< Malekha 15 >

1 Vakhalava vukilo avavahava vate khenchii vakhaganila pu paninie na vagogolo na vasimbi neli balasa lionieya vagogolo vakhang'udula u Yesu vakha ng'ulikha khwa Pilati. UPilati akhambuncha uve veve khuludeva (Ntwa) vava Yahudi?”
Asubuhi na mapema, viongozi wa makuhani, pamoja na wazee, walimu wa sheria na Baraza lote, wakafikia uamuzi. Wakamfunga Yesu, wakamchukua na kumkabidhi kwa Pilato.
2 “Akhata akhanchova, “Uveveve unchovile lulo.”
Pilato akamuuliza, “Je, wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe umesema.”
3 Avavaha va vate khenchii vakhanchova inongwa nchuu nyingi khwa Yesu.
Viongozi wa makuhani wakamshtaki kwa mambo mengi.
4 Upilati akhambuncha kha, “Vilii savunchova? khenu sawilona vuvikhukhu sitaka ni nongwa nchuunyingi?
Pilato akamuuliza tena, “Je, huna la kujibu? Tazama ni mashtaka mangapi wanayaleta juu yako.”
5 UYesu sakhanchova pu uPilati akhanswiga.
Lakini Yesu hakujibu lolote, hivyo Pilato akashangaa.
6 Ee khawaida pa luhekhelo vavikhudeinchulila ukugwa yumo, ukugwa uviadovile.
Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.
7 Pu valipo avavivi mulumandena vabudi avavale mugati mukhutumikhela inongwa ncha vene. Pu alipo umunu yumo viibaraba badala ya mwene.
Wakati huo, mtu aliyeitwa Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na waasi wengine waliokuwa wametekeleza uuaji wakati wa maasi.
8 Uvumati wa vanu vukheinchakhwa Pilati, nukhudova avombe nduvu avombile khusana.
Ule umati wa watu ukamjia Pilato na kumwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi yake.
9 UPilati akhajibu khavile, “Nukhuta mwinogwe neidindulile neifumgulile Untwa vava Yahudi?”
Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie huyu Mfalme wa Wayahudi?”
10 Pakhuva alumanyile ukhuta lioyo lya vatekhenchii avavaha vakha mwibata u Yesu nukhugega khuumwene.
Kwa maana yeye alitambua kuwa viongozi wa makuhani walikuwa wamemtia Yesu mikononi mwake kwa ajili ya wivu.
11 Pu avava vavatekhenchelii vakhanchoochela khuvanu ukhu yuleega khuu savuti eimbaha adinduliwe u Baraba umwene asigale.
Lakini viongozi wa makuhani wakauchochea ule umati wa watu wamwombe awafungulie Baraba badala yake.
12 U Pilati akhajibu khavili akhata, “Neivombe kheikhii khu Ntwa vavayahudi?
Pilato akawauliza tena, “Basi mnataka nifanye nini na huyu mtu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”
13 Vakha yuleege, “Asulusiwe!”
Wakapiga kelele wakisema, “Msulubishe!”
14 U Pilati akhata, “Avombile mbombo nyikhei imbivii?” Pu vakhendelela ukhu yulega sana “Asulusiwe (abuduwe).”
Pilato akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakapiga kelele kwa nguvu zaidi, wakisema, “Msulubishe!”
15 U Pilati vuunogwa ukhuvali sesya uvumati, wa vanu akha olindulela u Baraba. Akhantova u Yesu nei michapi akhangu mya abuchiwe (Asuhubule).
Pilato, akitaka kuuridhisha ule umati wa watu, akawafungulia Baraba. Naye baada ya kuamuru Yesu achapwe mijeledi, akamtoa ili asulubishwe.
16 Usikhali akhandongoncha mugati mulivuva (lila lila eilya mukambi) vaei vunganinche pu paninie ava sikhali.
Askari wakampeleka Yesu hadi kwenye ukumbi wa ndani wa jumba la kifalme, ndio Praitorio, wakakusanya kikosi kizima cha askari.
17 Vakha fyalincha u Yesu eimienda gwa sambalawe, va khahona eikheili kya vuntwa vakha fyalincha.
Wakamvalisha Yesu joho la zambarau, wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani.
18 Vakhatengula ukhubedamwa nukhuta, “Ugonile vintwa vava yahudi!”
Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”
19 Vakhantova khuntwe nelilanji nukhubehela amati. Vakhafungama khuvulongolo ukhudwada.
Wakampiga kwa fimbo ya mwanzi tena na tena kichwani na kumtemea mate. Wakapiga magoti mbele yake, wakamsujudia kwa kumdhihaki.
20 Vuvamalile ukhubedanwa vakhafula ei kanjo ya mwene, ei ya sambalawe nukhufyalincha emienda gwaa mwene, yakhang'uumya khunji nukhuluta khukhubuda.
Walipokwisha kumdhihaki, wakamvua lile joho la zambarau, wakamvika tena nguo zake. Kisha wakamtoa nje ili wakamsulubishe.
21 Vakhandasimisya ugenda njila ukhuntanga uvialutaga khuujini ahumile khukhialo uvialilangiwaga Simoni Mkirene (Ubabaye usikanda rufo); vakhandasimisya ukhugega eikhi damilihani kya Yesu.
Mtu mmoja kutoka Kirene, jina lake Simoni, baba yao Aleksanda na Rufo, alikuwa anapita zake kuingia mjini kutoka shamba, nao wakamlazimisha kuubeba ule msalaba.
22 Avasikhali vakha gega u Yesu aponu apapi khuei langiwa Goligota (eimana ya yene eikhee nchege kya ntwe).
Kisha wakampeleka Yesu mpaka mahali palipoitwa Golgotha (maana yake ni Mahali pa Fuvu la Kichwa).
23 Vakhampa eimunu eimikali eigee vahanjinuee ne manemane, akha bela ukhunywa.
Nao wakampa divai iliyochanganywa na manemane, lakini hakuinywa.
24 Vakhantovelela vakhagavana emienda gwa mwene, vakhatova nee kula veni usikhali umbaha akhave.
Basi wakamsulubisha, nazo nguo zake wakagawana miongoni mwao kwa kuzipigia kura ili kuamua ni gani kila mtu ataichukua.
25 Yale ndei sau idatu vukhilo upuvatovelelaga.
Ilikuwa yapata saa tatu asubuhi walipomsulubisha.
26 Vikha vikha khuntule eikhei bavo eikhe vasimbile inongwa umbaha (untwa vava yahudi).”
Tangazo likaandikwa la mashtaka dhidi yake lenye maneno haya: “Mfalme wa Wayahudi.”
27 Vanto velile paninie navaliasi vavile, uyunge eikhivokho kyandwo uyunge eikhei vokho kya hegei.
Pamoja naye walisulubiwa wanyangʼanyi wawili, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wa kushoto. [
28 Pu elimenyu likhatimila ulyu lyanchovile.
Nayo maandiko yakatimizwa, yale yasemayo, “Alihesabiwa pamoja na watenda dhambi.]”
29 Vala avava gendaga vakhadukha nukhuta, ehee uvivudenya eetembile nukhunchenga isikhu idatu,
Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao na kusema, “Aha! Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu,
30 Eepokheyuve wikhee pasi uhege pa kheedanilihani!”
basi shuka kutoka msalabani na ujiokoe mwenyewe!”
31 Vivule vule na vavaha va vatekhenche va khabedanwa paninie navasimbi nukhuta, “Akhapokhile avange eilemwa ukhwei pokha yoywa.
Vivyo hivyo, viongozi wa makuhani pamoja na walimu wa sheria wakamdhihaki miongoni mwao wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!
32 UKristi untwa vavaislaeli, eekha pasi lino uhega pa khida milihanwe navala avava oveleliwe paninie vope vakha bedanwa.
Basi huyu Kristo, huyu Mfalme wa Israeli, ashuke sasa kutoka msalabani, ili tupate kuona na kuamini.” Wale waliosulubiwa pamoja naye pia wakamtukana.
33 Vuyefikhe esaa fifa eihisi yei khincha pakianya pakhilunga kyoni mpakha pa saa tisa.
Ilipofika saa sita, giza liliifunika nchi yote hadi saa tisa.
34 Usikhe gwa saa tisa, u Yesu akhaywega eisavuti eemba, “Eli, Eli, lama saba katani?” Nguluve vango, Nguluve vango, kheekhii undekhile?”
Mnamo saa tisa, Yesu akapaza sauti, akalia, “Eloi, Eloi, lama sabakthani?” (maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”)
35 Pu vala avava emile vuvapulikhe vakhata, “Lola, ikhimuilanga u Eliya.”
Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hayo, wakasema, “Msikieni, anamwita Eliya.”
36 Umunu yumo akhanyila, akhadincha eisikhii musiponji akhavekha mulilanji akhampa anyule. Umunu yumo akhata indekhetulole ndii khuuincha u Eliya khukhuu mwisya pasi.”
Mtu mmoja akaenda mbio, akachovya sifongo kwenye siki, akaiweka kwenye mwanzi na akampa Yesu ili anywe, akisema, “Basi mwacheni. Hebu tuone kama Eliya atakuja kumshusha kutoka hapo msalabani.”
37 Pu u Yesu akhalila khu savuti embaha akhafya.
Kisha Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
38 Pu eelipasia lya tembile leikha banchukha ifipande fivili ukhuhuma khukianya mpakha pasi.
Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili kuanzia juu hadi chini.
39 Umwembi yumo uviaemile alikhuluta khwa Yesu, vu alole vuifyandalula akhata luleli umunu uyu akhale mwana va Nguluve.”
Basi yule jemadari aliyekuwa amesimama hapo mbele ya msalaba wa Yesu aliposikia ile sauti yake na kuona jinsi alivyokata roho, akasema, “Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”
40 Valipo avadala avavalolaga khuvutali pagati pavene alipo Umaliamu (umama va Yakobo ununave va Yose), nu Salome.
Walikuwepo pia wanawake waliokuwa wakiangalia kwa mbali. Miongoni mwao walikuwepo Maria Magdalene, na Maria mama yao Yakobo mdogo na Yose, pia na Salome.
41 Ukhii uguvale khu Galilaya vakongile nukhu mbombela navadala avange vingi vakongine nave ukhu fikhakhu Yerusalemu.
Hawa walifuatana na Yesu na kushughulikia mahitaji yake alipokuwa Galilaya. Pia walikuwepo wanawake wengine wengi waliokuwa wamekuja pamoja naye Yerusalemu.
42 Vuyefikhe lyakheimihe ulwakhuva yale sikhu ya khuu yandala ukhugalalukha,
Ilipofika jioni, kwa kuwa ilikuwa Siku ya Maandalizi, yaani siku moja kabla ya Sabato,
43 UYosefu vakhu Almathaya akhincha pala ale mbombi valibalasa uveidwadewa umunu uviugulela uludeva lwa Nguluve. Namakha akhalula khwa Pilati, khudova umbili gwa Yesu.
Yosefu wa Arimathaya, mtu aliyeheshimiwa katika Baraza, na ambaye alikuwa anautarajia Ufalme wa Mungu, akamwendea Pilato kwa ujasiri na kumwomba mwili wa Yesu.
44 UPilati akhaswiga ukhuta u Yesu afyuile; akhamwe langa u ofisa akhambuncha ingave Yesu afyile.
Pilato alikuwa akijiuliza kama Yesu alikuwa amekwisha kufa. Hivyo akamwita yule jemadari, akamuuliza iwapo Yesu alikuwa amekwisha kufa.
45 Vu apatile eihabari ukhuta u Yesu afyile, akhanchuhusu u Yusufu ukhutola umbile gwa Yesu.
Baada ya kupata habari kutoka kwa yule jemadari kwamba kweli amekwisha kufa, Pilato akampa Yosefu ruhusa ya kuuchukua huo mwili.
46 UYosefu agulile umweenda akhamwisya ukhuhuma pa kheidamilihani akhabina mumwenda nukhumbeikha mulipumba.
Hivyo Yosefu akanunua kitambaa cha kitani safi, akaushusha mwili kutoka msalabani, akaufunga katika kile kitambaa cha kitani, na kuuweka ndani ya kaburi lililochongwa kwenye mwamba. Kisha akavingirisha jiwe kwenye ingilio la kaburi.
47 Umaliamu Magdalene nu Maliamu umamaye Yose vakhalola upuvasielile u Yesu.
Maria Magdalene na Maria mamaye Yose walipaona mahali pale alipolazwa.

< Malekha 15 >