< I Kronik 8 >

1 Beniamin spłodził Belę, swego pierworodnego, Aszbela – drugiego, Achracha – trzeciego;
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nocha – czwartego, Rafa – piątego.
Noha, na Rafa.
3 Synami Beli [byli]: Addar, Gera, Abihud;
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 Abiszua, Naaman, Achoach;
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Szefufan i Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 Oto synowie Ehuda – byli oni naczelnikami rodów mieszkających w Geba i zostali przesiedleni do Manachat;
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 Byli to: Naaman, Achiasz i Gera. On ich przesiedlił i potem spłodził Uzzę i Ahiuda.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 A Sacharaim spłodził [dzieci] w krainie Moabu po odprawieniu swoich żon Chuszimy i Baary.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 Spłodził więc ze swojej żony Chodeszy Jobaba, Sibię, Meszę, Malkoma;
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Jeusa, Sakiasza i Mirmę. Ci [byli] jego synami, naczelnikami rodów.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Z Chuszimy spłodził Abituba i Elpaala.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 Synowie Elpaala: Eber, Miszam i Szemed, który zbudował Ono i Lod oraz należące do niego miejscowości;
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 A także Beria i Szema, którzy [byli] naczelnikami rodów mieszkających w Ajjalonie. To oni wypędzili mieszkańców Gat.
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 A Achio, Szaszak, Jeremot;
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 Zebadiasz, Arad, Eder;
Zebadia, Aradi, Eda,
16 Mikael, Jiszpa i Jocha – [byli to] synowie Berii.
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 A Zebadiasz, Meszullam, Chiszki, Cheber;
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 Jiszmeraj, Jiszlia i Jobab – [byli] synami Elpaala.
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 A Jakim, Zikri, Zabdi;
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 Elioenaj, Silletaj, Eliel;
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adajasz, Berajasz, Szimrat – to synowie Szimejego.
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 A Jiszpan, Eber, Eliel;
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 Abdon, Zikri, Chanan;
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Chananiasz, Elam i Antotiasz;
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Jifdejasz i Penuel – to synowie Szaszaka.
Ifdeia, na Penueli.
26 A Szamszeraj, Szechariasz, Ataliasz;
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 Jaareszjasz, Eliasz i Zikri – to synowie Jerochama.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 Ci [byli] naczelnikami rodów, przywódcami według swoich rodowodów, a zamieszkali w Jerozolimie.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 W Gibeonie mieszkał ojciec Gibeona, a jego żona miała na imię Maaka.
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 Jego pierworodnym synem [był] Abdon, a następni to: Sur, Kisz, Baal, Nadab;
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 Gedor, Achio i Zakir.
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 Miklot spłodził Szimeę. Oni także mieszkali ze swoimi braćmi w Jerozolimie, naprzeciw swoich braci.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 Ner spłodził Kisza, a Kisz spłodził Saula, Saul zaś spłodził Jonatana, Malkiszuę, Abinadaba i Eszbaala.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 Synem Jonatana [był] Meribbaal, Meribbaal zaś spłodził Micheasza.
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 Synowie Micheasza: Piton, Melek, Tarea i Achaz.
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 Achaz spłodził Jehoaddę, a Jehoadda spłodził Alemeta, Azmaweta i Zimriego, a Zimri spłodził Mosę;
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 Mosa spłodził Bineę, jego synem był Rafa, jego synem był Eleasa, jego synem był Asel.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 Asel miał sześciu synów, a oto ich imiona: Azrikam, Bokru, Izmael, Szeariasz, Obadiasz i Chanan. Ci wszyscy byli synami Asela.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 Synowie jego brata Eszeka: Ulam, jego pierworodny, Jeusz – drugi, Elifelet – trzeci;
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 Synowie Ulama byli dzielnymi wojownikami, sprawnymi łucznikami, a mieli wielu synów i wnuków, razem – stu pięćdziesięciu. Ci wszyscy [pochodzili] z synów Beniamina.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< I Kronik 8 >