< 1 Chronik 1 >

1 Adam, Seth, Enos.
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Jared.
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Henoch, Methusalah, Lamech.
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noah, Sem, Ham und Japhet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Die Söhne Japhets waren: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mesech und Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Und die Söhne Gomers: Askenas, Riphath und Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Und die Söhne Javans: Elisa, Tarsis, die Kittiter und die Rodaniter.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Die Söhne Hams waren: Kusch, Mizraim, Put und Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Und die Söhne Kuschs: Seba, Havila, Sabta, Raema und Sabtecha, und die Söhne Raemas Saba und Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Und Kusch erzeugte den Nimrod; dieser fing an, ein Gewaltiger zu werden auf der Erde.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Und Mizraim erzeugte die Luditer, die Anamiter, die Lehabiter, die Naphtuhiter,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 die Patrusiter, die Kasluhiter, von denen die Philister ausgegangen sind, und die Kaphtoriter.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Kanaan aber erzeugte Zidon, seinen Erstgeborenen, und Heth
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 und die Jebusiter, Amoriter, Girgasiter,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 Heviter, Arkiter, Siniter,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 Arvaditer, Zemariter und Hamathiter.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Die Söhne Sems waren: Elam, Assur, Arpachsad, Lud, Aram, Hul, Gether und Mas.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arpachsad aber erzeugte Selah, und Selah erzeugte Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Und dem Eber wurden zwei Söhne geboren; der eine hieß Peleg, weil sich zu seiner Zeit die Bevölkerung der Erde zerteilte, und sein Bruder hieß Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Und Joktan erzeugte Almodad, Saleph, Hazarmaweth, Jarah,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Usal, Dikla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ebal, Abimael, Saba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ophir, Havila und Jobab: diese alle sind Söhne Joktans.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arpachsad, Selah,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Tharah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram, das ist Abraham.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Die Söhne Abrahams waren Isaak und Ismael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Dies ist ihr Stammbaum: der Erstgeborene Ismaels Nebajoth; Kedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Misma, Duma, Massa, Hadad, Thema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Naphis und Kedma: das sind die Söhne Ismaels.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Und die Söhne Keturas, des Kebsweibes Abrahams: sie gebar ihm Simran, Joksan, Medan, Midian, Jisbak und Suah, und die Söhne Joksans waren Seba und Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Und die Söhne Midians: Epha, Epher, Hanoch, Abida und Eldaa. Diese alle stammen von Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Und Abraham erzeugte Isaak; die Söhne Isaaks waren Esau und Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Die Söhne Esaus waren: Eliphas, Reguel, Jehus, Jaelam und Korah.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Die Söhne Eliphas waren: Theman, Omar, Zephi, Gaetham, Kenas, Thimna und Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Die Söhne Reguels waren: Nahath, Serah, Samma und Missa.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Und die Söhne Seirs: Lotan, Sobal, Zibeon, Ana, Dison, Ezer und Disan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Und die Söhne Lotans: Hori und Homam; und die Schwester Lotans war Thimna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Die Söhne Sobals waren: Aljan, Manahath, Ebal, Sephi und Onam. Und die Söhne Zibeons Ajja und Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Die Söhne Anas waren: Dison. Und die Söhne Disons: Hamran, Esban, Jithran und Keran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Die Söhne Ezers waren: Bilhan, Sawan und Jaakan. Die Söhne Disans waren: Uz und Aram.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Und dies sind die Könige, die im Lande Edom geherrscht haben, bevor es einen König der Israeliten gab: Bela, der Sohn Beors, und seine Residenz hieß Dinhaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Als Bela gestorben war, wurde Jobab, der Sohn Serahs, aus Bosra König an seiner Statt.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Als Jobab gestorben war, wurde Husam aus dem Lande der Themaniter König an seiner Statt.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Als Husam gestorben war, wurde Hadad, der Sohn Bedads, König an seiner Statt, derselbe, der die Midianiter auf der Hochebene von Moab schlug; und seine Residenz hieß Awith.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Als Hadad gestorben war, wurde Samla aus Masreka König an seiner Statt.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Als Samla gestorben war, wurde Saul aus Rehoboth am Euphratstrome König an seiner Statt.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Als Saul gestorben war, wurde Baal-hanan, der Sohn Achbors, König an seiner Statt.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Als Baal-hanan gestorben war, wurde Hadad König an seiner Statt; seine Residenz aber hieß Pagi und sein Weib Mehetabeel, die Tochter Matreds, der Tochter Mesahabs.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Und Hadad starb; und die Häuptlinge von Edom waren: der Häuptling Thimna, der Häuptling Alwa, der Häuptling Jetheth,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 der Häuptling Oholibama, der Häuptling Ela, der Häuptling Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 der Häuptling Kenas, der Häuptling Theman, der Häuptling Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 der Häuptling Magdiel, der Häuptling Iran. Das sind die Häuptlinge von Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Chronik 1 >