< II Kronik 19 >

1 A gdy się wracał Jozafat, król Judzki, do domu swego w pokoju, do Jeruzalemu,
Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
2 Wyszedł przeciwko niemu Jehu, syn Hananiego, widzący, i rzekł do króla Jozafata: Izaliś niezbożnemu miał pomagać, a tych, którzy nienawidzą Pana, miłować? Przetoż nad tobą jest gniew Pański.
Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
3 Wszakże znalazły się sprawy dobre w tobie, przeto, żeś powycinał gaje święcone z ziemi, a zgotowałeś serce swe, abyś szukał Boga.
Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
4 A pomieszkawszy Jozafat w Jeruzalemie wyjechał zaś, i objechał lud od Beersaby aż do góry Efraimskiej, i nawrócił ich do Pana, Boga ojców swoich.
Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
5 I postanowił sędziów w ziemi po wszystkich miastach Judzkich obronnych, w każdem mieście.
Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
6 Tedy rzekł do sędziów: Baczcież, co czynicie; bo nie ludzki sąd odprawujecie, ale Pański, który jest z wami przy sprawie sądowej.
Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
7 A przetoż niechaj będzie bojaźń Pańska z wami; przestrzegajcież tego, a tak się sprawujcie; bo nie masz u Pana, Boga naszego, nieprawości, i niema względu na osoby, ani przyjmuje darów.
Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
8 Także i w Jeruzalemie postanowił Jozafat niektórych z Lewitów, i z kapłanów, i z przedniejszych domów ojcowskich w Izraelu, dla sądu Pańskiego, i dla sporów tych, którzy się udawali do Jeruzalemu.
Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
9 I przykazał im, mówiąc: Tak czyńcie w bojaźni Pańskiej, wiernie, i sercem doskonałem.
Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
10 A przy wszystkich sporach, któreby przyszły przed was od braci waszych, którzy mieszkają w miastach swych, między krwią a krwią, między zakonem a przykazaniem, ustawami i sądami, napominajcie ich, aby nie grzeszyli przeciwko Panu, aby nie przyszedł gniew na was, i na braci waszych. Tak czyńcie, a nie zgrzeszycie.
Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
11 A oto Amaryjasz, kapłan najwyższy, będzie między wami we wszystkich sprawach Pańskich; a Zabadyjasz, syn Ismaelowy, książę w domu Judzkim, we wszystkich sprawach królewskich: także Lewitowie będą rządzcami między wami. Zmacniajcież się, a tak czyńcie, a Pan będzie z dobrym.
Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”

< II Kronik 19 >