< Mathayo 6 >

1 Kana upange makowe ganoite kwa bandu linga ubonekane, wapata kwaa thawabu buka kwa Tate abile kumaunde.
Zingatia kutotenda matendo ya haki mbele ya watu ili kujionyesha, vinginevyo hutapata thawabu kutoka kwa Baba aliye mbinguni.
2 Kwaiyo mana kopiya kana upage ndoti na kuipuna mwene kati nanfiki babapanga mumasinagogi gabe ni mumitaa, linga panga bandu balumbe, kweli nenda kuakokiya, bayowine pokya thawabu yabe.
Hivyo basi unapotoa usipige tarumbeta na kujisifu mwenyewe kama wanafiki wanavyofanya katika masinagogi na katika mitaa, ili kwamba watu wawasifu. Kweli nawaambia, wamekwisha kupokea thawabu yao.
3 Lakini wenga mana kopiya, liboko lyako lya mashoto kunkeya lwa mmalyo kana lutange chakipanga.
Lakini wewe unapotoa, mkono wako wa kushoto usijue kinachofanywa na mkono wa kulia,
4 linga panga zawadi yako ipijilwe kwa siri, ni Tate bako babakubona kwa siri alowa kukupeya zawadi yake ipiyilwa kwa siri.
ili kwamba zawadi yako itolewe kwa siri. Ndipo Baba yako aonaye sirini atakupatia thawabu yako.
5 paupanga, kana ube kati wa nnafiki, maana bapendike yema ni loba 'mumasinagogi ni mulukona, linga panga babonekane ni bandumkweli nenda kuakokiya bapokite thawabu yabe.
Na unapokuwa ukiomba, usiwe kama wanafiki, kwa kuwa wanapenda kusimama na kuomba kwenye masinagogi na kwenye kona za mitaani, ili kwamba watu wawatazame. Kweli nawaambia, wamekwishapokea thawabu yao.
6 Lakini wenga, mana ulobie, kuyingii mu, chumba, ujigale nnango, ni ulobe kwa mwanja tate bako ywa abile musiri, Nga Tate bako ywaaibona siri alowa kupeya thawabu yako.
Lakini wewe, unapo omba, ingia chumbani. Funga mlango, na uombe kwa kwa Baba yako aliye sirini. Ndipo Baba yako aonaye sirini atakupatia thawabu yako.
7 Na paaloba, kana ukeme kwaa marudio kati ya apanga amataifa, kwasababu bawasa panga balowa kwayowa kwa mwanza makowe gabe gana nchima.
Na unapokuwa ukiomba, usirudie rudie maneno yasiyo na maana kama mataifa wanavyofanya, kwa kuwa wanafikiri kwamba watasikiwa kwa sababu ya maneno mengi wanayosema.
8 Kwa eyo, kana mube kati bembe, mana Tate bako atangite ywagapala hata balo waloba kwake.
Kwa hiyo, usiwe kama wao, kwa kuwa Baba yako anatambua mahitaji yako hata kabla hujaomba kwake.
9 Kwa eyo, mulobe nyonyo, “Tate bitu waubile kumaunde, lina lyako litukuzwe.
Hivyo basi omba hivi: Baba yetu uliye mbinguni, ulitukuze jina lako.
10 Upwalume wako uiche, champendile kipangilwe hapa pakilambo kati kwo kumaunde.
Ufalme wako uje, mapenzi yako yafanyike hapa duniani kama huko mbinguni.
11 Utupei lino nkate witu wa kila lisoba.
Utupatiye leo mkate wetu wa kila siku.
12 Utusamee madeni yitu, kati twenga twatuwasamee wadeni witu.
utusamehe deni zetu, kama nasi tunavyowasamehe wadeni wetu.
13 Kana utupei majaribu, lakini utulopwe ni yulu nchela.
Na usitulete katika majaribu, lakini utuepushe kutoka kwa yule mwovu.'
14 mana itei mwalowa kwasamiya kwa makosa gabe, Ni Tate bako ywabile kumaunde apala kwasamee mwenga.
Ikiwa mtawasemehe watu makosa yao, Baba yako aliye mbinguni pia atawasamehe ninyi.
15 Lakini yaibile muwasamee kwaa makosa gabe, Tate binu awasamee kwaa makosa yinu ni mwenga.
Lakini ikiwa hamtawasamehe makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe makosa yenu.
16 Zaidi ya yoti, mana autabike, kana ubonekane kuminyo kwati kekenaa kati anafiki mwabapaga, mana benda kekenala kuminyo yabe linga bababonikine ni bandu, panga batabike. Kweli niaalokiya, bayomwite pokya thawabu yabe.
Zaidi ya yote, unapokuwa umefunga, usioneshe sura ya huzuni kama wanafiki wanavyofanya, kwa kuwa wanakunja sura zao ili kwamba watu wawatambue wamefunga. Kweli ninakuambia, wamekwisha kupokea thawabu yao.
17 Lakini wenga, mana utabike, upakile mauta mutwe wako ni uuluwe kuminyo.
Lakini wewe, unapokuwa umefunga, paka mafuta kichwa chako na uoshe uso wako.
18 Nyoo watanganikwa kwaa ni bandu panga utabike, ila Tate bako ywabile musiri, alowa kupeya thawabu yako.
Hivyo haitakuonesha mbele ya watu kuwa umefunga, lakini tu itakuwa kwa Baba yako aliye sirini. Na Baba yako aonaye sirini, atakupa thawabu yako.
19 Kna ubeke akiba mukilambo, mabongo ni kutu yalowa alibiya, ni bai tekwana ni jiba.
Usijitunzie hazina yako mwenyewe hapa duniani, ambapo nondo na kutu huharibu, ambapo wezi huvunja na kuiba.
20 Itunzie akiba yako mwene kumaunde, hakwo mabongo wala kutu ialabiya kwaa ni mwii aweza kwaa tekwana ni jiba.
Badala yake, jitunzie hazina yako mwenyewe mbinguni, ambapo wala nondo wala kutu hawezi kuharibu, na ambapo wezi hawawezi kuvunja na kuiba.
21 Mana akiba yako paibile, ni mwoyo bako nga walowa baa.
Kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo na moyo wako utakapokuwepo pia.
22 Liyo nga taa ya payega, kwa eyo, mana itei liyo lyako likoto, yega yoti walowa panga ni bwega.
Jicho ni taa ya mwili. Kwa hiyo, ikiwa jicho lako ni zima, mwili wote utajazwa na nuru.
23 Lakini mana liyo lyene libou, yega yako yoti, iba twelya lybendo totoro. Kwa eyo, mana itei bweya waubile nkati yake lubendo hasa, lubendo lukolo kiasi gani!
Lakini ikiwa jicho lako ni bovu, mwili wako wote umejaa giza totoro. Kwahiyo, ikiwa nuru ambayo imo ndani yako ni giza hasa, ni giza kubwa kiasi gani!
24 Ntopo hata yumo ywaweza kwatumikya ngwana abele, mana alowa kunchukiya yumo ni umpenda ywenge, au alowa tama kwa yumo ni kunzalau ywenge, mwaweza kwaa kuntumikya Nnongo ni mali.
Hakuna hata mmoja anayeweza kuwatumikia mabwana wawili, kwa kuwa atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, au la sivyo atajitoa kwa mmoja na kumdharau mwingine. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.
25 Kwa eyo nendakukokiya, kana mube ni masaka husi maisha gako, panga mwalwaa namani ni mwawala namani.
Kwa hiyo nakuambia, usiwe na mashaka kuhusu maisha yako, kuwa utakula nini au utakunywa nini, au kuhusu mwili wako, utavaa nini. Je! Maisha si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?
26 Lola iyuni ya kunani, bapanda kwaa, bauna kwaa, ni kana bakusanye ni kutunza mughala, lakini Tate binu ywaabile kumaunde ubalisha. Namani mwenga mwa thamani kwaa kuliko iyuni?
Tazama ndege walioko angani. Hawapandi na hawavuni na hawakusanyi na kutunza ghalani, lakini Baba yenu wa mbinguni huwalisha wao. Je ninyi si wa thamani zaidi kuliko wao?
27 Nyai nkati yinu ywaisumbukiya ywa enda weza kwiyongeya miaka ya maisha gake?
Na ni nani miongoni mwenu kwa kujihangaisha anaweza kuongeza dhiraa moja kwenye uhai wa maisha yake?
28 Mwanja namani mukonda mashaka husu mawalo? muwase maloba ga mumigunda, mwaganawili. Gapanga kwaa lyengo ni gaweza kwiwalika.
Na kwa nini mna kuwa na wasiwasi kuhusu mavazi? Fikiria kuhusu maua kwenye mashamba, jinsi yanavyokua. Hayafanyi kazi na hayawezi kujivisha.
29 Bado niakokiya, hata Sulemani wakati wa utawala wake awalikwe kwa kati ga mulobe.
Bado ninawaambia, hata Sulemani katika utukufu wake wote hakuvikwa kama mojawapo ya haya.
30 Mana itei Nnongo agawalika manyei mu'ng'unda ni gatama kwaa miaka yananchima malao baika kagataikulya kumwoto, tubwe kwa kitiwi mwalowa kumwalika mwenga, mwenga mwabile ni imani njene?
Ikiwa Mungu anayavalisha majani katika mashamba, ambayo yadumu siku moja na kesho yanatupwa katika moto, je ni kwa kiasi gani atawavalisha ninyi, ninyi wenye imani ndogo?
31 Tubwe kana bube ni mashaka kamukoya,'mwakolongwa tulolya namani?'Au “Twalowa nywaa kele?” au twalowa waa ngobo gani?”
Kwa hiyo msiwe na wasiwasi nakusema, 'Je tutakula nini?' au “Je tutakunywa nini?” au “Je tutavaa nguo gani?”
32 Mana amataifa nembe bapala makowe aga, ni Tate binu ywa kumaunde atangite panga mwenda gapala goo.
Kwa kuwa mataifa wanatafuta mambo haya, na Baba yenu wa mbinguni anajua kuwa mnahitaji hayo.
33 Lakini wete mupale utawala wake ni kweli wake ni ago goti mwalowa peyelwa.
Lakini kwanza tafuteni ufalme wake na haki yake na haya yote yatakabidhiwa kwako.
34 Kwa eyo, kana ubeke shaka kwaajili ya malabo, mana malabo yaisumbukya yene. Kila lisoba lyalengani kwa litatizo lyake lyene.
Kwa hiyo, usione shaka kwa ajili ya kesho, kwa kuwa kesho itajishughulikia yenyewe. Kila siku inatosha kuwa na tatizo lake yenyewe.

< Mathayo 6 >