< Salmos 7 >

1 Jehová, Dios mío, en ti he confiado: sálvame de todos los que me persiguen, y líbrame;
Yahweh Mungu wangu, kwako napata kimbilio! Uninusuru na hao wote wanikimbizao, na uniokoe.
2 Porque no arrebate mi alma: como el león, que despedaza, y no hay quien libre.
Vinginevyo, watanipura kama simba, na kunitawanya viapande vipande na asiwepo mtu wa kuweza kunirudisha katika usalama.
3 Jehová, Dios mío, si yo he hecho esto: si hay en mis manos iniquidad;
Yawheh Mungu wangu, Sijawahi kufanya kile maadui zangu wanacho sema nilifanya; sina hatia katika mikono yangu.
4 Si di mal pago a mi pacífico: si no salvé al que me perseguía sin motivo.
Sijawahi kumkosea mtu yeyote aliye na amani na mimi, au kumdhuru kipumbavu yeyote aliye kinyume na mimi.
5 Persiga el enemigo a mi alma, y alcánce la, y pise en tierra mi vida: y a mi honra ponga en el polvo. (Selah)
Ikiwa sisemi ukweli basi umruhusu adui yangu kuyaingilia maisha yangu na kuyaharibu; na umuache aukanyage mwili wangu ulio hai kwenye aridhi na kuuacha umelala kwa aibu mavumbini. (Selah)
6 Levántate, o! Jehová, en tu furor, álzate a causa de las iras de mis angustiadores: y despierta para mí el juicio que mandaste,
Inuka, Yahweh, katika hasira yako; simama kinyume na hasira kali ya adui zangu; amka kwa ajili yangu na ubebe amri zako ambazo wewe umeamuru kwa ajili yao.
7 Y rodearte ha congregación de pueblos: por causa pues de él vuélvete en alto.
Mataifa yote yamekuzunguka; uwatawale kutoka mbinguni.
8 Jehová juzgará los pueblos: júzgame, o! Jehová, conforme a mi justicia; y conforme a mi integridad venga sobre mí.
Yahweh, uwahukumu mataifa; uwaonyeshe kuwa sina hatia, Yahweh, kwa sababu mimi ni mwenye haki na sina hatia, Ewe uliye juu.
9 Consuma ahora mal a los malos, y enhiesta al justo: el Dios justo es el que prueba los corazones, y los riñones.
Matendo ya waovu na yafike mwisho, bali uanzishe watu wenye haki, Mungu mwenye haki, wewe ambaye unapima mioyo na fahamu.
10 Mi escudo es en Dios, el que salva a los rectos de corazón.
Ngao yangu inatoka kwa Mungu, yule anaye okoa moyo wa mwenye haki.
11 Dios es el que juzga al justo: y Dios se aira todos los días.
Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu anaye chukizwa na waovu kila siku.
12 Si no se volviere, él afilará su espada: su arco ha armado ya, y aparejádolo ha.
Ikiwa kuna mtu hatubu, Mungu atanoa upanga wake na ata andaa upinde wake kwa ajili ya vita.
13 Y para él ha aparejado armas de muerte: ha labrado sus saetas para los que persiguen.
Ana jiandaa kutumia siraha kupambana naye; anatengeneza mishale yake kuwa ya moto.
14 He aquí, ha tenido parto de iniquidad: y concibió trabajo, y parió mentira.
Fikiria kuhusu huyo ambaye ana ujauzito wa maovu, mwenye mimba ya mipango ya uharibifu, anaye zaa sumu ya uharibifu.
15 Pozo ha cavado, y ahondádolo ha: y en la fosa que él hizo caerá.
Yeye huchimba shimo na kuliacha wazi kisha baadaye hudumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.
16 Su trabajo será vuelto sobre su cabeza: y su agravio descenderá sobre su mollera.
Mipango yake mwenyewe ya uharibifu hugeukia kichwa chake mwenyewe, kwa kuwa vurugu zake mwenyewe humshukia kichwani pake.
17 Alabaré a Jehová conforme a su justicia, y cantaré al nombre de Jehová el Altísimo.
Kwa haki yako Mungu nitakushukuru; nitaimba sifa kwa Mungu aliye juu.

< Salmos 7 >