< 詩篇 129 >

1 都もうでの歌 今イスラエルは言え、「彼らはわたしの若い時から、ひどくわたしを悩ました。
“Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
2 彼らはわたしの若い時から、ひどくわたしを悩ました。しかしわたしに勝つことができなかった。
“Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
3 耕す者はわたしの背の上をたがやして、そのうねみぞを長くした」と。
Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
4 主は正しくいらせられ、悪しき者のなわを断ち切られた。
Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
5 シオンを憎む者はみな、恥を得て、退くように。
Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
6 彼らを、育たないさきに枯れる屋根の草のようにしてください。
Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
7 これを刈る者はその手に満たず、これをたばねる者はそのふところに満たない。
ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
8 かたわらを過ぎる者は、「主の恵みがあなたの上にあるように。われらは主のみ名によってあなたがたを祝福する」と言わない。
Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”

< 詩篇 129 >