< Nehemia 7 >

1 Als nun die Mauer gebaut war, setzte ich die Thüren ein, und es wurden die Thorhüter mit der Aufsicht betraut.
Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
2 Und ich beorderte zu Befehlshabern über Jerusalem meinen Bruder Hanani und Hananja, den Obersten der Burg; denn er war ein so zuverlässiger und gottesfürchtiger Mann, wie wenige.
nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
3 Und ich wies sie an: Die Thore Jerusalems dürfen nicht eher geöffnet werden, als bis die Sonne heiß scheint. Und während die Wachtposten noch dastehen, soll man die Thürflügel schließen und verriegeln. Und dann soll man Wachen aus den Einwohnern Jerusalems aufstellen, einen jeden auf seinem Posten und zwar einen jeden gegenüber seinem Hause.
Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
4 Es war aber die Stadt von großer Ausdehnung, jedoch nur wenig Volks in ihr, und manche Häuser waren nicht wieder aufgebaut.
Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
5 Da gab mir mein Gott in den Sinn, die Edlen und die Vorsteher und das Volk zur Anfertigung eines Geschlechtsverzeichnisses zu versammeln. Da fand ich das Geschlechtsbuch derer, die zuerst heraufgezogen waren, und fand darin geschrieben:
Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
6 Dies sind die Angehörigen der Provinz Juda, die aus der Gefangenschaft der Weggeführten, die Nebukadnezar, der König von Babel, weggeführt hatte, heraufzogen und nach Jerusalem und Juda, ein jeder in seine Stadt, heimkehrten,
Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
7 die mit Serubabel, Jesua, Nehemia, Asarja, Raamja, Nahemani, Mardochai, Bilsan, Mispereth, Bigevai, Nehum und Baana kamen. Die Zahl der Männer des Volkes Israel betrug:
Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
8 Die Nachkommen Pareos': 2172.
Wana wa Paroshi, 2, 172.
9 Die Nachkommen Sephatjas: 372.
Wana wa Shefatia, 372.
10 Die Nachkommen Arahs: 652.
Wana wa Ara, 652.
11 Die Nachkommen Pahath-Moabs, nämlich die Nachkommen Jesuas und Joabs: 2818.
Wana wa Pahath Moabu,
12 Die Nachkommen Elams: 1254.
kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
13 Die Nachkommen Sattus: 845.
Wana wa Elamu, 1, 254.
14 Die Nachkommen Sakkais: 760.
Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
15 Die Nachkommen Binnuis: 648.
Wana wa Binnui, 648.
16 Die Nachkommen Bebais: 628.
Wana wa Bebai, 628.
17 Die Nachkommen Asgads: 2322.
Wana wa Azgadi, 2, 322.
18 Die Nachkommen Adonikams: 667.
Wana wa Adonikamu, 667.
19 Die Nachkommen Bigevais: 2067.
Wana wa Bigwai, 2, 067.
20 Die Nachkommen Adins: 655.
Wana wa Adini, 655.
21 Die Nachkommen Aters von Hiskia: 98.
Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
22 Die Nachkommen Hasums: 328.
Wana wa Hashumu, 328.
23 Die Nachkommen Bezais: 324.
Wana wa Besai, 324.
24 Die Nachkommen Hariphs: 112.
Wana wa Harifu, 112.
25 Die Leute von Gibeon: 95.
Wana wa Gibeoni, 95.
26 Die Leute von Bethlehem und Netopha: 188.
Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
27 Die Leute von Anathoth: 128.
Watu wa Anathothi, 128.
28 Die Männer von Beth-Asmaveth: 42.
Watu wa Beth Azmaweth, 42.
29 Die Männer von Kirjath-Jearim, Kaphira und Beeroth: 743.
Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
30 Die Männer von Rama und Geba: 621.
Watu wa Rama na Geba, 621.
31 Die Männer von Michmas: 122.
Watu wa Mikmasi, 122.
32 Die Männer von Bethel und Ai: 123.
Watu wa Betheli na Ai, 123.
33 Die Männer von Nebo: 52.
Watu wa Nebo, 52.
34 Die Nachkommen des anderen Elam: 1254.
Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
35 Die Nachkommen Harims: 320.
Watu wa Harimu, 320.
36 Die Leute von Jericho: 345.
Watu wa Yeriko, 345.
37 Die Leute von Lod, Hadid und Ono: 721.
Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
38 Die Leute von Senaa: 3930.
Watu wa Senaa, 3, 930.
39 Die Priester: Die Nachkommen Jedajas vom Hause Jesua: 973.
makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
40 Die Nachkommen Immers: 1052.
Wana wa Imeri, 1, 052.
41 Die Nachkommen Pashurs: 1247.
Wana wa Pashuri, 1, 247.
42 Die Nachkommen Harims: 1017.
Wana wa Harimu, 1, 017.
43 Die Leviten: Die Nachkommen Jesuas und Kadmiels, von den Nachkommen Hodejas: 74.
Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
44 Die Sänger: Die Nachkommen Asaphs: 148.
Waimbaji wana wa Asafu; 148.
45 Die Thorhüter: Die Nachkommen Sallums, die Nachkommen Aters, die Nachkommen Talmons, die Nachkommen Akkubs, die Nachkommen Hatitas, die Nachkommen Sobais: 138.
Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
46 Die Tempeldiener: Die Nachkommen Zihas, die Nachkommen Hasuphas, die Nachkommen Tabbaoths,
Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
47 die Nachkommen Keros', die Nachkommen Sias, die Nachkommen Padons,
wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
48 die Nachkommen Lebanas, die Nachkommen Hagabas, die Nachkommen Salmais,
wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
49 die Nachkommen Hanans, die Nachkommen Giddels, die Nachkommen Gahars,
wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
50 die Nachkommen Reajas, die Nachkommen Rezins, die Nachkommen Nekodas,
Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
51 die Nachkommen Gassams, die Nachkommen Usas, die Nachkommen Paseahs,
wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
52 die Nachkommen Besais, die Nachkommen der Meuniter, die Nachkommen der Nephisiter,
wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
53 die Nachkommen Bakbuks, die Nachkommen Kauphas, die Nachkommen Harhurs,
Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
54 die Nachkommen Bazeliths, die Nachkommen Mehidas, die Nachkommen Harsas,
wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
55 die Nachkommen Barkos', die Nachkommen Siseras, die Nachkommen Themahs,
wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
56 die Nachkommen Neziahs, die Nachkommen Hatiphas.
wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57 Die Nachkommen der Sklaven Salomos: Die Nachkommen Sotais, die Nachkommen Sophereths, die Nachkommen Peridas,
Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
58 die Nachkommen Jaalas, die Nachkommen Darkons, die Nachkommen Giddels,
wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
59 die Nachkommen Sephatjas, die Nachkommen Hattils, die Nachkommen des Pochereth-Hazzebaim, die Nachkommen Amons,
wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
60 sämtliche Tempeldiener und Nachkommen der Sklaven Salomos: 392.
Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
61 Und diese sind es, die aus Tel-Melah, Tel-Harsa, Cherub, Addon und Immer heraufzogen, ohne daß sie ihre Familie und ihre Abstammung angeben konnten, ob sie aus Israel stammten:
Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
62 Die Nachkommen Delajas, die Nachkommen Tobias, die Nachkommen Nekodas: 642.
wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 Und von den Priestern: Die Nachkommen Habajas, die Nachkommen Hakkoz', die Nachkommen Barsillais, der eine von den Töchtern des Gileaditers Barsillai geheiratet hatte und nach ihrem Namen genannt wurde.
Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
64 Diese suchten ihre Geschlechtsverzeichnisse, aber sie waren nicht zu finden; daher wurden sie vom Priestertum ausgeschlossen.
Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
65 Und der Statthalter verbot ihnen, vom Hochheiligen zu essen, bis wieder ein Priester für die Handhabung der Urim und Tummim erstehen würde.
Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
66 Die ganze Gemeinde betrug zusammen 42360,
Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
67 ungerechnet ihre Sklaven und Sklavinnen; deren gab es 7337 und dazu kamen 245 Sänger und Sängerinnen.
isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
68 Rosse hatten sie: 736, Maultiere: 245,
Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
69 Kamele: 435, Esel: 6720.
ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
70 Und ein Teil der Familienhäupter spendete zum Tempeldienst. Der Statthalter spendete für den Schatz: an Gold tausend Drachmen, fünfzig Sprengschalen, 30 Priesterröcke.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
71 Und einige von den Familienhäuptern spendeten zum Schatze für den Tempeldienst: an Gold 20000 Drachmen und an Silber 2200 Minen.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
72 Und was das übrige Volk spendete, betrug an Gold 20000 Drachmen und an Silber 2000 Minen, und siebenundsechzig Priesterröcke.
Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
73 Und so wohnten die Priester und die Leviten und die Thorhüter und die Sänger und ein Teil des Volks und die Tempeldiener und sämtliche Israeliten in ihren Städten.
Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”

< Nehemia 7 >