< II Kronik 20 >

1 I stało się potem, że przyciągnęli synowie Moabowi, i synowie Ammonowi, a z nimi niektórzy mieszkający z Ammonitami, przeciwko Jozafatowi na wojnę.
Ikawa baada ya hayo, kwamba watu wa Moabu na Amoni, na pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja juu ya Yehoshafati ili kupigana vita. (Mandishi, “baadhi ya Wameuni” yanatoa masahihisho kwa ajili ya maandishi ya Kiebrania, ambayo yanasomeka, “baadhi ya Waamoni”. Inadhaniwa kwamba “Wameuni” ndilo neno la asili, na wenye kunukuu walilibadili kuwa “baadhi ya Waamoni”. Lakaini jina hili la mwisho halileti maana, kwa sababu Waamoni tayari wamekwisha tajwa katika mstri huu. Vile vile, matoleo tofauti tofauti yanajihusha na tatizo hili katika namna mabli mbali)
2 I przyszło, a opowiedziano Jozafatowi, mówiąc: Przyciągnęło przeciwko tobie wojsko wielkie z zamorza, z Syryi, a oto są w Chasesontamar, które jest Engaddy.
Kisha baadhi ya watu wakaja wakamwambia Yehoshafati, wakisema, “Umati mkubwa wanakuja juu yako ng'ambo ya Bahari iliyokufa, kutoka Edomu. Ona, wako Hason- tamari”, ambayo ndiyo En-gedi. (Badala ya “Edomu” baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasomeka, “Aramu.”
3 I uląkł się, a obrócił Jozafat twarz swoję, aby szukał Pana, i zapowiedział post wszystkiemu ludowi Judzkiemu.
Yehoshafati akaogopa na akajipanga kumtafuta Yahwe. Akatangaza haraka katika Yuda yote.
4 Tedy się zgromadził lud Judzki, aby szukali Pana; także ze wszystkich miast Judzkich zeszli się szukać Pana.
Yuda wakakakusanyika pamoja kwa ajili ya kumtafuta Yahwe; wakaja kutoka miji yote ya Yuda kwa ajili ya kumtafauta Yahwe.
5 A tak stanął Jozafat w zgromadzeniu Judzkiem i Jeruzalemskiem w domu Pańskiem przed sienią nową.
Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la Yuda na Yerusalemu, kwenye nyumba ya Yahwe, mbele ya kibaraza kipya.
6 I rzekł: Panie, Boże ojców naszych: Izaliś nie ty sam Bogiem na niebie? a nie ty panujesz na wszystkiemi królestwami narodów? azaż nie w rękach twoich jest moc i siła? a nie masz, ktoby się mógł ostać przed tobą.
Akasema, “Yahwe, Mungu wa babau zetu, hauko mbinguni? Wewe siyo mtawala juu ya falame zote za mataiafa? Nguvu na uweza viko mkononi mwako, kwa hiyao hakuna anayeweza akukupinga wewe.
7 Izaliś nie ty, Boże nasz! wypędził obywateli tej ziemi przed twarzą ludu twego Izraelskiego, i podałeś ją nasieniu Abrahama przyjaciela twego na wieki?
Munagu wetu, Hukuwafuaakuja nje wakaaji wa nchi hii mbe ya watau watau wakop Israeli, na kuitoa milele kwa ajili ya uzaoa wa Abrahamu?
8 I miszkali w niej, i zbudowali tobie w niej świątnicę dla imienia twego, mówiąc:
Wakaishi ndani yake na kujenga sehemu takatifu kwa ajili ya jina lako, wakisema,
9 Jeźliby na nas przyszło złe, miecz pomsty, albo powietrze, albo głód, a staniemy przed tym domem, i przed obliczem twojem, gdyż imię twoje jest w domu tym, a zawołamy do ciebie w uciskach naszych, tedy wysłuchasz i wybawisz.
'Ikiwa janga litakuja juu yetu —upanga, hukumu, au ugonjwa, au njaa—tutasimama mbele ya nyumba hii, na mbele zako (kwa maana jina lako limo ndani ya nyumba hii), na tutakulilia wewe katika mateso yetu, na utatusikia na kutuokoa.' (Badala ya “hukumu” baadhi ya maandiko ya zamani yanasema “mafuriko”).
10 Teraz tedy, oto synowie Ammonowi, i Moabowi, i góra Seir, przez którycheś ty nie dopuścił przejść Izraelowi, gdy szli z ziemi Egipskiej, ale ich minęli, a nie wytracili ich.
Tazama sasa, hapa kuna watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri ambao hukuwaacha Israeli wawapige waalipotoka nchi ya Misri; badala yake, Israeli waliwageukia mbali na hawakuwaangamiza.
11 Oto teraz nam oni oddawają, gdyż przyszli, aby nas wyrzucili z dziedzictwa twego, któreś nam dał prawem dziedzicznem.
Ona jinsi wanavyotuzawadia; wanakuja kutotoa nje ya nchi yako mbayo umetupa kuirithi.
12 O Boże nasz! izali ich nie będziesz sądził? W nasci zaiste nie masz żadnej mocy przeciw mnóstwu tak wielkiemu, które przyszło na nas, i nie wiemy, co czynić mamy, tylko ku tobie obracamy oczy nasze.
Mungu wetu, hutawahukumu? Kwa maana hatuna nguvu dhidi ya hili jeshi kubwa ambalo linakuja juu yetu. hatujui cha kufanya, lakini macho yetu yako kwako.
13 Wszystek też lud Judzki stał przed Panem, i dziatki ich, żony ich, i synowie ich.
Yuda wote wakasimama mbele ya Yahwe, pamoja na wadogo wao, wake, na watoto.
14 Ale Jehazyjel, syn Zacharyjasza, syna Benajaszowego, syna Jehyjelowego, syna Matanijaszowego, Lewita z synów Asafowych, na którego przyszedł Duch Pański w pośród onego zgromadzenia,
Kisha kati kati ya kusanyiko, roho ya Yahwe ikaja juu ya Yahazieli, mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, mwana, Mlawi, mmoja wa wana wa Asafu.
15 Rzekł: Słuchajcie wszyscy z Judy, i obywatele Jeruzalemscy, i ty królu Jozafacie! Tak wam powiada Pan: Nie bójcie się wy, ani się lękajcie tego mnóstwa tak wielkiego; nie wasza jest walka, ale Boża.
Yahazieli akasema, “Sikilizeni, Yuda wote na ninyi wakaaji wa Yerusalemu, na Mfalme Yehoshafati. Hivi ndivyo Yahwe asemavyao kwenu, 'Msiogope: msivunjike moyo kwa sababu ya hili jeshsi kubwa, kwa maana vita siyo yenu, bali ni ya Mungu.
16 Jutro się ruszcie przeciwko nim; oto oni pójdą stroną góry Sys, i znajdziecie ich na końcu potoku przeciw puszczy Jeruel.
Lazima muende chini juu ya yao kesho, Ona, wanakuja wakipanda kupia njia ya Sisi. Mtawakuta mwishono mwa bondo, mbele ya jangwa la Yerueli.
17 Nie wy się potykać będziecie w tej bitwie; stawcie się, i stójcie, a oglądajcie wybawienie Pańskie nad wami, o Judo, i Jeruzalemie! Nie bójcież się, ani się lękajcie; jutro wynijdziecie przeciwko nim, a Pan będzie z wami.
Hamtahitaji kupigana katika vita hii. Simameni katika nafasi zenu, simameni wima, na muone wokovu wa Yahwe pamoja nanyi, Yuda na Yerusalemu. Msiogope wala kukata tamaa. Tokeni nje juu yao kesho, kwa maana yuko pamoja nanyi.”
18 I pokłonił się Jozafat twarzą ku ziemi, a wszystek lud Judzki, i obywatele Jeruzalemscy padli przed obliczem Pańskiem, kłaniając się Panu.
Yehoshafati akainamisha kichwa chake pamaoja na uso wake chini. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakaanguka chini mbele za Yahwe, wakimwabudu yeye.
19 Wstali też Lewitowie z synów Kaatowych, i z synów Korego, i chwalili Pana, Boga Izraelskiego, głosem wielkim i wyniosłym.
Walawi, wale wa uzao wa Wakohathi na wa uzao wa Wakorahi, wakasimama juu kumsifu Yahwe, Mungu wa Israeli, kwa sauti kubwa sana.
20 Potem wstawszy rano ciągnęli na puszczę Tekuła; a gdy wychodzili, stanął Jozafat, i rzekł: Słuchajcie mię Judo, i obywatele Jeruzalemscy! Wierzcie Panu, Bogu waszemu, a będziecie bezpieczni; wierzcież prorokom jego, a będzie się wam szczęściło.
Asubuhi mapema wakasimama na kwenda nje kwenye bonde la Tekoa. Walipokuwa wakienda nje, Yehoshafati akasimama na kusema, “Nisikilizeni, Yuda, na nnyi wakaaji wa Yerusalemu! Aminini katika Yahwe Mungu wenu, na mtasaidiwa. Aminini katika manabii zake, na mtafanikiwa.
21 A wszedłszy w radę z ludem, postanowił śpiewaków Panu, którzyby go chwalili w ozdobie świętobliwości, idąc przed uszykowanymi do bitwy, i mówiąc: Wysławiajcie Pana, albowiem na wieki miłosierdzie jego.
Alipokuwa ameshauriana na watu, akawachagaua wale ambao wangemwimbia Yahwe na kumpa sifa kwa ajili ya utukufu wake mtakatifu, walipokuwa wakienda wakilitangulia jeshi, na kusema, “Mshukuruni Yahwe, kwa maana uaminifu wa aganao lake unadumu milele.”
22 A wtenczas, gdy oni zaczęli śpiewanie i chwały, obrócił Pan zasadzkę na synów Ammonowych i Moabowych, i na obywateli góry Seir, która była przyszła przeciw Judzie, i bili się sami.
Walipoanza kuimba na kusifu, Yahwe akapanga wanaume katika mavamizi juu ya watu wa Amoni, Moabu, na wa Mlima Seiri, ambao walikuwa wanakauja dhidi ya Yuda. Walishindwa.
23 Bo powstali synowie Ammonowi i Moabowi przeciwko obywatelom góry Seir, aby ich pobili i wygładzili. A gdy już do końca porazili onych, co mieszkali w Seir, oburzył się jeden przeciw drugiemu, aż się spólnie wybili.
Kwa maana watu wa Aamoni na Moabu walisimama kupigana na wakaaji wa Mlima Seiri, ili kuwaua kabisa na kuwangamiza. Waliapokuwa wamemaliza kuwaangamiza wakaaji wa Mlima Seiri, wote wakasaidiana kuangamizana kila mmoja.
24 A wtem lud Judzki przyszedł do Masfa, blisko puszczy; i spojrzawszy na ono mnóstwo widzieli, a oto trupy leżały po ziemi, tak iż nikt nie uszedł.
Yuda walipokuwa katika sehemu hiyo wakiangalia jangwani, waliangalia nje juu ya jeshi. Tazama, walikuwa wamekufa, wameanguka chini; hakuna aliyekuwa amepona.
25 Przetoż przyszedł Jozafat i lud jego, aby rozchwycili łupy ich; i znaleźli przy nich bardzo wiele bogactw i na trupach klejnotów kosztownych, których rozchwycili między się tak wiele, że ich zanieść nie mogli: przez trzy dni brali one łupy, albowiem ich było bardzo wiele.
Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara kutoka kwa hao watu, walikuta miongoni mwao bidhaa nyingi, nguo, na johari za thamani, ambazo walizichukua kwa ajili yao wenyewe, nyingi kuliko uwezo wao wa kubeba. Iliwachukua siku tatu kusomba nyara hizo, zilikuwa nyingi sana. (Badala ya “miongoni mwao”, baadhi ya maandishi ya zamani na ya kisasa yanasema, “ng'ombe.” badala ya “nguo” baadhi ya maandiko ya kale na ya kisasa yanasema, “miili iliyokufa”).
26 Potem dnia czwartego zebrali się w dolinie Beracha; bo iż tam błogosławili Pana, przetoż nazwali imię miejsca onego doliną Beracha, aż do dzisiejszego dnia.
Katika siku ya nne wakakusanyika katika bonde la Baraka, Huko wakamsifu Yaahwe, kwa hiyo jina la sehemu hiyo hata leo ni “Bonde la Baraka”.
27 Zatem obrócili się wszyscy mężowie Judzcy i Jeruzalemscy, i Jozafat przed nimi, aby się wrócili do Jeruzalemu z radością; albowiem ucieszył ich był Pan nad nieprzyjaciołami ich.
Kisha, wakarudi, kila mtu wa Yuda na Yerusalemu, na Yehoshafati katika uongozi wao, kwenda tena Yerusalemu kwa furaha, kwa maana Yahwe alikuwa amewafanya wafurahie juu ya adui zao.
28 I wjechali do Jeruzalemu z harfami, i z cytrami, i z trąbami, do domu Pańskiego.
Wakaja Yerusalemu na kwenye nyumba ya Yahwe kwa vinanda, vinubi na matarumbeta.
29 Tedy przypadł strach Boży na wszystkie królestwa ziemi, gdy usłyszały, iż Pan walczył przeciw nieprzyjaciołom ludu Izraelskiego.
Hofu ya Yahwe ikawa juu ya falme zote za mataifa waliposikia kwamba Yahwe amepigana dhidi ya adui wa Israeli.
30 A tak uspokoiło się królestwo Jozafatowe, bo mu dał odpocznienie Bóg jego zewsząd.
Kwa hiyo ufaleme wa Yehoshafati ulikuwa mtivu, kwa maana Mungu wake alimpa amani kuzungunga pande zake zote.
31 I królował Jozafat nad Judą, a miał trzydzieści i pięć lat, gdy królować począł, a dwadzieścia i pięć lat królował w Jeruzalemie; a imię matki jego było Azuba, córka Salajowa.
Yehoshafati akatawala juu ya Yuda: Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala. Jina la mama yke aliitwa Azubahi, binti wa Shilhi.
32 A chodził drogą ojca swego Azy, i nie uchylał się od niej, czyniąc co było dobrego w oczach Pańskich.
Akatembea katika njia za Asa, baba yake; hakugeka popote kuziacha; akafanya yaliyo mema katika macaho ya Yahwe.
33 Wszakże wyżyny nie były zniesione; bo jeszcze lud nie zgotował był serca swego ku Bogu ojców swoich.
Vile vile, sehemu za juu hazikuwa zimeondoshwa mbali. Watu walikuwa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa babu zao.
34 A ostatek spraw Jozafatowych pierwszych i poślednich jest zapisany w księdze Jehu, syna Hananiego, któremu było rozkazane, aby to włożył w księgi królów Izraelskich.
Kwa mambo mengine kuhusu Yehoshafati, mwanzo na mwisho, tazama, yameandikwa katika historia ya kitabu cha wafalme wa Israeli.
35 Potem stowarzyszył się Jozafat, król Judzki, z Ochozyjaszem, królem Izraelskim, którego sprawy były bardzo niepobożne.
Baada ya hayo, Yehoshafati, mfalme wa Yuda, akapatana na Ahazia, mfalme wa Israeli, ambaye alitenda uovu mwingi.
36 A stowarzyszył się z nim na to, aby nabudowali okrętów, któreby chodziły do Tarsys; i budowali one okręty w Asjongaber.
Akapatana naye kujenga meli za kwenda Tarshishi; Wakazijenga meli hizo huko Esion-geberi.
37 Przetoż prorokował Eliezer, syn Dodawahowy z Maresy, przeciw Jozafatowi mówiąc: Iżeś się stowarzyszył z Ochozyjaszem, rozerwał Pan sprawy twoje, i porozbijały się okręty, i nie mogły iść do Tarsys.
Kisha Eliezeli, mwana wa Dadavahu wa Maresha, akatoa unabii juu ya Yehoshafati; akasema, “kwa sababu umepatana na Ahazia, Yahwe ameiharibu miradi yako.” Meli zilivunjika ili kwamba zisiweze kusafiri.

< II Kronik 20 >