< 2 Abhakorintho 1 >

1 Paulo, intumwa ya Kristo Yesu kulwo kwenda kwa Nyamuanga na Timotheo muili weswe, ku kanisa ya Nyamuanga inu ili Korintho na bhekilisha bhona bhanu bhali mu chalo chona cha Akaya.
Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo, tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho, na watu wote wa Mungu kila mahali katika Akaya.
2 Echigongo chibhe kwimwe no mulembe okusoka ku Nyamuanga Lata weswe na Lata bhugenyi Yesu Kristo.
Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
3 Na akusibwe Nyamuanga na Esemwene Lata bhugenyi Yesu Kristo. Omwene ni Lata we chigongo na Nyamuanga owo kusilisha kwone.
Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta faraja yote.
4 Nyamuanga kachisilisha eswe munyako yeswe yona, koleleki chitule okubhasilisha bhaliya bhali munyako. Echibhasilisha abhandi kwo kusilisha kunu Nyamuanga kakolela okuchisilisha eswe.
Yeye hutufariji sisi katika taabu zetu zote, ili nasi tupate kuwafariji wengine katika kila taabu kwa faraja hiyohiyo tunayopokea kutoka kwa Mungu.
5 Kubha lwa kutyo kunyasibwa kwa Kristo okwiyongesha Kwiswe, nikwo kutyo no kusilisibwa kweswe okwongesibwa okulabhila Kristo.
Naam, kadiri mateso ya Kristo yanavyozidi ndani yetu, ni kadiri hiyohiyo tunazidi kufarijiwa naye.
6 Nawe chikanyaka, ni kwo kusilisibwa kwemwe no mwelulo gwemwe. Na chikasilibwa ni kulwo kusilisibwa kwemwe. Kusilisha kwemwe eikola emilimu jinu jilijakisi munyako kwo kwigumilisha eswe ona munyako.
Ikiwa tunapata taabu, basi ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu. Tukifarijika, ni kwa ajili ya kuwafariji ninyi na kuwaunga mkono mpate nguvu ya kustahimili mateso yaleyale tunayoteseka sisi.
7 No kwiikanya kweswe ingulu yeswe ni kulumile. Chimenyele ati mukasangila inyako, nikwo kutyo omusangila okusilisibwa.
Tena, matumaini tuliyo nayo kwa ajili yenu ni imara; tunajua kwamba mkishiriki mateso yetu, mtashiriki pia faraja yetu.
8 Kulwokubha chitakwenda emwe mubhe bhamumu, bhaili, ingulu ya jimfulubhendo jinu chaliga chilinajo eyo Asia. Chanyansibhwe okukila kutyo echitula okubhatula, chitabhwene bhwiikanyo bhwa kwikala lindi.
Ndugu, tunataka kuwajulisheni taabu zilizotupata kule Asia; taabu hizo zilitulemea kupita kiasi, hata tukakata matumaini yote ya kuendelea kuishi.
9 Chimali, chaliga chili na indamu yo lufu ingulu yeswe. Nawe eyo yaliga ilikuchikola eswe chisige okubha nobhiikanyo ingulu yeswe eswe, nawe chibhe nobhwiikanyo ku Nyamuanga, unu kachisulula abhafuye.
Naam, tulikuwa kama watu waliohukumiwa kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye kuwafufua wafu, badala ya kutegemea nguvu zetu sisi wenyewe.
10 Achikisishe eswe okusoka mulufu, na kachichungula lindi. Chatee kumwene obhubhasi bhweswe kumwene ati kachichungula lindi.
Yeye alituokoa katika hatari kubwa ya kifo, na anaendelea kutuokoa; sisi tumemwekea tumaini letu kwamba atatuokoa tena,
11 Akola kutyo kwimwe ona omusakilana kulwo kusabwa kwemwe. Kutyo abhafu bhalisima kwe chigongo chinu chiyanibwe eswe okulabhila lisabwa lya bhafu.
ninyi mkiwa mnatuunga mkono kwa kutuombea. Hivyo neema tutakazokuwa tumepata kutokana na maombi ya watu wengi hivyo, ziwe sababu ya watu wengi zaidi kumshukuru Mungu kwa ajili yetu.
12 Echikuisha linu: obhubhambasi bhwe mitima jeswe. Kulwokubha nikulwobhwiganilisha bhwakisi no bhwelu bhwa Nyamuanga ati chalibhatilega eswe abhene muchalo. Chikolele kutya amwi nemwe, na atali mubhwengeso bhwe chalo, nawe chikolele muchigongo cha Nyamuanga.
Sisi tunajivunia kitu kimoja: dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu bali neema ya Mungu.
13 Chitakubhandikila chona chona chinu mutakutula kuchisoma no kuchisombokelwa.
Tunawaandikia ninyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa,
14 Nili no bhubhasi ati kwolubhaju mwamalile ochimenya. Nili nobhubhasi ati kulusiku lwa Latabhugenyi Yesu chilibha nsonga yemwe ingulu ye chigundu chemwe, lwakutyo mulibha kwiswe.
maana mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. Tunajua kwamba katika ile Siku ya Bwana Yesu mtaweza kutuonea sisi fahari kama nasi tunavyowaonea ninyi fahari.
15 Kwo kubha naliga no bwiikanyo kulinu, nendaga okuja kwemwe kubwambilo, koleleki mutule okulamila ifaida yo kulibhatilwa lwa kabhili.
Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu.
16 Naliga ninenda okubhalibhatila omwanya okwinganilila Makedonia. Lindi nendaga okubhalibhatila lindi omwanya nisubha okusoka Makedonia, mbe emwe omuntuma anye omwanya okwinganilila Bhuyaudi.
Nilikusudia kupita kwenu nikiwa safarini kwenda Makedonia, na wakati wa kurudi pia, ili nipate msaada wenu kwa safari yangu kwenda Yudea.
17 Ao naliga nikalaliye kutyo, mbe, naliga natalatanyishe? Mbe enenda emisango okwingana no kutula kwa bhanu, koleleki naike “Kutyo, kutyo, na “Uli, uli” kwo mwanya gumwi?
Je, mnadhani nilipopanga hivyo nimekuwa kama mtu asiye na msimamo? Je, mnadhani kwamba ninafanya uamuzi wangu kwa fikira za kibinadamu na kwamba nasema “Ndiyo” na “Siyo” papo hapo?
18 Nawe lwa kutyo Nyamuanga ali mwiikanyibwa, chitakwaika byona “Kutyo”na” uli.”
Mungu ni ukweli mtupu; basi, kile tulichowaambia ninyi si jambo la “Ndiyo” na “Siyo”.
19 Kwo kubha omwana wa Nyamuanga, Yesu Kristo unu Silvano, Timotheo nanye chamulasishe mwimwe, atali “Kutyo” na Uli.” unu omwanya gwona ni”Kutyo.”
Maana Kristo Yesu, Mwana wa Mungu, ambaye mimi, Silwano na Timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa “Ndiyo” na “Siyo”; bali yeye daima ni “Ndiyo” ya Mungu.
20 Kwo kubha milago jona ni ja Nyamuanga ni “Kutyo” ali omwene. Kutyo ona okulabhila omwene echaika ati “Amina” kwa likusho lya Nyamuanga.
Maana ndani yake ahadi zote za Mungu zimekuwa “Ndiyo”. Kwa sababu hiyo, “Amina” yetu husemwa kwa njia ya Kristo kwa ajili ya kumtukuza Mungu.
21 Woli ni Nyamuanga unu kachikomesha eswe amwi nemwe ku Kristo, na achitumile eswe.
Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na ninyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu;
22 Atulileo.............. ingulu yeswe achiyae Mwoyo mu mitima jeswe lwa chinu akachiyaye mala.
ndiye aliyetutia mhuri wa kuwa mali yake yeye na kutujalia Roho mioyoni mwetu kama dhamana ya mambo yote ambayo ametuwekea.
23 Nawe inyuma yejo, enimulembeleja Nyamuanga okumbambalila anye injuno inu yakolele nisige okuja Korintho ntaja kubhanyola emwe.
Mungu ndiye shahidi wangu—yeye anajua moyo wangu! Mimi sikuja tena Korintho, kwa sababu tu ya kuwahurumieni.
24 Inu italyati kubha echilegejwa okuganya elikisha lyemwe kutyo eyendibhwa okubha. Nawe inyuma yejo, echikola amwi nemwe ingulu yo bhukondelewe bhwemwe, lwakutyo mwimeleguyu mulikilisha lyemwe.
Hatutaki kutumia mabavu juu ya imani yenu; ninyi mko imara katika imani yenu. Wajibu wetu ni kufanya kazi pamoja kwa ajili ya furaha yenu.

< 2 Abhakorintho 1 >