< 詩篇 148 >

1 主をほめたたえよ。もろもろの天から主をほめたたえよ。もろもろの高き所で主をほめたたえよ。
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
2 その天使よ、みな主をほめたたえよ。その万軍よ、みな主をほめたたえよ。
Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
3 日よ、月よ、主をほめたたえよ。輝く星よ、みな主をほめたたえよ。
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
4 いと高き天よ、天の上にある水よ、主をほめたたえよ。
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
5 これらのものに主のみ名をほめたたえさせよ、これらは主が命じられると造られたからである。
Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
6 主はこれらをとこしえに堅く定め、越えることのできないその境を定められた。
Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
7 海の獣よ、すべての淵よ、地から主をほめたたえよ。
Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
8 火よ、あられよ、雪よ、霜よ、み言葉を行うあらしよ、
moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
9 もろもろの山、すべての丘、実を結ぶ木、すべての香柏よ、
Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
10 野の獣、すべての家畜、這うもの、翼ある鳥よ、
wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
11 地の王たち、すべての民、君たち、地のすべてのつかさよ、
Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
12 若い男子、若い女子、老いた人と幼い者よ、
wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
13 彼らをして主のみ名をほめたたえさせよ。そのみ名は高く、たぐいなく、その栄光は地と天の上にあるからである。
Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
14 主はその民のために一つの角をあげられた。これはすべての聖徒のほめたたえるもの、主に近いイスラエルの人々のほめたたえるものである。主をほめたたえよ。
Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.

< 詩篇 148 >