< Josua 12 >

1 Und dies sind die Könige des Landes, welche die Israeliten schlugen und deren Land sie in Besitz nahmen: jenseits des Jordan im Osten und das Land vom Arnonflusse bis zum Hermongebirge und die ganze Steppe im Osten.
Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao watu wa Israeli walishindwa. Waisraeli walichukua miliki ya nchi katika upande wa mashariki mwa Yordani sehemu ambako jua huchomoza, kutoka bonde la Mto Arnoni hadi Mlima Hermoni, na nchi yote ya Araba kuelekea kusini.
2 Sihon, der König der Amoriter, der in Hesbon wohnte und das Land von Arver an, das am Ufer des Arnonflusses liegt, und die mitte des Thals und die eine Hälfte von Gilead bis an den Fluß Jabok, die Grenze der Ammoniter, beherrschte.
Sihoni, mfalme wa Waamori, aliishi katika Heshiboni. Alitawala kutoka Aroeri, ambayo iko juu ya bonde la Arnoni kutoka katikati ya bonde, na nusu ya Geleadi kushuka mpaka Mto Yaboki katika mpaka wa Waamori.
3 Und die Steppe bis zum See Kinneroth im Osten und bis zum Meere der Steppe, dem Salzmeer, im Osten gegen Beth Jesimoth hin und von Theman an am Fuße der Abhänge des Pisga.
Sihoni pia alitawala juu ya Araba mpaka Bahari ya Kinerethi, kwenda mashariki, kuelekea Bahari ya Araba (Bahari ya Chumvi) upande wa mashariki, hadi huko Bethi Yeshimothi na upande wa kusini, kuelekea chini ya miteremko wa Mlima Pisiga.
4 Und das Gebiet Ogs, des Königs von Basan, der zu den Überresten der Rephaiter gehörte und in Astaroth und Edrei wohnte
Ogu, mfalme wa Bashani, mmoja kati ya mabaki ya Rephaimu, aliyeishi huko Shatarothi na Edrei.
5 und über das Hermongebirge, Salcha und ganz Basan herrschte bis zur Grenze der Gesuriter und Maachatiter und über die Hälfte von Gilead bis zur Grenze Sihons, des königs von Hesbon.
Alitawala juu ya Mlima Hermoni, Saleka, na Bahani yote, hadi mpaka wa watu wa Geshuri na Wamakathi, na nusu ya Gleadi, hadi kufika mpaka wa Sihohi, mfalme wa Heshboni.
6 Mose, der Knecht Jahwes, und die Israeliten hatten sie besiegt, und mose, der Knecht Jahwes, hatte das Land den Rubeniten, Gaditen und dem halben Stamm Manasse zum Besitze gegeben.
Musa mtumishi wa Yahweh, na watu wa Israeli walikuwa wamewashinda, na Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa nchi kama mali ya Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase.
7 Dies sind die Könige des Landes, welche Josusa und die Israeliten jenseits, westlich vom Jordan, besiegten, von Baal Gad im Libanonthal an bis zum glatten Gebirge, das gegen Seir ansteigt, und deren Land Josua den Stämmen Israels entsprechend ihren Abteilungen zum Besitze verlieh,
Hawa ndio wafalme wa nchi ambayo Yoshua na watu wa Israeli waliwashinda katika upande wa magharibi mwa mto Yordani, kutoka Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni hadi Mlima Halaki karibu na Edom. Yoshua aliyapa nchi makabila ya Israeli ili yaimiliki.
8 auf dem Gebirge, in der Niederung, in der Araba, an den Bergabhängen, in der Steppe und im Südlande, das Gebiet der Hethiter, Amoriter, Kanaaniter, Pheresiter, Heviter und Jebusiter.
Aliwapa nchi ya milima, tambarare, Araba, sehemu za milima, nyika na Negevu, nchi ya Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.
9 Der König von Jericho, einer; der König von Ai, das neben Bethel liegt, einer;
Wafalme hawa walikuwa ni mfalme wa Yeriko, mfalme wa Ai iliyo karibu na Betheli,
10 der König von Jerusalem, einer; der König von Hebron, einer;
mfalme wa Yerusalemu, mfalme wa Enaimu,
11 der König von Jarmuth, einer; der König von Lachis, einer;
mfalme wa Yarmuthi, mfalme wa Lakishi,
12 der König von Eglon, einer; der König von Geser, einer;
mfalme wa Egloni, mfalme wa Gezeri,
13 der König von Debir, einer; der König von Geder, einer;
mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,
14 der König von Horma, einer; der König von Arad, einer;
mfalme wa Horima, mfalme wa Aradi,
15 der König von Libna, einer: der König von Adullam, einer;
mfalme wa Libna, mfalme wa Adula,
16 der König von Makeda, einer; der König von Bethel, einer;
mfalme wa Makeda, mfalme wa Betheli,
17 der König von Thappuah, einer; der König von Hepher, einer;
mfalme wa Tapua, mfalme wa Heferi,
18 der König von Aphek, einer; der König von Saron, einer;
mfalme wa Afeki, mfalme wa Lasharoni,
19 der König von Madon, einer; der König von Hazor, einer;
mfalme wa Madoni, mfalme wa Hazori,
20 der König von Simron Meron, einer; der König von Achsaph, einer;
mfalme wa Shimroni - Meroni, mfalme wa Akshafu.
21 der König von Taanach, einer; der König von Megiddo, einer;
mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22 der König von Kedes, einer; der König von Jokneam am Karmel, einer;
mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Jokineamu katika Karmeli,
23 der König von Dor, das zu Naphat Dor gehört, einer; der König der Heiden von Gilgal, einer;
mfalme wa Dori katika Nafutali Dori, mfalme Goyimu katika Giligali, na
24 der König von Thirza, einer; - zusammen einunddreißig Könige.
mfalme Tiriza. Hesabu ya wafalme ilikuwa ni thelathini na moja kwa ujumla wake.

< Josua 12 >