< غزل غزلها 1 >

غزل غزلها که از آن سلیمان است. ۱ 1
Wimbo ulio bora wa Solomoni.
او مرا به بوسه های دهان خود ببوسد زیرا که محبت تو از شراب نیکوتر است. ۲ 2
Unibusu kwa busu la kinywa chako, kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.
عطرهای توبوی خوش دارد و اسم تو مثل عطر ریخته شده می‌باشد. بنابراین دوشیزگان، تو را دوست می‌دارند. ۳ 3
Manukato yako yananukia vizuri, jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa. Ndiyo sababu wanawali wanakupenda!
مرا بکش تا در عقب تو بدویم. پادشاه مرا به حجله های خود آورد. از تو وجد و شادی خواهیم کرد. محبت تو را از شراب زیاده ذکرخواهیم نمود. تو را از روی خلوص دوست می‌دارند. ۴ 4
Nichukue twende nawe, na tufanye haraka! Mfalme na anilete ndani ya vyumba vyake. Marafiki Tunakushangilia na kukufurahia, tutasifu upendo wako zaidi kuliko divai. Mpendwa Tazama jinsi ilivyo bora wakupende!
‌ای دختران اورشلیم، من سیه فام اماجمیل هستم، مثل خیمه های قیدار و مانندپرده های سلیمان. ۵ 5
Mimi ni mweusi, lakini napendeza, enyi binti za Yerusalemu, mweusi kama mahema ya Kedari, kama mapazia ya hema la Solomoni.
بر من نگاه نکنید چونکه سیه فام هستم، زیرا که آفتاب مرا سوخته است. پسران مادرم بر من خشم نموده، مرا ناطورتاکستانها ساختند، اما تاکستان خود را دیده بانی ننمودم. ۶ 6
Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu nimefanywa mweusi na jua. Wana wa mama yangu walinikasirikia na kunifanya niwe mtunza mashamba ya mizabibu. Shamba langu mwenyewe la mizabibu nimeliacha.
‌ای حبیب جان من، مرا خبر ده که کجامی چرانی و در وقت ظهر گله را کجا می‌خوابانی؟ زیرا چرا نزد گله های رفیقانت مثل آواره گردم. ۷ 7
Niambie, wewe ambaye ninakupenda, unalisha wapi kundi lako la kondoo na ni wapi unapowapumzisha kondoo wako adhuhuri. Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefunikwa shela karibu na makundi ya rafiki zako?
‌ای جمیل تر از زنان، اگر نمی دانی، در اثرگله‌ها بیرون رو و بزغاله هایت را نزد مسکن های شبانان بچران. ۸ 8
Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote, fuata nyayo za kondoo, na kulisha wana-mbuzi wako karibu na hema za wachungaji.
‌ای محبوبه من، تو را به اسبی که در ارابه فرعون باشد تشبیه داده‌ام. ۹ 9
Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike aliyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.
رخسارهایت به جواهرها و گردنت به گردن بندها چه بسیار جمیل است. ۱۰ 10
Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli, shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.
زنجیرهای طلا با حبه های نقره برای توخواهیم ساخت. ۱۱ 11
Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, vyenye kupambwa kwa fedha.
چون پادشاه بر سفره خودمی نشیند، سنبل من بوی خود را می‌دهد. ۱۲ 12
Wakati mfalme alipokuwa mezani pake, manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.
محبوب من، مرا مثل طبله مر است که در میان پستانهای من می‌خوابد. ۱۳ 13
Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.
محبوب من، برایم مثل خوشه بان درباغهای عین جدی می‌باشد. ۱۴ 14
Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.
اینک تو زیباهستی‌ای محبوبه من، اینک تو زیبا هستی وچشمانت مثل چشمان کبوتر است. ۱۵ 15
Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Tazama jinsi ulivyo mzuri! Macho yako ni kama ya hua.
اینک تو زیبا و شیرین هستی‌ای محبوب من و تخت ما هم سبز است. ۱۶ 16
Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Ee, tazama jinsi unavyopendeza! Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.
تیرهای خانه ما از سرو آزاد است و سقف ما از چوب صنوبر. ۱۷ 17
Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, na mapao yetu ni miberoshi.

< غزل غزلها 1 >