< I Piotra 1 >

1 Piotr, Apostoł Jezusa Chrystusa, przychodniom rozproszonym w Poncie, w Galacyi, w Kapadocyi, w Azji i w Bitynii;
Petro, mtume wa Yesu Kristo, kwa wageni wa utawanyiko, kwa wateule, katika Ponto yote, Galatia, Kapadokia, Asia, na Bithinia,
2 Wybranym według przejrzenia Boga Ojca przez poświęcenie Ducha, ku posłuszeństwu i pokropieniu krwi Jezusa Chrystusa. Łaska wam i pokój niech będzie rozmnożony.
kutokana na ufahamu wa Mungu, Baba, kwa kutakaswa na Roho Mtakatifu, kwa utiifu wa Yesu Kristo, na kwa kunyunyuziwa damu yake. Neema iwe kwenu, na amani yenu iongezeke.
3 Błogosławiony niech będzie Bóg i Ojciec Pana naszego, Jezusa Chrystusa, który według wielkiego miłosierdzia swego odrodził nas ku nadziei żywej przez zmartwychwstanie Jezusa Chrystusa od umarłych,
Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na abarikiwe. Katika ukuu wa rehema yake, alitupa kuzaliwa upya kwa ujasiri wa urithi kupitia ufufuo wa Yesu Kristo kutoka katika wafu,
4 Ku dziedzictwu nieskazitelnemu i niepokalanemu, i niezwiędłemu, w niebiesiech dla was zachowanemu,
kwa urithi usioangamia, hautakua na uchafu wala kupungua. Umehihifadhiwa mbinguni kwa ajili yenu.
5 Którzy mocą Bożą strzeżeni bywacie przez wiarę ku zbawieniu, które zgotowane jest, aby było objawione czasu ostatecznego.
Kwa uwezo wa Mungu mnalindwa kupitia imani kwa wokovu ambao upo tayari kufunuliwa katika nyakati za mwisho.
6 W czem weselicie się teraz maluczko, (jeźliże potrzeba) zasmuceni w rozmaitych pokusach,
Furahini katika hili, ingawaje sasa ni lazima kwenu kujisikia huzuni katika majaribu ya aina mbalimbali.
7 Aby doświadczenie wiary waszej daleko droższe niż złoto, które ginie, którego jednak przez ogień doświadczają, znalezione było wam ku chwale i ku czci, i ku sławie w objawienie Jezusa Chrystusa,
Hii, ni kwa sababu imani yenu iweze kujaribiwa, imani ambayo ni ya thamani kuliko dhahabu, ambayo inapotea katika moto ambao hujaribu imani yenu. Hii hutokea ili imani yenu ipate kuzaa sifa, utukufu, na heshima katika ufunuo wa Yesu Kristo.
8 Którego nie widziawszy, miłujecie, którego teraz nie widząc, wszakże weń wierząc, weselicie się radością niewymowną i chwalebną,
Hamjamuona yeye, lakini mnampenda. Hamumuoni sasa, lakini mnaamini katika yeye na mna furaha isiyoweza kuelezeka kwa furaha ambayo imejawa na utukufu.
9 Odnosząc koniec wiary waszej: zbawienie dusz.
Sasa mnapokea wenyewe matokeo ya imani yenu, wokovu wa nafsi zenu.
10 O którem zbawieniu wywiadywali się i badali się prorocy, którzy o tej łasce, która na was przyjść miała, prorokowali.
Manabii walitafuta na kuuliza kwa umakini kuhusu wokovu huu, kuhusu neema ambayo ingekuwa yenu.
11 Badając się, na który albo na jaki czas objawiał Duch Chrystusowy, który w nich był, świadcząc pierwej o utrapieniach, które miały przyjść na Chrystusa i o wielkiej za tem chwale.
Walitafuta kujua ni aina gani ya wokovu ambao ungekuja. Walitafuta pia kujua ni muda gani Roho wa Kristo aliye ndani yao alikuwa anazungumza nini nao. Hii ilikua inatokea wakati alipokuwa anawaambia mapema kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ambao ungemfuata.
12 Którym objawione jest, iż nie samym sobie, ale nam tem usługiwali, co wam teraz zwiastowano przez tych, którzy wam kazali Ewangieliję przez Ducha Świętego z nieba zesłanego, na które rzeczy pragną patrzyć Aniołowie.
Ilifunuliwa kwa manabii kwamba walikua wanayatumikia mambo haya, na si kwa ajili yao wenyewe, bali kwa ajili yenu - masimulizi ya mambo haya kupitia wale wanaoleta injili kwenu kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, mambo ambayo hata malaika wanatamani kufunuliwa kwake.
13 Przetoż przepasawszy biodra myśli waszej i trzeźwymi będąc, doskonałą miejcie nadzieję ku tej łasce, która wam dana będzie w objawienie Jezusa Chrystusa,
Kwa hiyo fungeni viuno vya akili zenu. Muwe watulivu katika fikra zenu. Muwe na ujasiri mkamilifu katika neema ambayo italetwa kwenu wakati wa kufunuliwa kwa Yesu Kristo.
14 Jako synowie posłuszni, którzy się nie przypodobywacie przeszłym w nieumiejętności waszej pożądliwościom;
Kama watoto watiifu, msifungwe wenyewe na tamaa ambazo mlizifuata wakati mlipokua hamna ufahamu.
15 Ale jako ten, który was powołał, święty jest, i wy bądźcie świętymi we wszelkiem obcowaniu,
Lakini kama vile aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi, pia, muwe watakatifu katika tabia yenu yote maishani.
16 Dlatego że napisano: Świętymi bądźcie, iżem Ja jest święty.
Kwa kuwa imeandkwa, “Iweni watakatifu, kwa sababu Mimi ni mtakatifu.”
17 A ponieważ Ojcem nazywacie tego, który bez braku osób każdego sądzi według uczynku, patrzcież, abyście w bojaźni czas pielgrzymowania waszego trawili,
Na kama mkiita “Baba” yule ahukumuye kwa haki kulingana na kazi ya kila mtu, tumia muda wa safari yako katika unyenyekevu.
18 Wiedząc, iż nie skazitelnemi rzeczami, srebrem albo złotem, wykupieni jesteście od marnego obcowania waszego, od ojców podanego.
Mnafahamu kwamba haikuwa kwa fedha au dhahabu - vitu vinavyoharibika- ambavyo mmekombolewa kutoka kwenye tabia zenu za ujinga ambazo mlijifunza kutoka kwa baba zenu.
19 Ale drogą krwią, jako baranka niewinnego i niepokalanego, Chrystusa;
Lakini mmekombolewa kwa damu ya heshima ya Kristo, kama ya kondoo asiye na hila wala doa.
20 Przejrzanego przed założeniem świata, a objawionego czasów ostatecznych dla was,
Kristo alichaguliwa kabla ya misingi ya dunia, lakini sasa siku hizi za mwisho, amefunuliwa kwenu.
21 Którzy przez niego wierzycie w Boga, który go wzbudził od umarłych i dał mu chwałę, aby wiara i nadzieja wasza była w Bogu.
Mnamwamini Mungu kupitia yeye, ambaye Mungu alimfufua toka kwa wafu na ambaye alimpa utukufu ili kwamba imani yenu na ujasiri uwe katika Mungu.
22 Oczyszczając dusze wasze w posłuszeństwie prawdy przez Ducha Świętego ku nieobłudnej braterskiej miłości, z czystego serca jedni drugich miłujcie uprzejmie,
Mmefanya nafsi zenu kuwa safi kwa utii wa ile kweli, kwa dhumuni la pendo la kidugu lililo na unyofu, hivyo pendaneni kwa bidii toka moyoni.
23 Odrodzeni będąc nie z nasienia skazitelnego, ale z nieskazitelnego przez słowo Boże żywe i trwające na wieki. (aiōn g165)
Mmekwisha zaliwa mara ya pili, si kwa mbegu iharibikayo, lakini kutoka katika mbegu isiyoharibika, kupitia uzima na neno la Mungu lililosalia. (aiōn g165)
24 Ponieważ wszelkie ciało jest jako trawa i wszelka chwała człowieka jako kwiat trawy; uwiędła trawa i kwiat jej opadł;
Kwa maana “miili yote ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la jani. Jani hunyauka, na ua hudondoka,
25 Ale słowo Pańskie trwa na wieki. A toć jest słowo, które wam jest zwiastowane. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana hubakia milele.” Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu. (aiōn g165)

< I Piotra 1 >