< امثال 1 >

امثال سلیمان بن داود پادشاه اسرائیل ۱ 1
Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:
به جهت دانستن حکمت و عدل، و برای فهمیدن کلمات فطانت. ۲ 2
Kwa kupata hekima na nidhamu; kwa kufahamu maneno ya busara;
به جهت اکتساب ادب معرفت آمیز، و عدالت و انصاف و استقامت. ۳ 3
kwa kujipatia nidhamu na busara, kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea;
تاساده دلان را زیرکی بخشد، و جوانان را معرفت وتمیز. ۴ 4
huwapa busara wajinga, maarifa na akili kwa vijana;
تا مرد حکیم بشنود و علم را بیفزاید. ومرد فهیم تدابیر را تحصیل نماید. ۵ 5
wenye hekima na wasikilize nao waongeze elimu yao, wenye kupambanua na wapate mwongozo;
تا امثال وکنایات را بفهمند، کلمات حکیمان و غوامض ایشان را. ۶ 6
kwa kufahamu mithali na mifano, misemo na vitendawili vya wenye hekima.
ترس یهوه آغاز علم است. لیکن جاهلان حکمت و ادب را خوار می‌شمارند. ۷ 7
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa, lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu.
‌ای پسر من تادیب پدر خود را بشنو، و تعلیم مادر خویش را ترک منما. ۸ 8
Mwanangu, sikiliza mwongozo wa baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
زیرا که آنها تاج زیبایی برای سر تو، و جواهر برای گردن توخواهد بود. ۹ 9
Hayo yatakuwa taji la maua la neema kichwani pako, na mkufu wa kuipamba shingo yako.
‌ای پسر من اگر گناهکاران تو رافریفته سازند، قبول منما. ۱۰ 10
Mwanangu, kama wenye dhambi wakikushawishi, usikubaliane nao.
اگر گویند: «همراه مابیا تا برای خون در کمین بنشینیم، و برای بی‌گناهان بی‌جهت پنهان شویم، ۱۱ 11
Kama wakisema, “Twende tufuatane; tukamvizie mtu na kumwaga damu, njoo tukavizie nafsi isiyo na hatia;
مثل هاویه ایشان را زنده خواهیم بلعید، و تندرست مانندآنانی که به گور فرو می‌روند. (Sheol h7585) ۱۲ 12
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni. (Sheol h7585)
هر گونه اموال نفیسه را پیدا خواهیم نمود. و خانه های خود را ازغنیمت مملو خواهیم ساخت. ۱۳ 13
Tutapata aina zote za vitu vya thamani na kujaza nyumba zetu kwa nyara.
قرعه خود رادر میان ما بینداز. و جمیع ما را یک کیسه خواهدبود.» ۱۴ 14
Njoo ushirikiane nasi, vitu vyote tutakavyopata tutagawana.”
‌ای پسر من با ایشان در راه مرو. و پای خودرا از طریقهای ایشان باز دار ۱۵ 15
Mwanangu, usiandamane nao. Usiweke mguu wako katika njia zao,
زیرا که پایهای ایشان برای شرارت می‌دود و به جهت ریختن خون می‌شتابد. ۱۶ 16
kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye dhambi, ni wepesi kumwaga damu.
به تحقیق، گستردن دام در نظرهر بالداری بی‌فایده است. ۱۷ 17
Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu wakati ndege wote wanakuona!
لیکن ایشان به جهت خون خود کمین می‌سازند، و برای جان خویش پنهان می‌شوند. ۱۸ 18
Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe; hujivizia tu wenyewe!
همچنین است راههای هر کس که طماع سود باشد، که آن جان مالک خود را هلاک می‌سازد. ۱۹ 19
Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila; huuondoa uhai wa wale wenye mali.
حکمت در بیرون ندا می‌دهد و در شوارع عام آواز خود را بلند می‌کند. ۲۰ 20
Hekima huita kwa sauti kuu barabarani, hupaza sauti yake kwenye viwanja vikubwa;
در سرچهارراهها در دهنه دروازه‌ها می‌خواند و در شهربه سخنان خود متکلم می‌شود ۲۱ 21
kwenye makutano ya barabara za mji zenye makelele mengi hupaza sauti, kwenye malango ya mji hutoa hotuba yake:
که «ای جاهلان تا به کی جهالت را دوست خواهید داشت؟ و تا به کی مستهزئین از استهزا شادی می‌کنند و احمقان از معرفت نفرت می‌نمایند؟ ۲۲ 22
“Enyi wajinga, mtangʼangʼania ujinga wenu hadi lini? Mpaka lini wenye mizaha watafurahia mizaha, na wapumbavu kuchukia maarifa?
به‌سبب عتاب من بازگشت نمایید. اینک روح خود را بر شما افاضه خواهم نمود و کلمات خود را بر شما اعلام خواهم کرد. ۲۳ 23
Kama mngekuwa mmeitikia karipio langu, ningekuwa nimemimina roho yangu kwenu na kuwafahamisha maneno yangu.
زیرا که چون خواندم، شما ابانمودید و دستهای خود را افراشتم و کسی اعتنانکرد. ۲۴ 24
Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita na hakuna yeyote aliyekubali niliponyoosha mkono wangu,
بلکه تمامی نصیحت مرا ترک نمودید وتوبیخ مرا نخواستید. ۲۵ 25
kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu,
پس من نیز در حین مصیبت شما خواهم خندید و چون ترس بر شمامستولی شود استهزا خواهم نمود. ۲۶ 26
mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata:
چون خوف مثل باد تند بر شما عارض شود، و مصیبت مثل گردباد به شما دررسد، حینی که تنگی وضیق بر شما آید. ۲۷ 27
wakati janga litawapata kama tufani, wakati maafa yatawazoa kama upepo wa kisulisuli, wakati dhiki na taabu zitawalemea.
آنگاه مرا خواهند خواندلیکن اجابت نخواهم کرد، و صبحگاهان مراجستجو خواهند نمود اما مرا نخواهند یافت. ۲۸ 28
“Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu; watanitafuta lakini hawatanipata.
چونکه معرفت را مکروه داشتند، و ترس خداوند را اختیار ننمودند، ۲۹ 29
Kwa kuwa walichukia maarifa, wala hawakuchagua kumcha Bwana,
و نصیحت مراپسند نکردند، و تمامی توبیخ مرا خوار شمردند، ۳۰ 30
kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu, na kukataa maonyo yangu,
بنابراین، از میوه طریق خود خواهند خورد، واز تدابیر خویش سیر خواهند شد. ۳۱ 31
watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa matunda ya hila zao.
زیرا که ارتداد جاهلان، ایشان را خواهد کشت و راحت غافلانه احمقان، ایشان را هلاک خواهد ساخت. ۳۲ 32
Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua, nako kuridhika kwa wajinga kutawaangamiza.
اما هر‌که مرا بشنود در امنیت ساکن خواهدبود، و از ترس بلا مستریح خواهد ماند.» ۳۳ 33
Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama, atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”

< امثال 1 >