< 詩篇 109 >

1 聖歌隊の指揮者によってうたわせたダビデの歌 わたしのほめたたえる神よ、もださないでください。
Zaburi ya Daudi. Mungu ninaye msifu, usinyamaze kimya.
2 彼らは悪しき口と欺きの口をあけて、わたしにむかい、偽りの舌をもってわたしに語り、
Kwa maana waovu na wadanganyifu wananishambulia; wanazungumza uongo dhidi yangu.
3 恨みの言葉をもってわたしを囲み、ゆえなくわたしを攻めるのです。
Wananizunguka na kusema mambo ya chuki, na wananishambulia bila sababu.
4 彼らはわが愛にむくいて、わたしを非難します。しかしわたしは彼らのために祈ります。
Wananilipa kashfa badala ya upendo, lakini mimi ninawaombea.
5 彼らは悪をもってわが善に報い、恨みをもってわが愛に報いるのです。
Wananilipa uovu badala ya mema, na wanachukia upendo wangu.
6 彼の上に悪しき人を立て、訴える者に彼を訴えさせてください。
Teua mtu mwovu aliye adui zaidi kama watu hawa; teua mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
7 彼がさばかれるとき、彼を罪ある者とし、その祈を罪に変えてください。
Na atakapohukumiwa, aonekane na hatia; maombi yake yachukuliwe kuwa ni dhambi.
8 その日を少なくし、その財産をほかの人にとらせ、
Siku zake na ziwe chahe; mamlaka yake na yachukuliwe na mtu mwingine.
9 その子らをみなしごにし、その妻をやもめにしてください。
Watoto wake wawe yatima, na mke wake awe mjane.
10 その子らを放浪者として施しをこわせ、その荒れたすまいから追い出させてください。
Watoto wake wenye kutanga tanga na kuombaomba, wakiondoka katika nyumba zao zilizo haribika na kuomba chakula au pesa kwa wapita njia.
11 彼が持っているすべての物を債主に奪わせ、その勤労の実をほかの人にかすめさせてください。
Mdai na achukue vitu vyake vyote amilikivyo; wageni wateke mapato ya kazi yake.
12 彼にいつくしみを施す者はひとりもなく、またそのみなしごをあわれむ者もなく、
Asiwepo mtu yeyote wa kumfanyia wema; mtu yeyote asiwahurumie yatima wake.
13 その子孫を絶えさせ、その名を次の代に消し去ってください。
Watoto wake waangamizwe; majina yao na yafutwe katika kizazi kijacho.
14 その父たちの不義は主のみ前に覚えられ、その母の罪を消し去らないでください。
Uovu wa baba zake utajwe kwa Yahwe; na dhambi ya mama yake isisahaulike.
15 それらを常に主のみ前に置き、彼の記憶を地から断ってください。
Hatia zao na ziwe mbele ya Yahwe siku zote; Yahwe na aiondoe kumbukumbu yao duniani.
16 これは彼がいつくしみを施すことを思わず、かえって貧しい者、乏しい者を責め、心の痛める者を殺そうとしたからです。
Yahwe na afanye hivi kwa sababu mtu huyu kamwe hakusumbuka kuonesha uaminifu wa agano wowote, lakini badala yake aliwasumbua wanyonge, wahitaji, na kuwaua walio vunjika moyo.
17 彼はのろうことを好んだ。のろいを彼に臨ませてください。彼は恵むことを喜ばなかった。恵みを彼から遠ざけてください。
Alipenda kulaani; na imrudie juu yake. Alichukia kubariki; baraka zozote na zisije kwake.
18 彼はのろいを衣のように着た。のろいを水のようにその身にしみこませ、油のようにその骨にしみこませてください。
Alijivika kulaani kana kwamba ni vazi lake, na laana yake iliingia ndani yake kama maji, na kama mafuta mifupani mwake.
19 またそれを自分の着る着物のようにならせ、常に締める帯のようにならせてください。
Laana zake na ziwe kwake kama vazi avaalo kujifunika mwenyewe, na kama mkanda avaao kila siku.
20 これがわたしを非難する者と、わたしに逆らって悪いことを言う者の主からうける報いとしてください。
Na haya yawe malipo ya mshitaki wangu kutoka kwa Yahwe, ya wale wasemao mambo maovu juu yangu.
21 しかし、わが主なる神よ、あなたはみ名のために、わたしを顧みてください。あなたのいつくしみの深きにより、わたしをお助けください。
Yahwe Bwana wangu, unishughulikie kwa wema kwa ajili ya jina lako. Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni mwema, uniokoe.
22 わたしは貧しく、かつ乏しいのです。わたしの心はわがうちに傷ついています。
Kwa maana ni mnyonge na muhitaji, na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.
23 わたしは夕日の影のように去りゆき、いなごのように追い払われます。
Ninatoweka kama kivuli cha jioni; ninapeperushwa kama nzige.
24 わたしのひざは断食によってよろめき、わたしの肉はやせ衰え、
Magoti yangu ni dhaifu kutokana na kufunga; ninakuwa mwembamba na mifupa.
25 わたしは彼らにそしられる者となりました。彼らはわたしを見ると、頭を振ります。
Nimedharauliwa na washitaki wangu; wanionapo; hutikisa vichwa vyao.
26 わが神、主よ、わたしをお助けください。あなたのいつくしみにしたがって、わたしをお救いください。
Nisaidie, Yahwe Mungu wangu; uniokoe kwa uaminifu wa agano lako.
27 主よ、これがあなたのみ手のわざであること、あなたがそれをなされたことを、彼らに知らせてください。
Nao wajue kuwa wewe umefanya haya, kwamba wewe, Yahwe, umetenda haya.
28 彼らはのろうけれども、あなたは祝福されます。わたしを攻める者をはずかしめ、あなたのしもべを喜ばせてください。
Ingawa wananilaani, tafadhali unibariki; wanishambuliapo, waaibishwe, lakini mtumishi wako afurahi.
29 わたしを非難する者にはずかしめを着せ、おのが恥を上着のようにまとわせてください。
Washitaki wangu na wavishwe kwa aibu; wavae aibu yao kama vazi.
30 わたしはわが口をもって大いに主に感謝し、多くの人のなかで主をほめたたえます。
Kwa kinywa changu ninatoa shukrani kuu kwa Yahwe; nitamsifu yeye katikati ya kusanyiko.
31 主は貧しい者の右に立って、死罪にさだめようとする者から彼を救われるからです。
Maana nitasimama mkono wa kuume wa mhitaji, ili nimuokoe dhidi ya wale wanao muhukumu.

< 詩篇 109 >