de su señor da refrigerio.
Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wenye kumtuma; huyahifadhi maisha ya mabwana wake.
14 [Como] nubes y vientos sin lluvia, [así es] el hombre que se jacta de vana liberalidad.
Kama mawingu na upepo bila mvua ndivyo alivyo mwenye kujisifu kuhusu zawadi asiyoitoa.
15 Con larga paciencia se aplaca el príncipe; y la lengua blanda quebranta los huesos.
Kwa uvumilivu mtawala anaweza kushawishiwa na ulimi raini unaweza kuvunja mfupa.
16 ¿Hallaste la miel? come lo que te basta; no sea que te hartes de ella, y la vomites.
Kama utapata asali, kula ya kutosha- vingenevyo, ukila nyingi sana, utaitapika.
17 Detén tu pie de la casa de tu vecino, porque harto de ti no te aborrezca.
Usiweke mguu wako kwenye nyumba ya jirani yako mara nyingi, anaweza kuchoshwa nawe na kukuchukia.
18 Martillo y cuchillo y saeta aguda, es el hombre que habla contra su prójimo falso testimonio.
Mtu anayetoa ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake ni kama rungu lililotumiwa katika vita, au upanga, au mshale mkali.
19 Diente quebrado y pie resbalador, es la confianza en el prevaricador en tiempo de angustia.
Kumtumaini mtu asiye mwaminifu wakati wa taabu ni kama jino bovu au mguu unaoteleza.
20 El que canta canciones al corazón afligido, [es como] el que quita la ropa en tiempo de frío, ó el que sobre el jabón [echa] vinagre.
Kama mtu anayevua nguo katika hali ya baridi, au kama siki iliyotiwa kwenye magadi, ndivyo alivyo anayeimba wimbo kwa mwenye moyo mzito.
21 Si el que te aborrece tuviere hambre, dale de comer pan; y si tuviere sed, dale de beber agua:
Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale na kama ana kiu, mpe maji ya kunywa,
22 Porque ascuas allegas sobre su cabeza, y Jehová te lo pagará.
maana utamwekea mkaa juu ya kichwa chake na Yehova atakupa thawabu.
23 El viento del norte ahuyenta la lluvia, y el rostro airado la lengua detractora.
Ni hakika upepo wa kaskazini huleta mvua, ndivyo mtu anayesema siri hufanya sura zikasirike.
24 Mejor es estar en un rincón de casa, que con la mujer rencillosa en espaciosa casa.
Ni bora kuishi kwenye pembe ya darini kuliko kuchangia nyumba pamoja na mwanamke mgomvi.
25 [Como] el agua fría al alma sedienta, así son las buenas nuevas de lejanas tierras.
Kama maji ya baridi kwa mwenye kiu, ndivyo ilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.
26 [Como] fuente turbia y manantial corrompido, [es] el justo que cae delante del impío.
Kama chemchemi iliyochafuliwa au kisima kilichoharibiwa ndivyo alivyo mtu mwema ambaye huyumbayumba mbele ya watu waovu.
27 Comer mucha miel no es bueno: ni el buscar la propia gloria es gloria.
Si vema kula asali nyingi mno; hivyo ni kama kutafuta heshima baada heshima.
28 [Como] ciudad derribada y sin muro, es el hombre cuyo espíritu no tiene rienda.
Mtu bila kujitawala ni kama mji ulibomolewa na usiokuwa na kuta.

< Proverbios 25 >