< Luke 18 >

1 Ek din Jisu pora chela khan ke dristanto pora hikaise kineka taikhan prathana kori thakibo lage aru kitia bhi mon chutu nokorile lage.
Kisha akawaambia mfano wa namna wanavyopaswa kuomba daima, na wasikate tamaa.
2 Aru koise, “Ekta sheher te ekjon niyom chola manu thakise aru tai Isor ke bhoi nakore aru manu khan ke bhi hisab nakore.
akaisema, 'Kulikuwa na hakimu katika mji fulani, ambaye hakuwa anamwogopa Mungu na hakuwaheshimu watu.
3 Aru etu sheher te ekta bidhowa mahila thakise, aru tai, etu manu usorte hodai ahi thake, aru koi, ‘Moi laga dushman khan logot pora moike niyai dibi.’
Kulikuwa na mjane katika jiji hilo, naye alimwendea mara nyingi, akisema, 'Nisaidie kupata haki dhidi ya mpinzani wangu.'
4 Bisi din pora tai etu mahila laga kaam kori dibo mon thaka nai, kintu etu mahila bisi kowa nimite tai nijorke koise, ‘Moi Isor ke bhoi nakore aru manu ke hisab nakore,
Kwa muda mrefu hakuwa tayari kumsaidia, lakini baada ya muda akasema moyoni mwake, `Ingawa mimi simwogopi Mungu au kuheshimu mtu,
5 kintu etu mahila moike hodai digdar diya nimite, moi tai nimite niyai kori dibo, eneka kori dile tai aru hodai ahi kene moike digdar nokorile.’”
lakini kwa vile huyu mjane ananisumbua nitamsaidia kupata haki yake, ili asije akanichosha kwa kunijia mara kwa mara. ''
6 Titia Probhu pora aru koise, “Huni bhi etu thik nathaka ukil pora ki koise.
Kisha Bwana akasema, 'Sikiliza alivyosema huyo hakimu dhalimu.
7 Etiya Isor junke bachai loise taike sajai nadibo naki? Jun tai usorte din aru rati kandi thake? Taikhan laga kotha hunibo nimite deri rukhi thakibo naki?
Je Mungu pia hataleta haki kwa wateule wake ambao wanamlilia mchana na usiku? Je, yeye hatakuwa mvumilivu kwao?
8 Moi tumikhan ke koi ase, tai joldi pora niyai to ani dibo. Jitia Manu laga Putro ahibo, Tai etu duniya te biswas pabo na napabo?”
Nawaambia kwamba ataleta haki kwao upesi. Lakini wakati Mwana wa Adamu atakapokuja, je, atakuta imani duniani? '
9 Aru Tai etu dristanto bhi koise jun taikhan nijorke dharmik manu ase koi thake aru dusra ke ghin kori thake,
Ndipo akawaambia mfano huu kwa baadhi ya watu ambao wanajiona wenyewe kuwa wenye haki na kuwadharau watu wengine,
10 “Duijon manu prathana kori bole nimite jaise- ekjon Pharisee, aru ekjon poisa utha manu.
'Watu wawili walipanda kwenda hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo mwingine mtoza ushuru.
11 Aru Pharisee to tai alag phale khara kori kene tai nijor logote eneka prathana kori thakise, ‘Isor, moi Apnike dhanyavad di ase moi dusra manu khan nisena nohoi- chor, biya manu, paap kaam kori kene thaka manu aru poisa utha manu khan nisena bhi nohoi.
Farisayo akasimama akaomba mambo haya juu yake mwenyewe, 'Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine ambao ni wanyang'anyi, watu wasio waadilifu, wazinzi, au kama huyu mtoza ushuru.
12 Moi hapta te duibar upwas loi. Moi ki pai etu laga dos bhag bhi diye.’
Nafunga mara mbili kila wiki. Natoa zaka katika mapato yote ninayopata. '
13 Kintu poisa utha manu, durte khara kori kene, tai nijor matha bhi sorgo phale sa nai, kintu tai laga chati to marikena prathana korise, ‘Isor, moi uporte daya koribi, moi paapi manu.’
Lakini yule mtoza ushuru, alisimama mbali, bila hakuweza hata kuinua macho yake mbinguni, akagonga kifua chake akisema, 'Mungu, nirehemu mimi mwenye dhambi.'
14 Moi tumikhan ke koi ase, etu Pharisee, jun poisa utha manu thakise, tai Isor usorte mohima paikena nijor ghor te jaise. Kelemane jun manu tai nijorke untcha uthabole bisare tai chutu hoi jabo, kintu jun manu nijorke chutu kore taike uthai dibo.”
Nawaambia, mtu huyu alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki kuliko yule mwingine, kwa sababu kila ajikwezaye atashushwa, lakini kila mtu anayejinyenyekeza atainuliwa. '
15 Ek din kunba manu khan Jisu usorte bacha khan ke loi kene anise, Jisu laga hath taikhan uporte dikene asirbad dibole nimite. Kintu jitia chela khan pora etu dikhise, taikhan ke ahibo diya nai.
Watu walimletea watoto wao wachanga, ili aweze kuwagusa, lakini wanafunzi wake walipoona hayo, wakawazuia.
16 Kintu Jisu taikhan ke matise aru koise, “Chutu bacha khan ke Moi usorte ahibo dibi, aru taikhan ke narukhabi. Kelemane Isor laga rajyo to taikhan nisena nimite ase.
Lakini Yesu akawaita kwake akisema, 'Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie. Maana ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao.
17 Moi hosa pora tumikhan ke koi ase, jun pora ekta bacha nisena hoi kene Isor rajyo ke swekar nakore, tai ji hoilebi ta te gusibo na paribo.”
Amin, nawaambia, mtu yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto ni dhahiri hatauingia. '
18 Aru ekjon Yehudi cholawta manu Taike hudise, “Bhal hikhok, moi anonto jibon pabo nimite ki koribo lage?” (aiōnios g166)
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios g166)
19 Titia Jisu taike jowab dise, “Moike kele bhal koi ase? Kun bhi bhal nai, khali Isor he bhal ase.
Yesu akamwambia, 'Kwa nini unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema, ila Mungu peke yake.
20 Isor laga niyom tumikhan jane bebichar nokorile, manu ke nomorabi, chor nokoribi, manu laga misa kotha nokobi, baba, ama ke morom koribi.”
Unazijua amri- usizini, usiue, Usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.
21 Kintu cholawta manu he koise, “Moi jawan pora etu sob manikena ahise.”
Yule mtawala akasema, 'Mambo haya yote nimeyashika tangu nilipokuwa kijana.'
22 Jitia Jisu tai kowa kotha hunise, Tai koise, “Ekta kotha etiya bhi tumi mana nai: Tumi laga ki ase etu sob bikiri kori dibi aru gorib khan ke bhag kori dibi, titia tumi laga dhun sompoti sorgote thakibo- aru Moi laga pichete ahibi.”
Yesu alipoyasikia hayo akamwambia, '“Umepungukiwa jambo moja. Lazima uuze vyote ulivyonavyo na uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni -kisha njoo, unifuate. '
23 Jitia cholawta manu Jisu laga kotha hunise, tai bisi mon dukh paise kele koile tai bisi dhuni manu thakise.
Lakini tajiri aliposikia hayo, alihuzunika sana, kwa sababu alikuwa tajiri sana.
24 Titia Jisu taike saikene koise, “Dhuni manu sorgote jabole kiman digdar ase!
Kisha Yesu, akamwona alivyohuzunika sana akasema, 'Jinsi gani itakavyokuwa vigumu kwa matajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu!
25 Biji laga chenda pora ekta uth jabole asan ase, hoilebi dhuni manu Isor laga rajyote jabole nimite asani nohoi.
Maana ni rahisi sana kwa ngamia kupita katika tundu la sindano, kuliko kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu. '
26 Jun etu kotha hunise taikhan koise, “Tinehoile kun he poritran pabo?”
Wale waliosikia hayo, wakasema, 'Nani basi, atakayeweza kuokolewa?'
27 Kintu Jisu koise, “Juntu kaam manu napare, Isor he pare.”
Yesu akajibu, 'Mambo yasiyowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu yanawezekana.”
28 Titia Peter he koise, “Sabi amikhan sob chari kene Apuni laga piche ahise.”
Petro akasema, 'Naam, sisi tumeacha kila kitu na tumekufuata wewe. '
29 Titia Jisu taikhan ke koise, “Hosa pora Moi tumikhan ke koi ase jun manu tai laga ghor, maiki, bhai, ama, baba, bacha ke Isor laga rajyo nimite charise,
Kisha Yesu akawaambia, Amin, nawaambia kwamba hakuna mtu aliyeacha nyumba, au mke, au ndugu, au wazazi au watoto, kwa ajili ya Ufalme wa Mungu,
30 etu duniya te aru bisi napabo- aru ahibole duniya te, anonto jibon pabo.” (aiōn g165, aiōnios g166)
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn g165, aiōnios g166)
31 Titia Tai baroh jonke alag kori kene koise, “Sabi, amikhan Jerusalem te jabo, aru bhabobadi khan pora Manu laga Putro nimite Isor kotha ki likhise, etu sob purah hobole ase.
Baada ya kuwakusanya wale kumi na wawibili, akawaambia, 'Tazama, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote ambayo yameandikwa na manabii kuhusu Mwana wa Adamu yatakamilishwa.
32 Karone Taike Porjati khan hathte di dibo, aru Taike bodnam koribo, aru bisi sorom khila bo, aru Tai uporte thuk phelabo.
Kwa maana atatiwa mikononi mwa watu wa Mataifa na atatendewa dhihaka na jeuri, na kutemewa mate.
33 Aru Taike chabuk pora maribo, aru morai dibo, aru tisra dinte, Tai aru bhi jee uthijabo.”
Baada ya kumchapa viboko watamwua na siku ya tatu atafufuka. '
34 Kintu chela khan etu kotha bujhi panai, aru etu kotha taikhan pora lukai rakhise, aru ki kotha koise etu bujhi bo para nai.
Hawakuelewa mambo haya, na neno hili lilikuwa limefichwa kwao, na hawakuelewa mambo yaliyosemwa.
35 Etiya eneka hoise, jitia Jisu Jericho sheher te ahise, ekjon andha manu rasta kinar te bohi kene bhik mangi thakise.
Ikawa Yesu ulipokaribia Yeriko, mtu mmoja kipofu alikuwa ameketi kando ya barabara akiomba msaada,
36 Tai manu khan hala kori kene jai thaka to hunise, tai hudise etu ki hoi ase.
aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza nini kinatokea.
37 Taikhan andha manu ke koise, “Nazareth laga Jisu etu rasta pora jai ase.”
Wakamwambia kwamba Yesu wa Nazareti anapita.
38 Titia tai kandikena jor pora koise, “Jisu, David laga Putro, moi uporte morom koribi.”
Hivyo yule kipofu akalia kwa sauti, akisema, 'Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu.'
39 Jun manu Jisu age te jai thakise khong pora taike chup thaki bole koise. Kintu tai bisi hala kori thakise, “David laga Putro, moi uporte morom koribi.”
wale waliokuwa wakitembea walimkemea huyo kipofu, wakamwambia anyamaze. Lakini yeye akazidi kulia kwa sauti, 'Mwana wa Daudi, unirehemu.
40 Titia Jisu khara kori kene etu manu ke usorte anibole koise. Aru jitia tai usorte ahise, Jisu taike hudise,
Yesu akasimama akaamuru mtu yule aletwe kwake. Kisha yule kipofu alipomkaribia, Yesu akamwuliza,
41 “Moi tumi nimite ki kori bole tumi itcha ase?” Tai koise, “Probhu, moi suku pora sabole itcha ase.”
'Unataka nikufanyie nini?' Akasema, 'Bwana, nataka kuona.'
42 Titia Jisu he taike koise, “Tumi laga suku khuli bhi. Tumi laga biswas pora tumi bhal hoise.”
Yesu akamwambia, 'Upate kuona. Imani yako imekuponya. '
43 Etu homoi te tai sabo parise aru Jisu pichete jaise, Isor ke mohima dikene, sob manu khan jitia etu dikhise, taikhan Isor ke stuti dise.
Mara hiyo akapata kuona, akamfuata Yesu akimtukuza Mungu. Walipoona hili, watu wote wakamsifu Mungu.

< Luke 18 >