< Job 6 >

1 Y RESPONDIÓ Job y dijo:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 ¡Oh si pesasen al justo mi queja y mi tormento, y se alzasen igualmente en balanza!
“Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
3 Porque pesaría aquél más que la arena del mar: y por tanto mis palabras son cortadas.
Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
4 Porque las saetas del Todopoderoso están en mí, cuyo veneno bebe mi espíritu; y terrores de Dios me combaten.
Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
5 ¿Acaso gime el asno montés junto á la hierba? ¿muge el buey junto á su pasto?
Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
6 ¿Comeráse lo desabrido sin sal? ¿ó habrá gusto en la clara del huevo?
Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
7 Las cosas que mi alma no quería tocar, por los dolores son mi comida.
Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
8 ¡Quién me diera que viniese mi petición, y que Dios [me] otorgase lo que espero;
Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
9 Y que pluguiera á Dios quebrantarme; que soltara su mano, y me deshiciera!
kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
10 Y sería aún mi consuelo, si me asaltase con dolor sin dar más tregua, que yo no he escondido las palabras del Santo.
Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
11 ¿Cuál es mi fortaleza para esperar aún? ¿y cuál mi fin para dilatar mi vida?
Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
12 ¿Es mi fortaleza la de las piedras? ¿ó mi carne, es de acero?
Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
13 ¿No me ayudo cuanto puedo, y el poder me falta del todo?
Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
14 El atribulado es consolado de su compañero: mas hase abandonado el temor del Omnipotente.
Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
15 Mis hermanos han mentido cual arroyo: pasáronse como corrientes impetuosas,
Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
16 Que están escondidas por la helada, y encubiertas con nieve;
ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
17 Que al tiempo del calor son deshechas, y en calentándose, desaparecen de su lugar;
Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
18 Apártanse de la senda de su rumbo, van menguando y piérdense.
Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
19 Miraron los caminantes de Temán, los caminantes de Saba esperaron en ellas:
Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
20 [Mas] fueron avergonzados por su esperanza; porque vinieron hasta ellas, y halláronse confusos.
Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
21 Ahora ciertamente como ellas sois vosotros: que habéis visto el tormento, y teméis.
Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
22 ¿Os he dicho yo: Traedme, y pagad por mí de vuestra hacienda;
Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
23 Y libradme de la mano del opresor, y redimidme del poder de los violentos?
Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
24 Enseñadme, y yo callaré: y hacedme entender en qué he errado.
Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
25 ¡Cuán fuertes son las palabras de rectitud! Mas ¿qué reprende el que reprende de vosotros?
Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
26 ¿Pensáis censurar palabras, y los discursos de un desesperado, que son como el viento?
Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
27 También os arrojáis sobre el huérfano, y hacéis hoyo delante de vuestro amigo.
Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
28 Ahora pues, si queréis, mirad en mí, y [ved] si miento delante de vosotros.
Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
29 Tornad ahora, y no haya iniquidad; volved aún [á considerar] mi justicia en esto.
Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
30 ¿Hay iniquidad en mi lengua? ¿no puede mi paladar discernir las cosas depravadas?
Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?

< Job 6 >