< 箴言 知恵の泉 13 >

1 知恵ある子は父の教訓をきく、あざける者は、懲しめをきかない。
Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya baba yake, bali mwenye dhihaka hatasikiliza karipio.
2 善良な人はその口の実によって、幸福を得る、不信実な者の願いは、暴虐である。
Mtu hufurahia vitu vizuri kutokana na matunda ya kinywa chake, bali hamu ya wadanganyifu ni jeuri.
3 口を守る者はその命を守る、くちびるを大きく開く者には滅びが来る。
Yeye anayelinda kinywa chake huyalinda maisha, bali anayefumbua sana midomo yake atajiangamiza mwenyewe.
4 なまけ者の心は、願い求めても、何も得ない、しかし勤め働く者の心は豊かに満たされる。
Hamu ya watu wavivu ni uchu lakini hawapati kitu, bali hamu ya watu wenye bidii hutoshelezwa sana.
5 正しい人は偽りを憎む、しかし悪しき人は恥ずべく、忌まわしくふるまう。
Atendaye haki huchukia uongo, bali mtu mwovu hukinzana mwenyewe, na kufanya ya kuaibisha.
6 正義は道をまっすぐ歩む者を守り、罪は悪しき者を倒す。
Wenye haki huwalinda wale ambao ni wakamilifu katika mapito yao, bali uovu huwaangusha wale watendao dhambi.
7 富んでいると偽って、何も持たない者がいる、貧しいと偽って、多くの富を持つ者がいる。
Kuna mtu ambaye hujitajirisha mwenyewe, lakini hana chochote na kuna mtu ambaye hutoa kila kitu, bado ni tajiri kweli.
8 人の富はその命をあがなう、しかし貧しい者にはあがなうべき富がない。
Mtu tajiri anaweza kufidia maisha yake kwa mali zake, bali mtu masikini hatapokea kitisho cha aina hiyo.
9 正しい者の光は輝き、悪しき者のともしびは消される。
Mwanga wa mtu atendaye haki hufurahia, bali taa ya waovu itazimika.
10 高ぶりはただ争いを生じる、勧告をきく者は知恵がある。
Kiburi huzaa mafarakano, bali kwa wale wasikiao shauri jema kuna hekima.
11 急いで得た富は減る、少しずつたくわえる者はそれを増すことができる。
Penye majivuno mengi utajiri hufifia, bali yeye apataye pesa kwa kufanya kazi kwa mkono wake pesa zake zitaongezeka.
12 望みを得ることが長びくときは、心を悩ます、願いがかなうときは、命の木を得たようだ。
Tumaini linapoachwa, huvunja moyo, bali kukamilishwa kwa shauku ni mti wa uzima.
13 み言葉を軽んじる者は滅ぼされ、戒めを重んじる者は報いを得る。
Yule ambaye anadharau fundisho bado atakuwa chini ya utawala wake, bali yeye ambaye anaheshimu amri atapewa thawabu.
14 知恵ある人の教は命の泉である、これによって死のわなをのがれることができる。
Mafundisho ya mtu mwenye hekima ni chemchemi ya uzima, yanakuondoa kutoka kwenye mitego ya mauti.
15 善良な賢い者は恵みを得る、しかし、不信実な者の道は滅びである。
Busara njema huleta fadhila, bali njia ya wadanganyifu haina mwisho.
16 おおよそ、さとき者は知識によって事をおこない、愚かな者は自分の愚を見せびらかす。
Watu wenye busara hutenda kwa maarifa kwa kila uamuzi, bali mpumbavu huonyesha upuuzi wake.
17 悪しき使者は人を災におとしいれる、しかし忠実な使者は人を救う。
Mjumbe mbaya huangukia kwenye shida, bali balozi mwaminifu huleta upatanisho.
18 貧乏と、はずかしめとは教訓を捨てる者に来る、しかし戒めを守る者は尊ばれる。
Yeye ambaye hupuuza kurudiwa atapata umasikini na aibu, bali heshima itamjia yeye ambaye hujifunza kutokana na masahihisho.
19 願いがかなえば、心は楽しい、愚かな者は悪を捨てることをきらう。
Shauku iliyotambuliwa ni tamu kwa hamu, bali wapumbavu huchukia kuacha uovu.
20 知恵ある者とともに歩む者は知恵を得る。愚かな者の友となる者は害をうける。
Tembea pamoja na watu wenye hekima nawe utakuwa na hekima, bali rafiki wa wapumbavu atateseka.
21 災は罪びとを追い、正しい者は良い報いを受ける。
Maafa huwakimbilia wenye dhambi, bali wale watendao haki hupewa thawabu kwa mema.
22 善良な人はその嗣業を子孫にのこす、しかし罪びとの富は正しい人のためにたくわえられる。
Mtu mwema huacha urithi kwa wajukuu wake, bali mali ya mwenye dhambi huwekwa akiba kwa yule atendaye haki.
23 貧しい人の新田は多くの食糧を産する、しかし不正によれば押し流される。
Shamba la masikini lisilolimwa linaweza huzalisha chakula kingi, bali huchukuliwa kwa udhalimu.
24 むちを加えない者はその子を憎むのである、子を愛する者は、つとめてこれを懲らしめる。
Yeye ambaye hamrudi mwanawe humchukia, bali yule anayempenda mwanawe humjali kwa kumwadibisha.
25 正しい者は食べてその食欲を満たす、しかし悪しき者の腹は満たされない。
Yeye atendaye haki hula hadi kutosheleza hamu yake bali tumbo la mwovu linanjaa daima.

< 箴言 知恵の泉 13 >