< Luke 7 >

1 Jitia Jisu sob kotha to koi dise aru manu khan ke hunai dise, Tai Capernaum town te jaise.
Baada ya Yesu kumaliza kila kitu alichokuwa anasema kwa watu waliomsikiliza, akaingia Kapernaumu.
2 Aru Rome laga ekjon henapoti laga noukar, junke tai bisi morom kore, tai bemar pora mori bole hoi thakise.
Mtumwa fulani wa akida, aliyekuwa wa thamani sana kwake, alikuwa mgonjwa sana na alikuwa karibu ya kufa.
3 Aru jitia henapoti pora Jisu laga kotha hunise, tai Yehudi laga bura manu khan ke Jisu logote pathaise, Jisu pora jai kene tai laga noukar ke changai kori bole.
Lakini akiwa amesikia kuhusu Yesu, yule Akida alimtuma kiongozi wa kiyahudi, kumwomba aje kumwokoa mtumwa wake ili asife.
4 Aru jitia taikhan Jisu usorte ahise, taikhan Jisu ke eneka anurodh korise, “Tai ekjon bhal manu ase aru apuni eneka koridile bhal ase,
Walipofika karibu na Yesu, walimsihi kwa bidii na kusema, “anastahili kwamba unapaswa kufanya hivi kwa ajili yake,
5 kelemane tai moi khan laga desh ke morom kore, aru tai moi khan nimite synagogue bhi bonai dise.”
kwa sababu analipenda taifa letu, na ndiye aliyejenga sinagogi kwa ajili yetu”.
6 Etu pora Jisu taikhan logote jaise. Kintu Tai jitia ghor te punchibole usor hoise, etu henapoti pora manu ke pathaise, aru Taike koise, “Probhu, Apuni dukh nauthabi, kelemane Moi laga ghor bhitor te Apuni ahibole moi layak nohoi.
Yesu akaendelea na safari yake pamoja nao. lakini kabla hajaenda mbali na nyumba, afisa mmoja aliwatuma marafiki zake kuzungumza naye. “Bwana, usijichoshe mwenyewe kwa sababu mimi sistahili wewe kuingia kwenye dari yangu.
7 Etu nimite moi nijor bhi Apuni laga usorte ahibole layak nohoi, kintu Apuni ekta kotha koi dibi aru moi laga noukar changai pai jabo.
Kwa sababu hii sikufikiria hata mimi mwenyewe kuwa ninafaa kuja kwako, lakini sema neno tu na mtumishi wangu atapona.
8 Moi nijor bhi ekta hukum chola manu ase, moi nichete sipahi khan ase. Moi ekjon ke kobo ‘Jabi’ aru tai jai; aru dusra ke kobo, ‘Ahibi’ aru tai ahe; aru moi laga noukar ke, ‘etu koribi,’ aru tai kore.”
Kwani mimi pia ni mtu niliyewekwa kwenye mamlaka na nina askari chini yangu. Husema kwa huyu “Nenda” na huenda, na kwa mwingine, “Njoo” naye huja, na kwa mtumishi wangu 'Fanya hiki', na yeye hufanya”.
9 Aru jitia Jisu etu kotha hunise, Tai bisi asurit hoise aru jun manu khan tai laga piche kori thakise, taikhan ke saikene koise, “Moi tumikhan ke koi ase, Israel te Moi eneka biswas thaka manu dikha nai.”
Yesu aliposikia haya alishangaa, na kuwageukia makutano waliokuwa wanamfuata na kusema.”Nawaambia, hata katika Israeli, sijawahi kuona mtu mwenye imani kuu kama huyu.
10 Aru jitia etu manu khan ke ghor te pathai dise, taikhan noukar to bhal hoi kene thaka dikhise.
Kisha wale waliokuwa wametumwa walirudi nyumbani na kumkuta mtumishi akiwa mzima.
11 Aru dusra dinte eneka hoise jitia Jisu Nain sheher te jaise, aru Tai laga chela aru dangor manu laga bhir bhi tai logote jai thakise.
fulani baada ya haya, ilitokea kuwa Yesu alikuwa anasafiri kwenda mji ulioitwa Naini. wanafunzi wake wakaenda pamoja naye wakiambana na umati wa watu.
12 Aru jitia tai sheher laga dorjate ponchise, ekjon mora manu ke uthai loijai thaka Tai dikhise. Mora manu to tai laga bidhowa ama laga ekjon he thaka bacha asele-, aru sheher laga manu khan tai logote thakise.
Alipofika karibu na Lango la jiji tazama, mtu aliyekufa alikuwa amebebwa, na ni mtoto wa pekee kwa mama yake. aliyekuwa mjane, na umati wa wawakilishi kutoka kwenye jiji walikuwa pamoja naye.
13 Jitia Probhu taike dikhise, Tai etu ama ke bisi morom lagise aru taike koise, “Nakandibi.”
Alipomwona, Bwana akamsogelea kwa huruma kubwa sana juu yake na akamwambia, “Usilie”.
14 Titia Jisu uthikena mora manu bukhi thaka chatai te chuise, aru mora manu ke bukhi thaka khan bhi ta te sidha khara hoi jaise. Titia Jisu koise, “Jawan manu, Moi tumike koi ase, uthi bhi.”
Kisha akasogea mbele akaligusa jeneza ambalo walibebea mwili, na wale waliobeba wakasimama akasema “Kijana nasema amka”
15 Aru titia mora manu to bohi kene kotha kobole shuru hoise, aru Jisu pora etu chokra ke tai laga ama logot di dise.
Mfu akainuka na kukaa chini na akaanza kuongea. Kisha Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
16 Aru etu dikhikene sob manu bhoi lagi jaise, aru Isor ke dhanyavad dibole shuru hoise, aru koise, “Ekjon dangor bhabobadi moi khan majote ahise” aru “Isor he manu uporte morom korise.”
Kisha hofu ikawajaa wote. wakaendelea kumtukuza Mungu wakisema “Nabii mkuu ameinuliwa miongoni mwetu” na “Mungu amewaangalia watu wake”
17 Aru Jisu laga etu khobor to Judea desh aru usorte thaka bosti, nogor sob te bhi khobor to punchise.
Hizi habari njema za Yesu zilienea Yudea yote na kwa mikoa yote ya jirani.
18 Aru John laga chela khan etu sob khobor to jai kene John ke koise. Titia John pora tai laga diuta chela khan ke matise,
Wanafunzi wa Yohana walimwamwambia mambo haya yote.
19 aru taikhan ke Probhu ke hudibole pathaise, “Ahibole thaka Masiha to apuni ase naki, na amikhan to aru dusra ekjon ke rukhibo?”
Ndipo Yohana akawaita wawili wa wanafunzi wake na kuwatuma kwa Bwana kusema “Wewe ndiye yule ajaye, au kuna mtu mwingine tumtazamie?
20 Aru jitia taikhan Jisu usorte ahise, manu khan koise, “Baptizma Diya John pora amikhan ke etu hudibole nimite pathaise, ‘Ahibole thaka Masiha to apuni ase naki, na amikhan to aru dusra ekjon ke rukhibo?’”
Walipofika karibu na Yesu hawa wakasema, “Yohana mbatizaji ametutuma kwako kusema, 'Wewe ni yule ajaye au kuna mtu mwingine tumtazamie?”
21 Etu homoi te Tai bisi manu ke bemar pora changai korise, biya atma pora dhora manu aru suku andha manu khan ke bhi changai korise.
kwa wakati huo aliowaponya watu wengi kutoka katika magonjwa na mateso, kutoka kwa roho wachafu, na kwa watu wenye upofu aliwapa kuona.
22 Titia Jisu pora taikhan ke koise, “Tumikhan yate pora ja pichete, John ke jai kene tumikhan ki dikhise aru hunise etu kobi. Andha manu khan dikhi pai ase, lengra khan bera bole pari ase, korhi bemar thaka khan sapha hoi ase aru kaan benga khan huni ase, mora manu jinda hoi ase, aru gorib manu khan susamachar laga kotha huni bole pai ase.
Yesu akajibu na kusema kwao. “Baada ya kuwa mmekwenda mlikotoka mtamjulisha Yohana mlichokiona na kukisikia. Wenye upofu wanapokea kuona na viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na kuwa hai tena, masikini wanaambiwa habari njema.
23 Dhonyo ase jun manu moi uporte biya napai.”
Na mtu ambaye hataacha kuniamini mimi kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa”.
24 Aru jitia John laga khobor bukha manu khan jai jaise, Jisu pora manu khan ke John laga kotha kobole shuru hoise, “Tumikhan balu jagate ki sabole jaise? Ekta hawa pora hilai diya jongol ghas to?
Baada ya wale waliotumwa na Yohana kurudi walikotoka, Yesu akaanza kusema kwa makutano juu ya Yohana, “Mlikwenda nje kuona nini, mwanzi ukiwa unatikiswa na upepo?
25 Kintu tumikhan bahar te ki sabole jaise? Ekjon manu norom aru daam kapra lagai kene thaka to? Sabi, jun manu daam kapra lagai ase, aru aram pora thaki ase taikhan sob raja laga ghorkhan te pabo.
lakini mlikwenda nje kuona nini, mtu aliyevaa vizuri? tazama watu wale wanaovaa mavazi ya kifalme na kuishi maisha ya starehe wako kwenye nafasi za wafalme.
26 Kintu tumikhan bahar te ki sabole nimite jaise? Ekjon bhabobadi? Hoi, moi tumikhan ke koise, tai to bhabobadi pora bhi dangor ase.
lakini mnakwenda nje kuona nini, Nabii? Ndiyo, ninasema kwenu na zaidi sana kuliko nabii.
27 Etu tai ase jun nimite etu Shastro te likha ase, ‘Sabi, Moi ekjon manu ke pathai ase, tumi laga chehera usorte te, Jun he rasta to taiyar koribo.’
Huyu ndiye aliyeandikiwa, “Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, atakeyeandaa njia kwa ajili yangu,
28 Moi tumikhan ke koi ase, jun manu ama pora jonom loise, kun bhi John nisena dangor nai, kintu jun Isor laga rajyote sobse chutu ase, tai pora bhi dangor ase.”
Nasema kwenu, kati ya wale waliozaliwa na mwanamke, hakuna mkuu kama Yohana, lakini mtu asiye muhimu sana atakayeishi na Mungu mahali alipo yeye, atakuwa mkuu kuliko Yohana.”
29 Aru jiman manu etu kotha hunise, poisa utha manu khan, aru John logote baptizma luwa khan sob Isor pora dharmik ase koi dise.
Na watu wote waliposikia haya pamoja na watoza ushuru, walitangaza kuwa Mungu ni mwenye Haki. Walikuwepo kati yao wale waliobatizwa kwa ubatizo wa Yohana.
30 Kintu Pharisee khan aru niyom jana Yehudi khan Isor laga itcha namani kene baptizma luwa nai.
Lakini mafarisayo na wataalamu wa sheria za kiyahudi, ambao hawakubatizwa na yeye walikataa hekima za Mungu kwa ajili yao wenyewe.
31 “Tinehoile, Moi, etiya laga jamana khan ke ki logote tulona koribo, taikhan ki nisena ase?
Tena naweza kuwalinganisha na nini watu wa kizazi hiki? Wakoje hasai?
32 Taikhan bajar te thaka bacha khan nisena ase, bohi kene ekjon-ekjon ke mati kene koi, ‘Ami tumikhan usorte shadi laga basuri bojaise, tumikhan nach kora nai; moi khan mon dukh laga gana korise, hoilebi tumikhan kandia nai.’
Wanafanana na watoto wanaocheza kwenye eneo la soko, wanaokaa na kuitana mmoja baada wa mwingine wakisema, 'Tumepuliza filimbi kwa ajili yenu, na hamkucheza. tumeomboleza na hamkulia.'
33 Baptizma Diya John to ahikena bhaat aru angur ros bhi khanai, aru tumikhan koi ase, ‘Tai logote bhoot ase.’
Yohana mbatizaji alikuja hakula mkate wala hakunywa divai, na mkasema “Ana pepo.
34 Kintu Manu laga Putro ahikena kha luwa korise, aru tumikhan koi, ‘Sabi, taike, ekjon khakuwa aru nisa-pani kora, poisa utha khan aru dusra paapi manu laga sathi!’
Mwana wa Mtu amekuja amekula na kunywa na mkasema, “Angali ni mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!
35 Gyaan pora sob bhal aru biya to jani loi.”
Lakini hekima imetambulika kuwa ina haki kwa watoto wake wote.”
36 Ekjon Pharisee pora Jisu ke tai logote khabole matise. Tai Pharisee laga ghor te punchise, aru Tai khabole bohise.
Mmoja wa mafarisayo alimwomba Yesu aende kula pamoja naye. Baada ya Yesu kuingia kwenye nyumba ya farisayo, aliegemea kwenye meza ili ale.
37 Etiya sabi, etu sheher te ekjon paapi mahila thakise. Jitia tai Jisu to Pharisee laga ghor te khabole bohi thaka dikhise, tai bhal gundh thaka bisi daam laga tel anise,
Tazama kulikuwa na mwanamke mmoja katika jiji hilo aliyekuwa na dhambi. Akagundua kuwa alikuwa amekaa kwa Farisayo, akaleta chupa ya manukato.
38 aru khara hoi kene Jisu laga theng usorte kandi kene tai laga suku pani pora Jisu laga theng bhi jai dise aru chuli pora mussi kene tai laga theng ke chumai dise, aru bhal gundh tel lagai dise.
Alisimama nyuma yake karibu na miguu yake huku akilia. Tena alianza kulowanisha miguu yake kwa machozi, na kuifuta kwa nywele za kichwa chake, akiibusu miguu yake na kuipaka manukato.
39 Etu dikhikene, Jisu ke mata Pharisee tai nije ke koise, “Jodi etu manu hosa bhi bhabobadi ase koile, Tai janibo thakise etu jun taike choi ase, etu kineka mahila ase.”
Na yule farisayo aliyekuwa amemwalika Yesu alipoona hivyo, akawaza mwenyewe akisema, “Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua huyu ni nani na ni aina gani ya mwanamke anayemgusa, ya kuwa ni mwenye dhambi.
40 Aru Jisu taike koise, “Simon, Moi tumike kiba kobole itcha ase.” Aru tai koise, “Koi dibi, Probhu!”
Yesu akajibu na kumwambia, “Simoni nina kitu cha kukuambia. “Akasema” “Kiseme tu mwalimu!”
41 “Duita manu poisa dhar loise. Ekjon pansho denari aru dusra to pachas denari loi kene thakise.
Yesu akasema “Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja. Mmoja alikuwa anadaiwa dinari mia tano na wa pili alidaiwa dinari hamsini.
42 Aru jitia taikhan logote wapas dibole poisa thaka nai, malik pora duijon ke maph kori dise. Etu nimite kun manu pora taike bisi morom koribo?
Na walipokuwa hawana pesa ya kumlipa aliwasamehe wote. Sasa ni nani atampenda zaidi?
43 Simon koise, “Moi hisab te junke tai bisi dhar to maph korise.” Titia Tai taike koise, “Tumi thik bhabona korise.”
Simoni akamjibu na kusema, “Nadhani aliyesamehewa zaidi.”Yesu akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.”
44 Aru titia Jisu etu mahila phale saikene Simon ke koise, “Tumi etu mahila ke dikhi ase. Moi tumi laga ghor te ahise. Tumi Moike theng dhula bole pani bhi diya nai, kintu tai laga suku pani pora moi laga theng bhi jai dise, aru tai laga chuli pora mussi dise.
Yesu akamgeukia mwanamke na kusema kwa Simoni, “Unamwona huyu mwanamke. Nimeingia kwenye Nyumba yako. Hukunipa maji kwa ajili ya miguu yangu, lakini huyu, kwa machozi yake, alilowanisha miguu yangu na kuifuta kwa nywele zake.
45 Tumi Moike ekta chuma bhi diya nai, kintu Moi jitia pora yate ahise tai moi laga theng to chuma dibole chara nai.
Hukunibusu, lakini yeye, tangu alipoingia humu hakuacha kunibusu miguu yangu.
46 Tumi Moi laga matha te tel dhala nai, kintu tai Moi laga theng te bhal gundh thaka tel pora mussi se.
Hukuipaka miguu yangu kwa mafuta, lakini ameipaka miguu yangu kwa manukato.
47 Etu nimite Moi tumike koi ase, tai laga paap bisi thakise, etu sob maph kori dise- kelemane tai bisi morom korise, kintu jun manu olop he maph kore, tai olop he morom kore.”
Kwa jambo hili, nakwambia kwamba alikuwa na dhambi nyingi na amesamehewa zaidi, na pia alipenda zaidi. Lakini aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo tu.”
48 Titia Jisu pora mahila ke koise, “Tumi laga paap sob khyama koridi ase.”
Baadaye akamwambia mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa”
49 Jun manu khan ta te bohi thakise taikhan majote kobole shuru hoise, “Etu kun ase, jun paap bhi maph kori bole pare?”
Wale waliokaa mezani pamoja naye wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani mpaka anasamehe dhambi?”
50 Titia Jisu mahila ke koise, “Tumi laga biswas he tumike bachai loise. Shanti pora jabi.”
Na Yesu akamwambia mwanamke, “Imani yako imekuokoa. Enenda kwa amani”

< Luke 7 >