< Salmos 54 >

1 O! Dios, sálvame en tu nombre, y con tu valentía me defiende.
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
2 O! Dios, oye mi oración, escucha las razones de mi boca.
Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
3 Porque extraños se han levantado contra mí, y fuertes han buscado a mi alma: no han puesto a Dios delante de si. (Selah)
Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
4 He aquí, Dios es el que me ayuda; el Señor es con los que sustentan mi vida.
Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
5 El volverá el mal a mis enemigos; córtalos por tu verdad.
Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
6 Voluntariamente sacrificaré a ti; alabaré tu nombre, o! Jehová, porque es bueno.
Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
7 Porque me ha escapado de toda angustia, y en mis enemigos vieron mis ojos la venganza.
Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.

< Salmos 54 >