< 1 Akoritho 4 >

1 Ayee nga mundu ywatubalanga twenga, kati amanda ba Kristo ni mawakili ba siri ya kweli ya Nnongo.
Hivi ndivyo mtu atuhesabu sisi, kama watumishi wa Kristo na mawakili wa siri za kweli za Mungu.
2 Katika lee, chakipalikwa kwa uwakili ni kwamba bawe ba kutumainiya.
Katika hili, kinachotakiwa kwa uwakili ni kwamba wawe wa kutumainiwa.
3 Lakini kwango nenga ni kilebe kichunu muno kuwa nendahukumilwa ni mwenga au hukumu ya bandu, kwa kuwa naihukumu kwaa nenga na mwene.
Lakini kwangu mimi ni kitu kidogo sana kuwa ninahukumiwa na ninyi au hukumu ya kibinadamu. Kwa kuwa sijihukumu hata mimi mwenyewe.
4 Naihukumu kwaa nenga na mwene, ayee ibile kwaa na mana kuwa nenga na mwene haki. Ila Ngwana nga anihukumuye.
Sijihukumu mimi mwenyewe, hii haina maana kuwa mimi ni mwenye haki. Ni Bwana anihukumuye.
5 Kwa eyo, kana muipale hukumu nnani ya lolote kabla ya muda, kabla ya kuisa Ngwana. Alowa kubaleta mu'bweya makowe gaabile mu'libendo ni kuipunua kusudi ya mwoyo. Nga kila yumo apokya sifa yake kwa Nnongo.
Kwa hiyo, msitamke hukumu juu ya lolote kabla ya wakati, kabla ya kuja kwa Bwana. Atayaleta nuruni mambo yaliyofichika gizani na kufunua makusudi ya mioyo. Ndipo kila mmoja atapokea sifa yake kutoka kwa Mungu.
6 Nambeambe, ainja ni alombo bango, nenga namwene na Apolo niitumi kanuni yee kwa ajili yinu, ili kuoma kwitu mwaweza kuipunza maana ya baya, “Uyende kwaa zaidi ya yaiandikilwe.” Ayee nga kuwa ntopo yumo winu ywaipunia nnani ya ywenge.
Sasa, kaka na dada zangu, mimi mwenyewe na Apolo nimetumia kanuni hizi kwa ajili yenu. Ili kwamba kutoka kwetu mnaweza kujifunza maana ya usemi, “Usiende zaidi ya kilivyoandikwa.” Hii ni kwamba hakuna mmoja wenu ajivunaye juu ya mwingine.
7 Maana ywa nyai ywabona tofauti nkati yinu ni ywenge. Ni namani chaubile nacho chaukipokya bure? Kati uyomwa pokya bure kwa namani mwaipunya kati mwapanga kwaa nyoo?
Maana ni nani aonaye tofauti kati yenu na mwingine? Ni nini ulicho nacho hukukipokea bure? Kama umekwisha kupokea bure, kwa nini mnajivuna kama hamkufanya hivyo?
8 Tayari mubile ni yoti mpala! Tayari mwabile ni utajiri! Mtumbwa tawala ni kwamba mwamiliki zaidi yitu twenga! Kweli, napala umiliki mwema ili kwamba tumiliki pamope ni mwenga.
Tayari mnavyo vyote ambavyo mngetaka! Tayari mmekuwa na utajiri! Mmeanza kutawala-na kwamba mnamiliki zaidi yetu sisi! Kweli, nawatakia umililki mwema ili kwamba tumiliki pamoja nanyi.
9 Kwa eyo nawasa Nnongo atubekite twenga twa mitume kati kutubonesha wa mwisho mu'mistari ya maandamano ni kati bandu bahukumilwe ku'waa. Twabile kati tamasha kwa ulimwengu, kwa malaika ni kwa anadamu.
Kwa hiyo ninadhani Mungu ametuweka sisi mitume kama kutuonyesha wa mwisho katika mustari wa maandamano na kama watu waliohukumiwa kuuawa. Tumekuwa kama tamasha kwa ulimwengu, kwa malaika na kwa wanadamu.
10 Twenga twaalalo kwa ajili ya Kristo, lakini mwenga mwa mubile ni hekima mu'Kristo. Tu anyonge, lakini mwenga mwabile ni ngupu. Mwaheshimilwa, lakini twenga twadharauliwa.
Sisi ni wajinga kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye hekima katika Kristo. Tu wanyonge, lakini ninyi mna nguvu. Mnaheshimiwa, lakina sisi tunadharauliwa.
11 Hata saa ino twabile ni njala ni kiu, tubile kwaa ni ngobo, tubile ni mapigo, ni kae ntopo makazi.
Hata saa hii tuna njaa na kiu, hatuna nguo, tuna mapigo, na tena hatuna makazi.
12 Twapanga kazi kwa bidii, kwa maboko yitu wene. Mana tudharaulilwe, twabariki. Muda tubile ni mateso, tugapumiliea.
Tunafanya kazi kwa bidii, kwa mikono yetu wenyewe. Tunapodharauliwa, twabariki. Wakati tunapoteswa, twavumilia.
13 Mana tutukanganwe, tugarudishe kwa upole. Tubile, ni bado twabalangilwa kuwa kati tukanilwa ni dunia ni uchapu kwa makowe gote.
Tunapotukanwa, twarudisha kwa upole. Tumekuwa, na tu bado tunahesabiwa kuwa kama kukataliwa na dunia na takataka kwa mambo yote.
14 Niandika kwaa makowe aga kuaaibisha mwenga, lakini kuarudi mwenga kati bana bango waniwapendile.
Siandiki mambo haya kuwaaibisha ninyi, lakini kuwarudi ninyi kama watoto wangu niwapendao.
15 Hata kati mwabile ni baalimu komi elfu mu'Kristo mwabile kwaa ni tate baingi. Kwa kuwa nabile tate yinu mu'Yesu Kristo petya injili.
Hata kama mna waalimu makumi elfu katika Kristo, hamna baba wengi. Kwa kuwa nimekuwa baba yenu katika Yesu Kristo kupitia injili.
16 Naasihi munigeye nenga.
Hivyo ninawasihi mniige mimi.
17 Ayee nga sababu nimtumile kwinu Timotheo, mpendwa wango ni mwana mwaminifu mu'Ngwana. Alowa kuakombokya ndela yango mu'Kristo, kati yaniapundisha kila mahali na kila likanisa.
Hiyo ndiyo sababu nilimtuma kwenu Timotheo, mpendwa wangu na mtoto mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusheni njia zangu katika Kristo, kama ninavyofundisha kila mahali na kila kanisa.
18 Nambeambe baadhi yinu kabajisifu, batenda kati nalowa isa kwaa kwinu.
Sasa baadhi yenu wanajisifu, wakitenda kana kwamba sitakuja kwenu.
19 Lakini nendaisa kwinu kitambo, kati Ngwana atipenda. Nga nalowa kuitanga maneno yabe kwaa balo bajisifu, lakini nalowa kuibona ngupu yabe.
Lakini nitakuja kwenu kitambo, kama Bwana akipenda. Ndipo nitajua si maneno yao tu wanaojisifu, lakini nitaona nguvu zao.
20 Kwa kuwa upwalume wa Nnongo ubile kwaa mu'maneno ila katika ngupu.
Kwa kuwa ufalme wa Mungu hauwi katika maneno bali katika nguvu.
21 mupala namani? Niise kwinu ni fimbo au kwa upendo ni katika roho ya upole?
Mnataka nini? Nije kwenu na fimbo au kwa upendo na katika roho ya upole?

< 1 Akoritho 4 >