< Иов 40 >

1 И продолжал Господь и сказал Иову:
Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
2 будет ли состязающийся со Вседержителем еще учить? Обличающий Бога пусть отвечает Ему.
“Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
3 И отвечал Иов Господу и сказал:
Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
4 вот, я ничтожен; что буду я отвечать Тебе? Руку мою полагаю на уста мои.
Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
5 Однажды я говорил, - теперь отвечать не буду, даже дважды, но более не буду.
Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
6 И отвечал Господь Иову из бури и сказал:
Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
7 препояшь, как муж, чресла твои: Я буду спрашивать тебя, а ты объясняй Мне.
“Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
8 Ты хочешь ниспровергнуть суд Мой, обвинить Меня, чтобы оправдать себя?
Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
9 Такая ли у тебя мышца, как у Бога? И можешь ли возгреметь голосом, как Он?
Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
10 Укрась же себя величием и славою, облекись в блеск и великолепие;
Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
11 излей ярость гнева твоего, посмотри на все гордое и смири его;
Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
12 взгляни на всех высокомерных и унизь их, и сокруши нечестивых на местах их;
Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
13 зарой всех их в землю и лица их покрой тьмою.
Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
14 Тогда и Я признаю, что десница твоя может спасать тебя.
Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
15 Вот бегемот, которого Я создал, как и тебя; он ест траву, как вол;
Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
16 вот, его сила в чреслах его и крепость его в мускулах чрева его;
Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
17 поворачивает хвостом своим, как кедром; жилы же на бедрах его переплетены;
Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
18 ноги у него, как медные трубы; кости у него, как железные прутья;
Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
19 это - верх путей Божиих; только Сотворивший его может приблизить к нему меч Свой;
Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
20 горы приносят ему пищу, и там все звери полевые играют;
Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
21 он ложится под тенистыми деревьями, под кровом тростника и в болотах;
Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
22 тенистые дерева покрывают его своею тенью; ивы при ручьях окружают его;
Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
23 вот, он пьет из реки и не торопится; остается спокоен, хотя бы Иордан устремился ко рту его.
Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
24 Возьмет ли кто его в глазах его и проколет ли ему нос багром?
Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?

< Иов 40 >