< 1 Crónicas 25 >

1 Asimismo David y los príncipes del ejército apartaron para el ministerio a los hijos de Asaf, y de Hemán, y de Iditún, los cuales profetizaban con arpas, salterios y címbalos: y fue el número de ellos, de los varones que obraban en su ministerio:
Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
2 De los hijos de Asaf: Zacur, José, Natanías, y Asarela, hijos de Asaf, debajo de la mano de Asaf, el cual profetizaba al mandado del rey.
Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
3 De Iditún: los hijos de Iditún; Godolías, Sori, Jesaías, Hasabías, y Matatías, seis debajo de la mano de su padre Iditún, el cual profetizaba con arpa para glorificar y alabar a Jehová.
Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
4 De Hemán: los hijos de Hemán; Bocciau, Mataniau, Oziel, Subuel, Jerimot, Jananias, Janani, Eliata, Guedelti, Romenti-ezer, Jezba-casa, Melloti, Otir, y Mahaziot.
Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
5 Todos estos fueron hijos de Hemán, vidente del rey en palabras de Dios, para ensalzar cuerno: y dio Dios a Hemán catorce hijos y tres hijas.
Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
6 Y todos estos estaban debajo de la mano de su padre para cantar en la casa de Jehová con címbalos, salterios, y arpas, para el ministerio del templo de Dios debajo de la mano del rey, de Asaf, de Iditún, y de Hemán.
Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
7 Y fue el número de ellos con sus hermanos sabios en cánticos de Jehová, todos los sabios, doscientos y ochenta y ocho.
Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
8 Asimismo echaron suertes, guarda contra guarda, el chico con el grande, el sabio con el discípulo.
Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
9 Y la primera suerte salió a Asaf por José. La segunda por Godolías, él con sus hermanos e hijos que eran doce.
Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
10 La tercera por Zacur, y sus hijos y hermanos, doce.
Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
11 La cuarta por Isarí, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
12 La quinta por Natanías, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
13 La sexta por Bocciau, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
14 La séptima por Isreela, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
15 La octava por Jesaías, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
16 La nona por Matanías, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
17 La décima por Semeí, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
18 La undécima por Azareel, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
19 La duodécima por Hasabías, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
20 La trecena por Subael, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
21 La catorcena por Matatías, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
22 La quincena por Jerimot, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
23 La dieziseisena por Jananías, y sus hijos y sus hermanos, doce.
Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
24 La decimaséptima por Jesbacasa, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
25 La décimaoctava por Janani, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
26 La décimanona por Melloti, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
27 La vigésima por Eliata, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
28 La veinte y una por Otir, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
29 La veinte y dos por Gedelti, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
30 La veinte y tres por Mahaziot, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
31 La veinte y cuatro por Romenti-ezer, y sus hijos y sus hermanos, doce.
ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.

< 1 Crónicas 25 >