< 1 Abhakorintho 2 >

1 Anu nejile kwimwe abhamula bhasu na bhayala bhasu, nitejile ku misango jokukongya kogya nobhwengeso lwakutyo nalasishe echimali chinu chiselekele ingulu ya Nyamuanga.
Ndugu, mimi nilipokuja kwenu sikuwahubiria siri ya ujumbe wa Mungu kwa ufasaha wa lugha, au kwa hekima ya binadamu.
2 Nalamuye okulema omenya chona chona anu aliga niliamwi nemwe tali Yesu Kristo, no mwene unu abhambilwe.
Nilipokuwa kwenu niliamua kutojua chochote kile isipokuwa tu kumjua Yesu Kristo; naam, Kristo aliyesulubiwa.
3 Aliga nili amwi nemwe mubhulenga, na mubhubha, na mukuyalala muno.
Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.
4 Nokwaika kwani no kusimula kwani kwaliga kutali kwo mukongya no bhwengeso. Tali, galiga gali gokumwolesha Omwoyo na gali na managa,
Hotuba zangu na mahubiri yangu sikuyatoa kwa maneno ya kuvutia na ya hekima, bali kwa uthibitisho mwingi na nguvu ya Roho.
5 koleleki elikilisha lyemwe litaja kubha ku bhwengeso bhwo mwana munu, tali kumanaga ga Nyamuanga.
Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.
6 Woli echiloma obhwengeso amwi ya bhanu bhakulu, tali bhutali bhwengeso bhwe chalo chinu, amwi eya bhatangasha bho mwanya gunu, bhanu abhalabhao. (aiōn g165)
Hata hivyo, sisi tunatumia lugha ya hekima kwa wale waliokomaa kiroho; lakini hekima hiyo si ya hapa duniani, wala si ya watawala wa dunia hii ambao wako katika mkumbo wa kupotea. (aiōn g165)
7 Nawe, echiloma obhwengeso bhwa Nyamuanga muchimali chinu chibhisile, obhwengeso bhunu bhwiselekele inu Nyamuanga asolele kara mumwanya gwa likusho lyeswe. (aiōn g165)
Hekima tunayotumia ni hekima ya siri ya Mungu, hekima iliyofichika, ambayo Mungu aliiazimia tangu mwanzo kwa ajili ya utukufu wetu. (aiōn g165)
8 Atalio wona wona mu bhatangasha bho mwanya gunu unu amenyaga obhwengeso bhunu, Bhakabhee nibhaimenya omwanya ogwo, bhatakamubhambile Latabhugenyi wa likusho. (aiōn g165)
Ni hekima ambayo watawala wa dunia hii hawakuielewa; maana wangalielewa, hawangalimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn g165)
9 Nawe lwakutyo Jandikilwe, “Emisango jinu eliso litajilolele, jitonguhye na matwi, obhwiganilisha bhuteganilisishe, emisango jinu Nyamuanga elabhile ingulu ya bhanu abhamwenda omwene.”
Lakini, ni kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo Mungu aliyowatayarishia wale wampendao.”
10 Jinu ni misango jinu Nyamuanga ajisuluye kwiswe okulabha ku Mwoyo, Kulwokubha Omwoyo katatilisha bhuli chinu, nolo emisango ja munda ja Nyamuanga.
Hayo ndiyo mambo Mungu aliyotufunulia kwa njia ya Roho wake. Maana Roho huchunguza kila kitu hata mambo ya ndani kabisa ya Mungu.
11 Kulwokubha niga unu kamenya obhwiganilisha bhwo munu, atali omwoyo gwo munu munda yae? Kulwejo kutyo, atalio unu kamenya emisango ja munda ya Nyamuanga, atali Omwoyo gwa Nyamuanga.
Nani awezaye kujua mambo ya ndani ya mtu isipokuwa roho yake mtu huyo? Hali kadhalika, hakuna ajuaye mambo ya Mungu isipokuwa Roho wa Mungu.
12 Nawe chitalamiye omwoyo gwe chalo, nawe Omwoyo gunu gwasokele ku Nyamuanga, koleleki chimenye emisango jinu chiyanibhwe na Nyamuanga.
Sasa sisi hatukuipokea roho ya ulimwengu, bali tumepokea Roho atokaye kwa Mungu ili atuwezeshe kujua yale tuliyojaliwa na Mungu.
13 Echaika emisango jinu kwa magambo, ganu kwo bhwengeso bhwo munu bhutakutula kwiigisha. Omwoyo Mwelu kagajula amagambo go mwoyo kwo bhwengeso bhwo mwoyo.
Basi sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo Roho.
14 Omunu unu atali wechinyamwoyo atakulamila amagambo go Mwoyo Mwelu wa Nyamuanga, kulwokubha ago kumwene ni bhumumu. Atakutula kugamenya kulwokubha agamenywa chinyamwoyo.
Mtu wa kidunia hapokei mambo ya Roho wa Mungu. Kwake mtu huyo mambo hayo ni upumbavu mtupu; yanapita akili yake; maana yanaweza tu kutambuliwa kwa msaada wa Roho.
15 Ku wechinyamwoyo kalamula misango jona. Nawe kalamulwa na bhandi.
Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.
16 “Niga unu katula okumenya obhwiganilisha bhwa Latabhugenyi, unu katula okumwiigisha omwene?” Nawe chili no bhwiganilisha bhwa Kristo.
Maandiko yasema: “Nani awezaye kuifahamu akili ya Bwana? Nani awezaye kumshauri?” Lakini sisi tunayo akili ya Kristo.

< 1 Abhakorintho 2 >