< 2 Yohana 1 >

1 Bu'ka kwa mpindo, linga kwa nwawa ywa saulilwe na bana bake, banapenda kitumbu sa kweli, na'penda kwaku kisangu, kwa bhandu boti baitangite kweli,
Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake, ambao niwapendao katika kweli na si mimi tu, bali na wote wale wanao ifahamu kweli,
2 Kitumbu sa kweli yangayomoka yaibile nkati yitu yaipala baa pamope natwee. (aiōn g165)
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn g165)
3 Neema, samilwa na amani, yabaa pamope na twee buka kwa Nnungu Tati bitu na Yesu Kirisitu mwana wa Tati ba kweli na upendo.
Neema, rehema, amani zitakuwa nasi kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, katika kweli na pendo.
4 Nipulaike muno kwa kitumbu niibweni panga, bingi ba bana bitu batama mu kweli Kati twenga mwatupoki ayi amuli Buka kwa Tati.
Ninafurahi sana kwamba nimegundua baadhi ya watoto wanaenenda katika kweli, kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba.
5 Yambi ino, nendo kuluba wenga wa nwawa, nikupeya kwaku amuli ya ayambi, yiyilya yatwabi nayo buka tangu, panga tupalikwa pendana twabene na bene. Na wuno nga upendo tupalikwa tutame Kati amuli yake mwaipala.
Na sasa nakusihi wewe, mwanamke, siyo kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana sisi kwa sisi. Na huu ndiyo upendo, tunaopaswa kuenenda, kulingana na amri yake.
6 Yino nga yilu amuli yamwaiyubwine buka tangu, panga mupalikwa mutame Kati mwaibaya Ayo amuli.
Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.
7 Kwa kitumbu sa abusu bambone batwilimu Dunia, na bakani yikitya panga, Yesu Kirisitu aaisi kwa ndila ya yiga, Ayu nga yulu nkongi ayikitya kwaku ukakapewa Kirisitu.
Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu, na hawakiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili. Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo.
8 Mwilingu mwabene panga mwobeya kwa gala gatuyomwile ga pangya lyengo, Lakini lengapanga muweze kwipokiya zawadi kamili
Jiangalieni wenyewe kwamba hampotezi mambo yale tuliyokwisha fanyia kazi, lakini ili kwamba mweze kuipokea tuzo kamili.
9 Jwo jwote jwa nyendelya nnonge adumu mu mupundiso ga Kristo, utupo Nnongo, jwembe jwadumu mu mupundiso abina tate na mwana Kai.
Yeyote aendeleae mbele na hadumu katika fundisho la Kristo, hana Mungu. Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana pia.
10 Mana mundu kaisa kasinu na aletike kwa lipundiso leni, kana munkaribishe mu nyumba yinu na kana mwampange abari.
Kama mtu anakuja kwenu na haleti fundisho hili, msimkaribishe katika nyumba zenu na msimsalimie.
11 Kwa sababu jwa usalimia ushirikiana naye na makowe gake mabou.
Kwa kuwa amsalimuye hushiriki katika matendo yake maovu.
12 Nibii na makowe gananchima ga kumwandikiya, na nigaandike kwa napendi kwa kuga andika kwa karatasi na wino. Ila nitamaniya isa kayino na longela nkano kwa nkano, panga pura yinu ipate panga kamili.
Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, na sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino. Lakini natumaini kuja kwenu na kuongea uso kwa uso, kwamba furaha yetu ipate kufanywa kamili.
13 Bana bannobo winu ncha ulilwa nenda kwa salimu.
Watoto wa dada yenu mteule wanawasalimia.

< 2 Yohana 1 >