< Lukha 3 >

1 Lino umwakha gwa kumi na tano ugwa nkilunga kesari Tiberia, imisikhi Pontio Pilati ale gavana va va yuta, Uherode alimbaha va nkoa gwa Galilaya, nu Filipo ulukololwe ale imbaha va unkoa gwa Iturea na kwu Trakoniti, na Lisania ale mmbaha va nkoa gwa Abilene,
Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberio, Pontio Pilato akiwa mtawala wa Uyahudi, Herode akiwa mfalme wa Galilaya, Filipo ndugu yake akiwa mfalme wa Iturea na nchi ya Trakoniti, na Lisania akiwa mfalme wa Abilene,
2 nu nsikhi gwa kuhani umbaha u Anasi nu Kayafa, ilimenyu lya Nguluve likha mwichela u Yohana umwana va Sakhaliya, khulunalawe.
nao Anasi na Kayafa wakiwa makuhani wakuu, neno la Mungu likamjia Yohana, mwana wa Zekaria huko jangwani.
3 Agendile unkoa gwoni ukhuchungula Inyanja Yolidani, alikhulumbilila ulwocho lwa khupela ulusyiekhilo lwa mbivi
Akaenda katika nchi yote kandokando ya Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi.
4 Nduvu yisimbiwe amemenyu mwa myamalago u Isaya, “Elimenyu lya munu uviilela mundunyikha, “Mnochage Injila ya Nkuludeva, Mnochage umwigendela umwene yigolokhage.
Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mtu aliaye nyikani, ‘Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.
5 Amaguli goni gisyeliwa, ifyamba nu twamba finovhiwa, imisewe ugubendile gigolokha, ninjila imbivi chigolokha.
Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitashushwa. Njia zilizopinda zitanyooshwa, na zilizoparuza zitasawazishwa.
6 Avanu voni yavikhovovona uvupokhi vwa Nguluve.”
Nao watu wote watauona wokovu wa Mungu.’”
7 Pwo, Yohana akhavavula anyaulundamano uhivaha lwa vanu uvuvagendile lekhe vochiwe nu mwene, “Umwe mwi khipapo kya njokha muvele ni sumu veni uviavavolile ukhunjila uvuhigi uvuyakhave vukhwicha?
Yohana akauambia ule umati wa watu uliokuwa unakuja ili kubatizwa naye, “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
8 Holaga Isekhe khikongana nu lukhuto pwo mlekhe ukhuchova mgati nayomwe, “Tulinu Ibrakimu vi dada veto; ulwakuva ni khuvavula ukhuta Unguluve, iwesya ukhuhalila u Ibrahimu avana ndagave mawe aga.
Basi zaeni matunda yastahiliyo toba. Wala msianze kusema mioyoni mwenu kuwa, ‘Sisi tunaye Abrahamu, baba yetu.’ Kwa maana nawaambia kuwa Mungu anaweza kumwinulia Abrahamu watoto kutoka mawe haya.
9 Lino isokha yivikhivwe pa malela ga mmbikhi pwu lino umbikhi gwu gwoni ugusagwihola isekhe inonu, gugidiwa nu khutaga mmwoto.
Hata sasa shoka limeshawekwa tayari kwenye shina la kila mti. Basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.”
10 Pwu avanu palulundamano vakha mbucha vakhata,” Pwu yinogwa tugahendakhikhi?”
Ule umati wa watu ukamuuliza, “Inatupasa tufanyeje basi?”
11 Akhavanda akhata, “Umunu unyalini khanzu ivili ahumye yimo ampe uyunge uvialivuvule ficho ingave alini khyalya agahe evwo.”
Yohana akawaambia, “Aliye na kanzu mbili amgawie asiye nayo, naye aliye na chakula na afanye vivyo hivyo.”
12 Pwu avange avasonga songa vakhicho khwukwochiwa, pwu vakhembula, “Immanyiai, Tunongivwa tugale ndakhekhi?
Watoza ushuru nao wakaja ili wabatizwe, wakamuuliza, “Bwana na sisi inatupasa tufanyeje?”
13 Akhavavula, “Mlekhe ukhutola indalana nyingi ficho icho sayinogiwa ukhutola.”
Akawaambia, “Msichukue zaidi ya kiwango mlichopangiwa.”
14 Avange avasikhali navope vakha mbucha, “Na yufwe? Tulondiwa tugahe ndakhe khi?” Akhavavula mlekhe ukhutola khumunu uvi avechaga khumakha khange mlekhe ukisile khumunu uvi avechaga kuvudesi, mkelage ni misahala gyimyo.”
Askari nao wakamuuliza, “Je, nasi inatupasa tufanye nini?” Akawaambia, “Msimdhulumu mtu wala msimshtaki mtu kwa uongo, bali mridhike na mishahara yenu.”
15 Pwu lino ulwakhuva avanu vukhale nuvunogwqe vwa khugula u Kristi uviye khave ikwicha, khila akhava isaga munumbula ya mwene ukhuta u Yohana pange iva vi Kristi.
Watu walikuwa na matazamio makubwa. Wakawa wanajiuliza mioyoni mwao iwapo Yohana angeweza kuwa ndiye Kristo.
16 UYohana akhanda akhavavula voni, “Une nikhuvocha umwe na magasi, pwu kwali umpamato ayikwicha uvi alinamakha khulina, khage saninogile ukhuvupola imilegeha gya fikato fya mwene ikwu vocha umwe nu mepo umbalache nu mwoto.
Yohana akawajibu akawaambia, “Mimi nawabatiza kwa maji. Lakini atakuja aliye na nguvu kuniliko mimi, ambaye sistahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Yeye atawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
17 Uluhelo lwa mwene lulimmavokho ga mwene ukhonocho vunonu uwanda vwa mwene nu ukhupetela mgano nu khulundamania nkibana kya mwene. Pwu, ayinyunyania amapunji nu mwoto ugwu sagichima.
Pepeto lake liko mkononi, tayari kusafisha sakafu yake ya kupuria na kuikusanya ngano ghalani, lakini makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.”
18 Kumavungu agange mingi khange, alikhulumbilila inongwa inonu kwa Yesu.
Basi, kwa maonyo mengine mengi Yohana aliwasihi na kuwahubiria watu Habari Njema.
19 UYohana akhadukha khange khwa Herode umbaha va nkoa pa khutola u Herodia, ichinge nyingi icho Herode alikhuvomba.
Lakini Yohana alipomkemea Mfalme Herode kuhusu uhusiano wake na Herodia, mke wa ndugu yake, na maovu mengine aliyokuwa amefanya,
20 Pwu khuvulongolo u Herode akhavomba uvuvivi uvunge uvuvala ficho akhandindila uYohani mligelesya.
Herode aliongezea jambo hili kwa hayo mengine yote: alimfunga Yohana gerezani.
21 Pwu yikhahumila ukhuta, unsikhu avanu voni upwu valikhwochiwa nu Yohana, na yu Yisu alikhwochiwa. Unsikhi upwa likhwisaya, khukhanya khukhadi ndukha.
Baada ya watu wote kubatizwa, Yesu naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka.
22 Umepo Umbalache akhikha pakhanya pa mwene ikhwoni kya khivili vili kifane njiva, unsikhi gugugwa ilimenyu likhicha ukhuhuma khukhaya iyitu, “Uve mwana vango ugane, ndiganile ficho na yue.”
Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”
23 Pwu u Yisu yuywa avile tenguluve ukhumanyisya akhale ni miakha salasini. Ale mwana (nauvu yivalile) uva Yusufu, mwana va Eli,
Yesu alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Eli,
24 mwana va Mathati, mwana va Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu,
Eli alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi, Lawi alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Yanai, Yanai alikuwa mwana wa Yosefu,
25 Mwana va Mtathia, mwana va Amosi, mwana va Nahumu, mwana va Eli, mwana va Nagai,
Yosefu alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Amosi, Amosi alikuwa mwana wa Nahumu, Nahumu alikuwa mwana wa Esli, Esli alikuwa mwana wa Nagai,
26 mwana va Maati, mwana va Matathia, mwana va Semeini, mwana va Yusufu, mwana va Yuda,
Nagai alikuwa mwana wa Maathi, Maathi alikuwa mwana wa Matathia, Matathia alikuwa mwana wa Semeini, Semeini alikuwa mwana wa Yoseki, Yoseki alikuwa mwana wa Yoda,
27 Mwana va Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zeerubabeli, mwana va Shealtieli, mwana va Neri,
Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,
28 mwana va Melki, mwana va Adi, mwana va Kosamu, mwana va Elmadamu, mwana va Eri,
Neri alikuwa mwana wa Melki, Melki alikuwa mwana wa Adi, Adi alikuwa mwana wa Kosamu, Kosamu alikuwa mwana wa Elmadamu, Elmadamu alikuwa mwana wa Eri,
29 mwana va Yoshua, mwana va Eliezeri, mwana va Yorimu, mwana va Matathi, mwana va Lawi,
Eri alikuwa mwana wa Yoshua, Yoshua alikuwa mwana wa Eliezeri, Eliezeri alikuwa mwana wa Yorimu, Yorimu alikuwa mwana wa Mathati, Mathati alikuwa mwana wa Lawi,
30 mwana va Simeoni, mwana va Yuda, mwana va Yusufu, mwana va Yonamu, mwana va Eliyakimu,
Lawi alikuwa mwana wa Simeoni, Simeoni alikuwa mwana wa Yuda, Yuda alikuwa mwana wa Yosefu, Yosefu alikuwa mwana wa Yonamu, Yonamu alikuwa mwana wa Eliakimu, Eliakimu alikuwa mwana wa Melea,
31 mwana va Melea, mwana va Mena, mwana va Matatha, mwana va Nathani, mwana va Daudi,
Melea alikuwa mwana wa Mena, Mena alikuwa mwana wa Matatha, Matatha alikuwa mwana wa Nathani, Nathani alikuwa mwana wa Daudi,
32 mwana va Yese, mwana va Obedi, mwana va Boazi, mwana va Salmoni, mwana va Nashoni,
Daudi alikuwa mwana wa Yese, Yese alikuwa mwana wa Obedi, Obedi alikuwa mwana wa Boazi, Boazi alikuwa mwana wa Salmoni, Salmoni alikuwa mwana wa Nashoni,
33 mwana va Abinadabu, mwana va Aramu, mwana va Hesroni, mwana va Peresi, mwana va Yuda,
Nashoni alikuwa mwana wa Aminadabu, Aminadabu alikuwa mwana wa Aramu, Aramu alikuwa mwana wa Hesroni, Hesroni alikuwa mwana wa Peresi, Peresi alikuwa mwana wa Yuda,
34 mwana va Yakobo, mwana va Isaka, mwana va Ibrahiumu, mwana va Tera, mwana va Nahori,
Yuda alikuwa mwana wa Yakobo, Yakobo alikuwa mwana wa Isaki, Isaki alikuwa mwana wa Abrahamu, Abrahamu alikuwa mwana wa Tera, Tera alikuwa mwana wa Nahori,
35 mwana va Seruig, mwana va Ragau, mwana va Pelegi, mwana va Eberi, mwana va Sala,
Nahori alikuwa mwana wa Serugi, Serugi alikuwa mwana wa Reu, Reu alikuwa mwana wa Pelegi, Pelegi alikuwa mwana wa Eberi, Eberi alikuwa mwana wa Sala,
36 Mwana va Kenani, mwana va Arfaksadi, mwana va Shemu, mwana va Nuhu, mwana va Lameki,
Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki,
37 mwana va Methusela, mwana va Henoko, mwana va Yaredi, mwana va Mahalaleli, mwana wa Kenani,
Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,
38 mwana wa Enoshi, mwana va Sethi, mwana va Adamu, mwana va Nguluve.
Kenani alikuwa mwana wa Enoshi, Enoshi alikuwa mwana wa Sethi, Sethi alikuwa mwana wa Adamu, Adamu alikuwa mwana wa Mungu.

< Lukha 3 >