< 1 Dnevnika 8 >

1 A Venijamin rodi Velu prvenca svojega, Asvila drugoga, i Aru treæega,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Noja èetvrtoga, i Rafu petoga.
Noha, na Rafa.
3 A sinovi Velini bijahu: Adar i Gira i Avijud,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 I Avisuja i Naman i Ahoja,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 I Gira i Sefuvan i Uram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 A ovi bijahu sinovi Ehudovi, bijahu poglavari domova otaèkih onima koji življahu u Gavaji, te ih preseliše u Manahat:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Naman i Ahija i Gira, on ih preseli; i rodi Uzu i Ahijuda.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 A Sarajim, pošto ih posla, rodi sinove u zemlji Moavskoj s Usimom i Varom ženama svojim.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Rodi s Odesom ženom svojom Jovava i Siviju i Misu i Malhama,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 I Jeusa i Sahiju i Mirmu; ti bijahu sinovi njegovi, poglavari domova otaèkih.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 A s Usimom rodi Avitova i Elfala.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 I sinovi Elfalovi bjehu: Ever i Misam i Samed; on sazida Onon i Lod i sela njegova;
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 I Verija i Sema, koji bijahu poglavari domova otaèkih onima koji življahu u Ejalonu; oni istjeraše stanovnike Gatske;
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 A Ahijo, Sasak i Jeremot,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 I Zevadija i Arad i Ader,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 I Mihailo i Jespa i Joha bjehu sinovi Verijini;
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 A Zavadija i Mesulam i Ezekije i Ever,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 I Ismeraj i Jezlija i Jovav bjehu sinovi Elfalovi;
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 A Jakim i Zihrije i Zavdije,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 I Elinaj i Ziltaj i Elilo,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 I Adaja i Veraja i Simrat bjehu sinovi Semini;
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 A Jesvan i Ever i Elilo,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 I Avdon i Zihrije i Anan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 I Ananija i Elam i Antonija,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 I Jefedija i Fanuilo bjehu sinovi Sasakovi;
Ifdeia, na Penueli.
26 A Samseraj i Searija i Gotolija,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 I Jaresija i Ilija i Zihrije bjehu sinovi Jeroamovi.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 To bjehu poglavari domova otaèkih po porodicama svojim, i nastavahu u Jerusalimu.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 A u Gavaonu nastavaše otac Gavaonu; a ženi mu bješe ime Maha.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 A sin prvenac njegov bješe Avdon, pa Sur i Kis i Val i Nadav,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 I Gedor i Ahijo i Zaher,
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 I Miklot, koji rodi Simeju. I oni življahu prema braæi svojoj u Jerusalimu s braæom svojom.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 A Nir rodi Kisa; a Kis rodi Saula; a Saul rodi Jonatana i Malhisuja i Avinadava i Esvala.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 A sin Jonatanov bješe Merival; a Merival rodi Mihu;
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 A Mišini sinovi bjehu: Fiton i Meleh i Tareja i Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 A Ahaz rodi Joadu; a Joada rodi Alemeta i Azmaveta i Zimrija. A Zimrije rodi Mosu;
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 A Mosa rodi Vineju; a njegov sin bješe Rafa, a njegov sin Eleasa, a njegov sin Asilo.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 A Asilo imaše šest sinova, kojima su imena: Azrikam, Voheruj i Ismailo i Searija, i Ovadija i Anan. Ti svi bjehu sinovi Asilovi.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 A sinovi Iseka brata njegova: Ulam prvenac mu, Jeus drugi, i Elifelet treæi.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 I bijahu sinovi Ulamovi junaci, koji natezahu luk, i imahu mnogo sinova i unuka, sto i pedeset. Svi ti bjehu od sinova Venijaminovijeh.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Dnevnika 8 >