< Иов 16 >

1 И отвечал Иов и сказал:
Kisha Ayubu akajibu:
2 слышал я много такого; жалкие утешители все вы!
“Nimepata kusikia mambo mengi kama haya, nanyi nyote ni wafariji wenye kutaabisha!
3 Будет ли конец ветреным словам? и что побудило тебя так отвечать?
Je, maneno yenu mengi yasiyo na maana hayana mwisho? Mna nini hata mwendelee kushindana kwa maneno?
4 И я мог бы так же говорить, как вы, если бы душа ваша была на месте души моей; ополчался бы на вас словами и кивал бы на вас головою моею;
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi, kama mngekuwa katika hali yangu; ningeweza kutoa hotuba nzuri dhidi yenu, na kuwatikisia ninyi kichwa changu.
5 подкреплял бы вас языком моим и движением губ утешал бы.
Lakini kinywa changu kingewatia moyo; faraja kutoka midomoni mwangu, ingewaletea nafuu.
6 Говорю ли я, не утоляется скорбь моя; перестаю ли, что отходит от меня?
“Lakini kama nikisema, maumivu yangu bado hayatulizwi; nami kama nikijizuia, wala hayaondoki.
7 Но ныне Он изнурил меня. Ты разрушил всю семью мою.
Ee Mungu, hakika umenichakaza; umewaangamiza kabisa watu wa nyumbani mwangu wote.
8 Ты покрыл меня морщинами во свидетельство против меня; восстает на меня изможденность моя, в лицо укоряет меня.
Umenikunjakunja, nalo limekuwa ushahidi; nako kukonda kwangu kumeongezeka sana na kushuhudia dhidi yangu.
9 Гнев Его терзает и враждует против меня, скрежещет на меня зубами своими; неприятель мой острит на меня глаза свои.
Mungu amenishambulia na kunirarua katika hasira yake, na kunisagia meno yake; adui yangu hunikazia macho yake makali.
10 Разинули на меня пасть свою; ругаясь бьют меня по щекам; все сговорились против меня.
Watu wamenifumbulia vinywa vyao kunidhihaki; hunipiga shavuni mwangu kwa dharau, na kuungana pamoja dhidi yangu.
11 Предал меня Бог беззаконнику и в руки нечестивым бросил меня.
Mungu amenigeuzia kwa watu wabaya, na kunitupa katika makucha ya waovu.
12 Я был спокоен, но Он потряс меня; взял меня за шею и избил меня и поставил меня целью для Себя.
Mambo yote yalikuwa mazuri, lakini alinivunjavunja; amenikamata shingo na kuniponda. Amenifanya mimi kuwa shabaha yake;
13 Окружили меня стрельцы Его; Он рассекает внутренности мои и не щадит, пролил на землю желчь мою,
wapiga upinde wake wananizunguka. Bila huruma, huchoma figo zangu, na kuimwaga nyongo yangu juu ya nchi.
14 пробивает во мне пролом за проломом, бежит на меня, как ратоборец.
Huniponda tena na tena; hunishambulia kama shujaa wa vita.
15 Вретище сшил я на кожу мою и в прах положил голову мою.
“Nimejishonea nguo ya gunia juu ya mwili wangu nami nimekizika kipaji cha uso wangu kwenye vumbi.
16 Лицо мое побагровело от плача, и на веждах моих тень смерти,
Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia, macho yangu yamepigwa na giza kuu.
17 при всем том, что нет хищения в руках моих, и молитва моя чиста.
Hata hivyo mikono yangu haijafanya jeuri, na maombi yangu ni safi.
18 Земля! не закрой моей крови, и да не будет места воплю моему.
“Ee nchi, usiifunike damu yangu, nacho kilio changu kisinyamazishwe kamwe.
19 И ныне вот на небесах Свидетель мой, и Заступник мой в вышних!
Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni; wakili wangu yuko juu.
20 Многоречивые друзья мои! К Богу слезит око мое.
Mwombezi wangu ni rafiki yangu macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;
21 О, если бы человек мог иметь состязание с Богом, как сын человеческий с ближним своим!
kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.
22 Ибо летам моим приходит конец, и я отхожу в путь невозвратный.
“Ni miaka michache tu itapita kabla sijaenda safari ambayo sitarudi.

< Иов 16 >