< Salmos 8 >

1 O! Jehová, Señor nuestro, ¡cuán grande es tu nombre en toda la tierra! que has puesto tu alabanza sobre los cielos.
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote, wewe ufunuaye utukufu wako juu mbinguni.
2 De la boca de los chiquitos, y de los que maman, fundaste la fortaleza a causa de tus enemigos: para hacer cesar al enemigo, y al que se venga.
Kutoka katika midomo ya watoto na vichanga umeumba sifa kwa sababu ya utukufu wako, ili kuwanyamazisha maadui wote na walipa kisasi wote.
3 Cuando veo tus cielos, obra de tus dedos, la luna, y las estrellas que tú compusiste,
Ninapozitazama mbingu, ambazo vidole vyako vimeumba, mwezi na nyota, ambazo umeziweka kila mmoja katika nafasi yake,
4 ¿Qué es el hombre, para que tengas de él memoria? ¿y el hijo del hombre, para que le visites?
Binadamu ni nani hata umtazame, na watu hata uwajali wao?
5 Y le hiciste poco menor que los ángeles, y le coronaste de gloria y de hermosura.
Umewaumba chini kidogo kuliko viumbe vya mbinguni na umewazunguka na utukufu na heshima.
6 Hicístele enseñorear de las obras de tus manos; todo lo pusiste debajo de sus pies.
Umemfanya binadamu kutawala kazi ya mikono yako; umeviweka vitu vyote chini ya miguu yake:
7 Ovejas, y bueyes, todo ello: y asimismo las bestias del campo.
kondoo na ng'ombe wote, na hata wanyama wa porini,
8 Las aves de los cielos, y los peces de la mar: lo que pasa por los caminos de la mar.
ndege wa angani, na samaki wa baharini, na vyote vipitavyo katika mikondo ya bahari.
9 O! Jehová, Señor nuestro, ¡cuán grande es tu nombre en toda la tierra!
Yahweh Bwana wetu, ni jinsi gani jina lako ni tukufu katika dunia yote!

< Salmos 8 >