< Psalm 48 >

1 Ein Lied. Ein Psalm. Von den Korachiten. Groß ist Jahwe und hoch zu preisen in der Stadt unseres Gottes, auf seinem heiligen Berge.
Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
2 Lieblich erhebt sich, die Freude der ganzen Erde ist der Zionberg, im äußersten Norden die Stadt des großen Königs.
Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
3 Gott hat sich in ihren Palästen als eine Schutzwehr kund gethan.
Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4 Denn fürwahr, die Könige versammelten sich, zogen miteinander heran.
Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5 Sobald sie sahen, erstaunten sie; sie wurden bestürzt, sind angstvoll entflohn.
Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
6 Beben ergriff sie daselbst, Zittern wie eine Gebärende.
Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
7 Durch den Ostwind zerschmetterst du Tarsis-Schiffe.
Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
8 Wie wir's gehört haben, also haben wir's gesehen in der Stadt Jahwes der Heerscharen, in der Stadt unseres Gottes: Gott läßt sie ewig feststehn! (Sela)
Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
9 Wir bedenken, o Gott, deine Gnade drinnen in deinem Tempel.
Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
10 Wie dein Name, o Gott, so erschallt auch dein Lobpreis bis an die Enden der Erde; deine Rechte ist voll von Gerechtigkeit.
Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
11 Der Zionberg freut sich, die Töchter Judas frohlocken um deiner Gerichte willen.
Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
12 Umgehet Zion, umwandelt sie ringsum, zählt ihre Türme,
Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
13 Richtet euer Augenmerk auf ihren Wall, durchschreitet ihre Paläste, damit ihr dem künftigen Geschlecht erzählt,
mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
14 daß dieses Gott, unser Gott, ist; er wird uns führen immer und ewig.
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.

< Psalm 48 >